cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Kwenda jela kisa buku ten matumizi mabaya ya uhalifu nauli tu ya kwenda na kurudi buku ten imeishawe ulitaka apigane kwa shilling ngapi?
kila mbuzi anakula urefu wa kamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda jela kisa buku ten matumizi mabaya ya uhalifu nauli tu ya kwenda na kurudi buku ten imeishawe ulitaka apigane kwa shilling ngapi?
kila mbuzi anakula urefu wa kamba
Ndio maana Mimi sitegemei mtu maana staki stress kisa vitu vyako nisiwe huru siweziBasi vijana wakianzisha jambo lao, mvumilie. Usisahau mchunwa huchuna
Tyako nyie elfu kumi tu inataka kuwapeleka jela Tena mleta mada utakuja kuishia jela kwa hyo tabia yako, ukiwa jela utakumbuka comments zangu, Kama una stress hamna hela achaneni na mapenziMbona mnaomba elfu 10 kama ni kiasi kidogo sana
Embu ficha ujinga wako tyako wewe
hapo ukiangalia swala la pesa utasema pesa ndogo inamtoa mtu imani lakin hebu tazama upande wa pili ni kwamba pisi linamletea mwamba magumashi thatz why mwamba kaamua kuonesha uanaume wake kwa njia ya mkong'oto, so jamaa yupo sawa kwa upande mwingineKwenda jela kisa buku ten matumizi mabaya ya uhalifu nauli tu ya kwenda na kurudi buku ten imeisha
Hizo ni za corona hasa ikitokea majanga ambayo hutokea Mara chache Sana dunianiHata kaburi maiti zinashea, hujaona maiti za Corona au Genocide!
Huo umwamba wa ajabu utampeleka jela ili akaji mwambafai vizuri au kuuliwa na raia.hapo ukiangalia swala la pesa utasema pesa ndogo inamtoa mtu imani lakin hebu tazama upande wa pili ni kwamba pisi linamletea mwamba magumashi thatz why mwamba kaamua kuonesha uanaume wake kwa njia ya mkong'oto, so jamaa yupo sawa kwa upande mwingine
Mkuu ni ngumu kama unavyozani mtoto wa kike kunpiga mimi haiwezekani si kwa mazoezi ya kijeshi ninayofanyaUjawah kung'atwa ww au kukwanguliwa na makucha au kuchania wanawake utawapiga lkn not easy bro ukizubaa ashakuzid nguvu zaman
Kwa maelezo yake inawezekana kabisa. Manake trannies wamekuwa wengi sana hapa mjini..[emoji81][emoji81][emoji81]Ulikuwa unadate shemale.
[emoji13][emoji13][emoji13]kilichoniuma sio ela kilichoniuma ni ela yangu kupikiwa msosi mwanaume mwingine
Hahahah muwe na huruma.Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi
Mwanaume lazima ale kwa jasho bila hela piga bao la mkono, Nani anataka kuchakazwa papuchi bure bure, a big nopeHahahah muwe na huruma.
Waoneni huruma watoto wa wanawake wenzenu
Sio fair kutaka hela in easy way
Sawa kula kwa jasho tunalifahamu Ila sio kutapeli watu kwa staili hioMwanaume lazima ale kwa jasho bila hela piga bao la mkono, Nani anataka kuchakazwa papuchi bure bure, a big nope
Yaani hizi level siwezi fikiria kukaa hata sekunde. Mkuu unaandika waraka mrefu kisa elfu kumi 😂😂😂😂😂 sikutafunii hata pipi kifuaUnadhani pesa watu wanazinya? Pesa hata iwe ndogo vipi, inatafutwa. Jasho la mtu limetoka.
Mnaona fahari gani kumwagiwa shahawa za Jose na Fujo kwenye mashimo yenu!!!
Mna njaa sana? Shida nini?
Ni kweli utithibitisha kwamba hela yako ilitumika kupikiwa mwanaume mwingine? Umesema alikusukuma means hukuona kilichokuwa ndanikilichoniuma sio hela wadau kilichoniuma ni kunidanganya pia ela yangu kupikiwa mwanaume mwingine
Acha kudharau pesa kiasi hicho wewe,kwanza unasumbuliwa na utoto elfu10 ndo unakuchulia mda kwenda kupigana
[emoji23][emoji23][emoji23]eti nachezea nakozi, ndio maana naona mapenzi ya maskini na mwenye nacho Ni unafiki watu Wana pendeana vitu flani na sio upendoSawa kula kwa jasho tunalifahamu Ila sio kutapeli watu kwa staili hio
Unaomba hela halafu unasingizia period [emoji849][emoji44]
Ningekuwa Mimi ungechezea nakoz mvua [emoji2]
Huwa sipendi ujinga come straight be serious tusipotezeane muda
Dah wanawake wa sasa unaweza kupiga mpaka ukaua eti km huna pesa achana na mapenzi hii inaonesha ni jins gan mlivyo na tamaa mapenz mshageuza business sasa kuna tofaut gan nyiny na malaya wa pale sinzaTyako nyie elfu kumi tu inataka kuwapeleka jela Tena mleta mada utakuja kuishia jela kwa hyo tabia yako, ukiwa jela utakumbuka comments zangu, Kama una stress hamna hela achaneni na mapenzi