JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Niligundua ndan kuna mtu maana aligoma nisiingie ndan akalock mlango na funguo kisha mtiti ukaendelea nje lakin kipind anafunga mlango japo alifunga kwa kasi lakini niligundua ndan kulikuwa na mtu
Dah noma kweli kweli