Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Vile watu mnaidis buku 10 ya jamaa inabidi niendelee tu kuamini JF kila mtu ni mdos😁

BTW kwa wazee mliompopoa mleta sredi, je ni kiasi gani mtu akihonga anastahili kurusha ngumi?
 
Acha kudharau pesa kiasi hicho wewe,

We ni nani mpaka useme maneno hayo,
achana na watu wa namna hiyo!

Kidukulilo akisema anamiliki mindinga mikali na majumba ya kutosha atakuja kumkosoa!

Renamaizo amekuja na sredi ya buku 10 bado kampopoa!

Hao ndio wanaJF mkuu hata awaeleweki wanataka nini
 
[emoji23][emoji23][emoji23]eti nachezea nakozi, ndio maana naona mapenzi ya maskini na mwenye nacho Ni unafiki watu Wana pendeana vitu flani na sio upendo
Hahaaahah ndio ilani yetu masikini ukizingua tunakuchenjia

Hatutaki ujinga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Vile watu mnaidis buku 10 ya jamaa inabidi niendelee tu kuamini JF kila mtu ni mdos[emoji16]

BTW kwa wazee mliompopoa mleta sredi, je ni kiasi gani mtu akihonga anastahili kurusha ngumi?
Kiasi chochote ili mradi ulikitolea jasho kukitafuta[emoji1787][emoji1787]
 
So far nice aproach. Alivuna alichokipanda. Ila wadangaji watakutolea mapovu ya kutosha,

Hapa shida sio hela. Shida ni UONGO na DHARAU, ila aproach ya Vitasa ilimfaa sana.
 
Wewe upigane na mwanamke kisa elfu kumi na viguo hivyo na kisimu
Teh teh hebu kumbuka kijamaa chako cha zamani kabla ya huyu wa sasa kama imewahi kutokea akakuomba ten ukampa.
Siungi mkono kupigana, ila ten ni hela angenunua hata sox, au kuwapa tu watoto wa shule madaftari.
 
Ila mzee, unapiganaje na mwanamke na unampiga ngumi tumboni, sijui kichwa,suppose angezima au kuchanika bandama hivi, au angefariki....
 
Kwenda jela kisa buku ten matumizi mabaya ya uhalifu nauli tu ya kwenda na kurudi buku ten imeisha

Ulianza kumwagiwa mishahawa ya walevi ukiwa darasa la ngapi? Uchi wako unatamanika kweli? Nyaaaa
 
Nimecheka sana mkuu. Yaani ulitaka kumtoa roho mtoto wa watu kisa tsh.10000. Kweli mchumia janga hula na wakwao..[emoji81][emoji81][emoji81]
we umeiona 10k tu kunasimu pia Apo inaonekana kwamba jamaa alikuwa anahudumia sana
 
Teh teh hebu kumbuka kijamaa chako cha zamani kabla ya huyu wa sasa kama imewahi kutokea akakuomba ten ukampa.
Siungi mkono kupigana, ila ten ni hela angenunua hata sox, au kuwapa tu watoto wa shule madaftari.
clear bila mia hamna buku bila buku hamna bukuteni bila buku ten hamna laki ivo usiidharau ela
 
Vile watu mnaidis buku 10 ya jamaa inabidi niendelee tu kuamini JF kila mtu ni mdos😁

BTW kwa wazee mliompopoa mleta sredi, je ni kiasi gani mtu akihonga anastahili kurusha ngumi?
wakikujibu nitag
 
Ndio maana Mimi sitegemei mtu maana staki stress kisa vitu vyako nisiwe huru siwezi
Hapo umeongea jambo la jengo kama sio la msingi.
By the way kama mtu humtaki, mchane tu kuwa mi sikuelewi, au nakupa nafasi ila nina mwamba mwingine.
 
Hapo umeongea jambo la jengo kama sio la msingi.
By the way kama mtu humtaki, mchane tu kuwa mi sikuelewi, au nakupa nafasi ila nina mwamba mwingine.
True tatizo njaa kali bongo ukimtongoza mdada 1st day tu anakuwa ashajua km anakupenda au la sasa km hakutak kinachobak ni ujanja ujanja tu kwanza akupige mizinga ndio kipind unajitutumua mwishoni ndio anakuja kulwambia sikutak mm ndio maana napinga swqla la kumpa demu pesa mwanzon mkishakuwa wapenz ndio umpe hela sasa umetongoza tu apo apo ushaanza kumwaga na mpunga lazima msichana akudharau
 
Utaratibu ni uleule, hela haitumwi, inafuatwa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…