Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Mm nilitombga mother fulan once upon the time huko manzese after 2 yrs naskia anae ngoma yupo Kwa bed amekonda mbaya Hali Tete
Na mim nlikuwa chalii tu nlikuwa napiga kavu
Akasafirishwa kwenda kwao singida huk na tax akafia njiani

Daaaaaa niliishi Kwa was was balaaa yaan since 2002 mpaka Leo sijawah kupima ila ninae watoto 2 na wife wote wazima ila mm ndio uoga wa kupima umenijaa
 
...and it's disturbing reading a lot about HIV, yet you don't know your status.

Mnatuchanganya jamani, kuna wakati unatamani umpigie aliyekupa utam mara ya mwisho umuulize hivi we dada upo salama kweli[emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni simple tu go and check your status mkuu, tena nyie wanaume ni wagumu mnoo kupima
 
Itakuwa hao waliohamia mafinga walitokea kagera maana ndo wapenda chini, wenyeji waliupataje sasa kama chini hawapapendi,,

tukubaliane gonjwa liko pabaya sana nyakati nyingine ambao hatujaupata ni neema za Mungu tu sio kwa ujanja wetu, ukigeuka kutizama nyuma tulikotoka na tulipo bado hali si shwari na saiv ndo mbaya zaidi,, ngono imekuwa nyepesi mno kuliko miaka hiyo, na ARV imeongeza ujasiri ukimwi hauogopwi tena km miaka hiyo tukikua mtu alikonda na kubaki mifupa mitupu nyie nyie acheni
 
Dawa za kufubaza virusi ni za bure popote labda mtu akose usafiri tu wa kuenda kulifuata.
Utakuwam pumbavu sana ukisema uvuke barabara ukiwa umefumba macho, kwa sababu tuna hospitali nzuri na dawa za kutibu majeraha ya ajali.

Hizo dawa za UKIMWI hujui hata zitakavyoweza kukabiliana na UKIMWI mpya unaozaliwa leo.

Natumainiunaelewa evolution, jinsi vidudu vinavyoweza kujikinga na dawa, sakata zima la microbial resistance to drugs, etc.

Natumaini unaelewa falsafa nzima ya "prevention is better than cure".

Kinga ni bora kuliko tiba.
 
Umenikumbusha kupima mkuu, nina muda mrefu sijapima,, japokuwa ukimwi hauji kwa kufanya ngono tu, kuna hii kutengeneza kucha kwa wanawake 🙄nina wasiwasi sana na huu urembo ndo hiyo mtu chini hupatumii ila unakwaa ngwengwe,, unaweza kujiua walahi,
 
Kuna time napataga tamaa ya kuchepuka lkn nikifikilia ngwengwe najikuta mood yote inakata, hasa nikikumbuka watoto wangu bado wadogo! Nisha cancel promise kibao wakati tushapangana vzr tu na demu.
 
Mafinga, makambako ,Njombe(ndo inaongoza kitaifa mpk Sasa)
Ni Miji midogo,Ina mzunguko wa pesa kiasi kuliko iringa mjini.
Halafu Kuna makete,huko ndo ilikuwa balaa 🙌
Wanakufa nyumba nzima mpk watt,nyumba inafungwa, kipindi hiko..
 
Kuna time napataga tamaa ya kuchepuka lkn nikifikilia ngwengwe najikuta mood yote inakata, hasa nikikumbuka watoto wangu bado wadogo! Nisha cancel promise kibao wakati tushapangana vzr tu na demu.
Wewe upo kama Mimi yaan nikiwazaga ivyo....

Na cancel ✖️❌

Mm ni Mmoja ya binadamu wachache Wakiume ambao tangu tumeoa hatujawai kuchepuka.....
 
Miaka unayozungumzia jamii yetu ilikuwa ignorant kuhusu AIDS na ndiyo maana wengi waliteketea. Kwa sasa AIDS bado ipo lakini haina utisho kwa sababu jamii imeendelea, teknolojia imeongezeka hivyo watu wengi hupata AIDS na huweza kusurvive hata kwa miaka 10 strongly.
#UKIMWIUPO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…