kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,058
- 3,613
Sasa wewe ndio unautesa mwili wako. Miaka mitatu bila bila unatesa mwili wako.Staki kusikia kitu kinaitwa ukimwi staki kabisa maumivu yake ni makubwa sana ndio maana niliamua kukaa mbali na kitu kinaitwa mapenzi. Naweza.maliza miaka hata mitatu sijui mwanaume na ikitokea kupima ni lazima afu kinga ni lazima. Staki kabisa kusikia huyo mdudu alimaliza watu.
Wakuu tumieni kinga au acha mapenzi kabisa. Ukimwi unatesa sana wakuu.
Mleta mada asante kuwakumbusha maana watu wanachukulia poa.
Wakuu afya ni muhimu.
😂 Hongera mkuu, ukijifanya kipepe rungu chap njugu zinakuhusu bora tutulizane tuWewe upo kama Mimi yaan nikiwazaga ivyo....
Na cancel ✖️❌
Mm ni Mmoja ya binadamu wachache Wakiume ambao tangu tumeoa hatujawai kuchepuka.....
Riverside Ubungo.Hiyo hospital ya china dar Iko wap
Wanatibu na nin na nin
Nilichokujibu ndicho nikijuacho, mengine zaidi kawaone Wataalamu wenyewe watakujuza, sipendi kuwa na fix kwenye maisha ya Watu hususani afya zao.Wanatibu na nin na nin
Imani tumezikuta na tutaziacha maana hata kabla ya Ukristo na Uislamu kuja Africa Baba na Mama zetu walikuwa wanaabudu.Tatizo hio imani ndugu
Ngwea my favorite album a.k.a Mimi,,,,,rip ngweaVerse 1
Nasikia raha jinsi nilivo star
Ni zaidi ya Robert De Niro
Nini top in Dar
Najukikana dunia nzima
Na kila kona hua natajwa langu jina
Sio tu watu wazima hadi watoto
Majina mengi a.k.a moto
A.k.a umeme a.k.a miwaya
A.k.a ngoma nzito isiyo na dawa
Ayaaaaah
Lakini sina ubaya
Na sibagui nchi za Africa nchi za Ulaya
Ni wengi tu nshawaondoa duniani
Na wengi bado nawatesa vitandani
Acha idadi kubwa ambao wapo safarini
Sijali mtoto wa kishua au unapoa uswahilini
Si mshajua nachozungumzia nini?
(UKIMWI UKIMWI UKIMWI)
Yeah a.k.a mimi
Natesa sana napokuingia mwilini
Akina gono kaswende wote baba yao mimi
Amini mi ndo kubwa la maadui
Na leo nakuja kwako usizuge kama hunijui
Halaa
Uko sahihi mkuu wangu, Aseeeh ukifika ukanda wakuanzia Tinde hadi Kahama hatareeNext ni jamii ya wasukuma. Hawa watu wanafanya mapenzi na wanawake wanaojiuza bila hata kinga.....wanapokezana kama sigara. Machimbo mapya ya wadangaji msimu wa kiangazi ni kwenye mapori ya wasukuma.
subiri kwanza waisome namba hawa wanaojifanya viboro dindaMkuu dronedrake kujiunga kwenye chama chako ni pesa kiasi gani mkuu manake huu uzi unatisha sana kuliko movie za dracula
🤣🤣🤣Mkuu msaada ni muhimu mno kipindi hikisubiri kwanza waisome namba hawa wanaojifanya viboro dinda
KATAA NYETO🤣🤣🤣Mkuu msaada ni muhimu mno kipindi hiki