Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Niligundua ndan kuna mtu maana aligoma nisiingie ndan akalock mlango na funguo kisha mtiti ukaendelea nje lakin kipind anafunga mlango japo alifunga kwa kasi lakini niligundua ndan kulikuwa na mtu

Dah noma kweli kweli
 
Wabongo uwa hawaulizi wanafika na kuanza kupiga. Kila mtu atakuwa na story yake juu ya wizi wa marehemu baada ya tukio. Mwingine atasema marehemu alikamatwa akiiba simu, mwingine marehemu alitaka kumbaka mdada, mwingine marehemu aliiba bikini

Keshasema akifika apo hostel mademu wa pale huwa wanacheka means anajulikana kuwa ni danga wa manzi
 
Keshasema akifika apo hostel mademu wa pale huwa wanacheka means anajulikana kuwa ni danga wa manzi
Ilishatokea sauti jamaa aliyekuwa anajulikana kwa wanafunzi wa pale hostel za marimbe, model madem walikuwa wanamzimikia alikuwa anamla demu maarufu wa hao chuo, alipigiwa kelele za mwizi akapewa kibano watu walisahau kuwa walikuwa wanamchekea.
 
Mwanaume lazima ale kwa jasho bila hela piga bao la mkono, Nani anataka kuchakazwa papuchi bure bure, a big nope

Mbona mjuba kashasema alituma hela alafu papuchi kwanyimwa kutimba kakuta kijuba kipya kinakula papuchi ulitaka akae kimya asidai hela yake? Huoni uboya huo wa mwanamke mwenzio au?
 
Ilishatokea sauti jamaa aliyekuwa anajulikana kwa wanafunzi wa pale hostel za marimbe, model madem walikuwa wanamzimikia alikuwa anamla demu maarufu wa hao chuo, alipigiwa kelele za mwizi akapewa kibano watu walisahau kuwa walikuwa wanamchekea.

Huenda aliiba kweli kwani hata vyuoni kuna wezi na wanajulikana ila akilamatwa kaiba anapigwa vile vile. Ila siyo swala la mapenzi unaita mwizi kuna walakini
 
Huenda aliiba kweli kwani hata vyuoni kuna wezi na wanajulikana ila akilamatwa kaiba anapigwa vile vile. Ila siyo swala la mapenzi unaita mwizi kuna walakini
Mkuu ina maana hujawahhi kusikia mtu akauwa kisa kapigiwa kelele za mwizi nampenzi wako? Mwaka juzi nadani mbona imetokea hapo Mabibo na si mara ya kwanza. Jamaa kaenda kudai vitu vyake baada ya kutemana na mwanamke kabeba computer dada kampigia kelele za mwizi. Kadundwa mpaka kaaga dunia. Baada ya kuuawa watu ndo huyu is alikuwa mpenzi wake. Ni risk kufanya ujinga wa namna hiyo.
 
mmmmhh kipigo cha mbwa koko?

Hizo nakozi za utosi mhhhhhh
 
Mkuu ina maana hujawahhi kusikia mtu akauwa kisa kapigiwa kelele za mwizi nampenzi wako? Mwaka juzi nadani mbona imetokea hapo Mabibo na si mara ya kwanza. Jamaa kaenda kudai vitu vyake baada ya kutemana na mwanamke kabeba computer dada kampigia kelele za mwizi. Kadundwa mpaka kaaga dunia. Baada ya kuuawa watu ndo huyu is alikuwa mpenzi wake. Ni risk kufanya ujinga wa namna hiyo.

Sawa ukapiga kelele za mwizi mpenzi wako akauwawa then ikajakujulikana ukweli wewe uliyeita kelele zamwizi kupelekea mtu kuuwawa unabaki vipi kisheria unatakiwa uwe jela.
 
Sawa ukapiga kelele za mwizi mpenzi wako akauwawa then ikajakujulikana ukweli wewe uliyeita kelele zamwizi kupelekea mtu kuuwawa unabaki vipi kisheria unatakiwa uwe jela.
Yah sheria itafuata mkondo wake lakini aliyekufa kafa wala hahitomrudishia uhai. Ni sawa uone gari linakuja kwa kasi kisa kuna zebra crossing uingie barabarani kuwa dereva akikugonga yeye ndiye ana makosa, kumbuka ukifa hata afungwe maisha ushakufa tu.
 
Yah sheria itafuata mkondo wake lakini aliyekufa kafa wala hahitomrudishia uhai. Ni sawa uone gari linakuja kwa kasi kisa kuna zebra crossing uingie barabarani kuwa dereva akikugonga yeye ndiye ana makosa, kumbuka ukifa hata afungwe maisha ushakufa tu.

Kwaiyo uuwe mpenzi wako then ukafie jela kisa uligoma kurudisha vitu vyake?[emoji38].
 
Kwaiyo uuwe mpenzi wako then ukafie jela kisa uligoma kurudisha vitu vyake?[emoji38].
Hayo anakuwa hayafikirii, na wewe kwa hiyo mtu ajirisk maisha yake kwenda kudai simu na buku ten? Haya mambo yanatokea sana watu kudundwa wakati siyo wezi walikuja kudai zawadi walizopeana.
 
Hayo anakuwa hayafikirii, na wewe kwa hiyo mtu ajirisk maisha yake kwenda kudai simu na buku ten? Haya mambo yanatokea sana watu kudundwa wakati siyo wezi walikuja kudai zawadi walizopeana.

Hao wana haki ya kudai vitu vyao na hao wadada wana haki ya kutoa vitu walivyopewa bila kuleta virugu wala umwamba kila mtu akaendelea na maisha yake. Mbona wakati wanapewa hapakuwa na ugumu iweje kurudisha pawe na ugumu?
 
Hao wana haki ya kudai vitu vyao na hao wadada wana haki ya kutoa vitu walivyopewa bila kuleta virugu wala umwamba kila mtu akaendelea na maisha yake. Mbona wakati wanapewa hapakuwa na ugumu iweje kurudisha pawe na ugumu?
Akigoma kutoa usitumie nguvu ukarisk maisa yako, kama unaona huwezi move on bila ivyo vitu kamfungulie mashitaka sheria inaruhusu kufanya hivyo kama ulimpa zawadi mpenzi wako wakati mko mahabani na mahaba yameisha.
 
Yah sheria itafuata mkondo wake lakini aliyekufa kafa wala hahitomrudishia uhai. Ni sawa uone gari linakuja kwa kasi kisa kuna zebra crossing uingie barabarani kuwa dereva akikugonga yeye ndiye ana makosa, kumbuka ukifa hata afungwe maisha ushakufa tu.
Mwache ajidanganye tu, anapigwa bila kuuliwa lakini katolewa nundu, meno ya sebuleni kule ndiyo atajua!
 
Akigoma kutoa usitumie nguvu ukarisk maisa yako, kama unaona huwezi move on bila ivyo vitu kamfungulie mashitaka sheria inaruhusu kufanya hivyo kama ulimpa zawadi mpenzi wako wakati mko mahabani na mahaba yameisha.
Kesi zengine bwana ata polisi unaweza kufukuzwa maana kwenye sheria haitambui sijui mpenzi wala mahaba km ulimpa basi tafuta chengine mm naona bora umuwekee sura ngumu uku uku nje mpaka akiona mali ulizompa azione moto azirudishe mwenyewe
 
Uwe unachukua wale wa buku 2 mnamalizana hapo hapo, wale make-up achana nao
Huu ushaur nenda kampe kaka ako sisi utuache fala ww mademu wapo kibao mnago in love na hawaombi ela wapo na mishe zao sasa nyiny wq kudanga ni kalaa apa mjin mkishachakazwa nido zikalala kusimama mpaka upige deki na matako yakawa tepetepe ndio nyiny mnaanza kujiuza mpaka 2000 unafikir mtu anaanzaga kuuza uchi wake kwa 2000 weeeh wap wanaanzaga km ww
 
Huu ushaur nenda kampe kaka ako sisi utuache fala ww mademu wapo kibao mnago in love na hawaombi ela wapo na mishe zao sasa nyiny wq kudanga ni kalaa apa mjin mkishachakazwa nido zikalala kusimama mpaka upige deki na matako yakawa tepetepe ndio nyiny mnaanza kujiuza mpaka 2000 unafikir mtu anaanzaga kuuza uchi wake kwa 2000 weeeh wap wanaanzaga km ww
Matusi yote hayo yanini halafu mie sijawahi mtukana mtu humu, hayo maneno machafu yapokee mwenyewe, mie hata hata ukitaka elf 10 10 ulizonyang'anya naweza kukupa kila siku na nisikudai, unazani wote humu niwadangaji kama wewe na dada zako hapana, nakupa pole tu.
 
Matusi yote hayo yanini halafu mie sijawahi mtukana mtu humu, hayo maneno machafu yapokee mwenyewe, mie hata hata ukitaka elf 10 10 ulizonyang'anya naweza kukupa kila siku na nisikudai, unazani wote humu niwadangaji kama wewe na dada zako hapana, nakupa pole tu.
Eti naweza kukupa elfu 10 kila cku mmmh !!! una MIKWARA lkn nshakujua HUNA KITU nyiny ndo wale mpo bize kwa kuvaa vzr ili muonekane mnazo kumbe njaa kali mlo tu wa siku unapata tabu ukipona sanasana basi umtoa kitumbua kwa muuza chips siku ukipigwa chin upo baa sera huna hela huna
 
Back
Top Bottom