Sitosahau siku niliyotishiwa bunduki na baba!

Sitosahau siku niliyotishiwa bunduki na baba!

Kuna kipindi fulani cha nyuma nilitoka out na watoto wangu watatu wenye umri wa kujitambua kabisa kwan binti mkubwa alikuwa form 1,boys std lV na ll. Huko tulikutakana na trafic ambao tayari walikuwa wamesimamisha magari mengine,mie nikipita zangu,mara kama KM 1 Naona gari markll inanizonga kwa nyuma na mahorn mengi,mie nikasimama,kuchek ni wale traffic wako wawili,wakaja wananifokea eti kwanini nimesimamishwa na sikusimama,nikawajibu mimi hamkunisimamisha,mara ghafla nina kibao cha uso,mara cha pili,nikasikia watoto wanaanza kupiga kelele za kulia baba,babaaa!!!
Aisee ndo siku ya kwanza kukanyaga katiba ya JMT kwn hicho kipondo walichopokea hawatakaa wasahau maishani,nilidhalilishwa mbele ya watoto.Japo ilicost sana but potelea mbali nilijitunzia heshima mbele ya wanangu. Hii kesi ilimalizwa na viongozi wenye busara japo hapo nshaaumia kipesa, kazini na kifamilia pia.Wanangu niwaambia kila siku sitaki mwanangu awe polisi,nitamlaani maishani
Pole Sana, hakuna kitu kinauma kmkudhalilishwa mbele ya watu muhimu, mke/mume, watoto, wazazi au wakwe
 
Ilikuwa hivi.
Muda mrefu sana yapata miaka 10 hiyo siku nilikuwa nacheza pool table mtaani, huo mchezo unaitwa "shamkware." Ni kamari na una majina mengi sana huu mchezo pia mnaweza cheza watu wawili au zaidi.

Katika kucheza na kupiga mahesabu makali mwisho wa game mshindi nlikuwa mimi. kwenda kuchukua pesa nlizoshinda ghafla muona baba ananitazama kwa ukali kinoma

Ikanibidi niiache ile pesa niondoke kinyonge nikijua tayari umeshakuwa msala!

Kurudi nyumbani dakika tano nyingi baba naye huyo! nilipigwa kila aina ya kipigo, ngumi, makofi, mateke na mkanda mwisho wa siku akachukua bunduki aina ya gobole na kulikoki kuelekeza kwangu...! akanipiga mkwara mzito sana na kusema "nitakuua nikikuona unacheza michezo ya kipuuzi na sioni faida ya kuwa na kijana mjinga ndani ya nyumba yangu."
niliogopa sana na tangu hiyo siku mpaka kesho pool table sina mzuka nao kabisa.

Baba amenipa vitu bora maishani, muda wake, kujali kwake na upendo wake. Nafurahi sana kuwa nae katika maisha yangu.

He is my superman.
Napenda Sana vijana wanaowapenda wazazi wao wa kiume, long live kijana pamoja na mzazi wako!!!
 
Kuna kipindi fulani cha nyuma nilitoka out na watoto wangu watatu wenye umri wa kujitambua kabisa kwan binti mkubwa alikuwa form 1,boys std lV na ll. Huko tulikutakana na trafic ambao tayari walikuwa wamesimamisha magari mengine,mie nikipita zangu,mara kama KM 1 Naona gari markll inanizonga kwa nyuma na mahorn mengi,mie nikasimama,kuchek ni wale traffic wako wawili,wakaja wananifokea eti kwanini nimesimamishwa na sikusimama,nikawajibu mimi hamkunisimamisha,mara ghafla nina kibao cha uso,mara cha pili,nikasikia watoto wanaanza kupiga kelele za kulia baba,babaaa!!!
Aisee ndo siku ya kwanza kukanyaga katiba ya JMT kwn hicho kipondo walichopokea hawatakaa wasahau maishani,nilidhalilishwa mbele ya watoto.Japo ilicost sana but potelea mbali nilijitunzia heshima mbele ya wanangu. Hii kesi ilimalizwa na viongozi wenye busara japo hapo nshaaumia kipesa, kazini na kifamilia pia.Wanangu niwaambia kila siku sitaki mwanangu awe polisi,nitamlaani maishani
maana ya kuwa baba ndiyo hii
 
Mwenzio nilininginizwa kwenye dari na na taulo yaani nilinyongwa.
Mdingi hajalala home siku 2 anarudi e bana akapewa mashtaka mwanao shule huko imekutwa barua ya mapenzi,sijaandika hiyo barua kuna msenge mmoja wivu wake kaandika kaandika katupa njia ya ofisi.
Nikaitwa nikachapwa sana viboko.
Maza alikua nae mwalimu hapo akawambia nipeni hiyo barua.karudi nayo home.
Bana dingi karudi toka kwa mchepuko hehee kataka sifa sasa nilitandikwa ngumi,vichwa ,mateke mwisho akafunga kitanzi na taulo.
Kanifunga shingoni kaninginiza pale juu.
Daah Huku karudi kwa mamsapu wake wanapiga story tu mi naninginia hapo.
Badae sana ndio nikafunguliwa nikasindikizwa na teke kali saana nikalale.
Poa tu,ila yule fala aliyenisingizia nilimvizia na wanangu tulitaka kuua.
Tulipiga vipigo vyoote
Mpaka kakata moto.
Tukatambaa
mzee wako alikuonea, alifanya torturing kali sana 🧐
 
amenijenga kimwili, kiakiki na kiroho.
Ilibidi afanye hivyo coz yaonekana alishatumiaga njia zingine za kukuonya ila ukawa haumbaliki. He did it well n today you are proud of having him in your life. Congrats dude
 
Acha tu.
Nimekumbuka badae sana km siku 2 sijaskia mlio wa gari wala pikipiki.
Ndo nikajua ahaa ana msala huko ndani na mkewe hapo anajaribu tu kumwonyesha hapendi uzinzi.
HAHAHAHH! 😆😆
mzee wako alitumia akili kubwa hadi kurisk mtoto wake!
 
Ilibidi afanye hivyo coz yaonekana alishatumiaga njia zingine za kukuonya ila ukawa haumbaliki. He did it well n today you are proud of having him in your life. Congrats dude
🙏🏾 thanks a lot brother.
 
Back
Top Bottom