Zishukururiwe Arvs pia kwa kupunguza kiwango cha maambukizi. Mtu anayetumia dawa kwa usahihi ana asilimia mdogo sana za kuambikiza kwa sababu ya idadi ndogo ya virus mwilini.
Hiyo ni kweli ,kuna mdada mmoja nilikuwa nasikia ana Hiv ila nikamwamabia kwenda kupima akasema haina shaka ,sa kutokana na kauri yake ya haina shaka mi nikajiaminisha kuwa atakuwa fresh tu.
Nilianza kula mzigo kwa speed kubwa mno,baada ya mda kuna mdada flani ni family member akaja nijuza pia nirafiki yake sana ,akanambia nasikia unatembea na fulani ila huyo kaathilika siku nyingi na alikonda sana siku za nyuma,kuwa makini.
Kwa kweli japo sikumpima ila nina imani ni mwathilika hadi sasa kutokana na kukuta vidonge vya arv kwenye chumba chao alikuwa akikaa na mdada wa kiarabu hivi ambae nae ni mwathilika pia.
Kweli ni asilimia ndogo sana ya kuambukiza kwa mtu anae tumia arv ipasavyo.
Mkasa mwingine ,kuna kipindi nilikuwa kanda ya ziwa maeneo ya mwanza nyakato ,kuna club fulani nilienda na jamaa yangu ,siku hiyo tulikuwa pombe vibaya ,mida ya saa saba night hiyo nikaona demu anadance vzuri nikamuita ,piga nae story tukaelewana,tukangoka room ,kulikuwa na guest maeneo ya karibu.
Demu alitoa kondom anivalishe mimi nikasema no ,nokamwambia kama huniamini kesho tutapima, alinikazia sana nivae ila baadae akaubali kwa shida nikapiga kavu ,nilipiga sana mana alikuwa mrembo na kitandani anatoa ipasavyo .
Nilimla ipasavyo hasaaa,ile ki sana yani
Asubui tukaachana ila hatukupima ,ikapita wiki moja nikamcheki tukameet tena ,nikatafuna sana tu ,ila mara hii sasa nikataka tupime ,nikamwambia akakataa kata kata ,nikambembeleza nikamwambia we twende tukapime ila majibu nitasubr mie wewe utaendelea na mambo yako na zaidi ya yote nakupa hela nzuri ukafanye mambo yako.
Alikubali tukaenda akatolewa damu yy na mimi pia ,yeye akasepa ,kwa kuwa sisi niwapenzi dokta tulimwambia ni ruksa mtu yoyote kuchukua majibu mana sisi tushakubalia,dokta hakuna na neno
Baada ya vipimo dokta akaniita ,akauliza mwenzako yupo wapi,nikasema katangulia nyumbani,akasema sawa.
Majibu yametoka ,wewe upo salama ila huyu mwenzako inavyo onekana ana maambukizi
Du!! Nilichoka nikaunganisha doti nikajua kuwa huenda anatambua ndo mana alitia ugumu kupima.
Nilipata tabu sana hadi kuanza kumeza dozi ya mwezi mmoja ili kama nitakuwa na maambukizi ya awali nipate namna ya kujinusuru.
Ila yote kwa yote nilikuwa nishamla tangia wiki moja iliyo pita na kama mda wa kujinusuru ulikuwa ushapita,hivyo nilikuwa najaribu tu bahati yangu ila lolote lile lingetokea ,kiufupi nilikosa amani ,na zaidi ya yote nilikuwa na mke na mtoto mdogo ananyonya.
Nilisimangwa sana na manesi wa kutoa zile dawa.Nifanyiwa mpango na yule dokta wa kukutanishwa na manesi wa kitengo cha ukimwi
Kufupisha story yule dada alikuwa mwathirika na alikuwa akijitambua na alikuwa akimeza dawa,nazani kilicho niokoa ni yeye kumeza dawa na risk ya kuambukiza kupungua,au ni zile dawa za dharula ingawa nilimeza ikiwa wakati umeshapita japo sina uhakika kama zilisaidia au laa! Nilpima baada ya kumaliza dozi nikawa sina maambukizi
Tuweni makini jamani kuna wakati sisi kama vijana na nguvu kazi ya Taifa huwa tunafanya mambo ya kijinga mno kiasi cha kufikia kuhatarisha hata afya zetu