Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Wafuasi wa Mackenzie hao ni wa kuhurumiwa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wake up guys nyonyooo nyonyoooo...konyooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafuasi wa Mackenzie hao ni wa kuhurumiwa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wake up guys nyonyooo nyonyoooo...konyooo!
Kujua afya yako ni muhimu mkuu japo kwa mara ya kwanza inataka moyo. Na uzuri saivi unaeza kujipima mwenyewe tu ukiwa home kwako unapata gahawa. Ukiwa +ve ukaanza dawa mapema hautaadhirika inabaki kuwa siri yako na hao utaochagua kuwaambia. Ila ukichelewa hadi afya ikazorota watu wengine ndo wanakuchukulia majibu ya vipimo hapo ndo siri hamna tena.Ndugu yangu mzabzab ndiye pekee amekiri wazi, anastahili tuzo huyu mwamba. Sie wengine zaidi ya porojo hatuna la kuongeza 😅😅😅 japo mimi status yangu kweli siijui, sijui lini nitapata ujasiri wa kutoboa kidole.
🤣🤣🤣Inatakiwa kuukabidhi mwili kwa muumba umeutumia ipasavyo au vipi?maini yameoza,Figo zimebuma,kichakatio kimetumika kimeisha Kama kisu kinachonolewa Kila siku yaani vululuvuluHahaha wee chukua kombe bwana sio kila msimu unatoka kapa. Hamnaga faida ya kwenda kaburini viungo vyote vikiwa brand new
Kabisaaaa alafu wee umeambikizwa ngoma unakaaje kizembe zembe lazima na wewe uondoke na wengine kama 20 hivi. Yaani mpaka siku unakata roho hamna kitu cha maana kwenye mwili wako🤣🤣🤣Inatakiwa kuukabidhi mwili kwa muumba umeutumia ipasavyo au vipi?maini yameoza,Figo zimebuma,kichakatio kimetumika kimeisha Kama kisu kinachonolewa Kila siku yaani vululuvulu
Hizo nyumba ziko wapi mkuu nihamie make naona ntakufa bila kujenga.Hapo kwenye nyumba zilizoachwa wazi
Aaah Acha kuusambaza mkuu....utatumalizia taifa changa la Tanzania ERoni Hebu muonye huyu ndugu yako aana mpango wa kuondoka na watu 20🙆🙆🙆🙆ikipiga Ile circle isije ikatuangukia jamaniKabisaaaa alafu wee umeambikizwa ngoma unakaaje kizembe zembe lazima na wewe uondoke na wengine kama 20 hivi. Yaani mpaka siku unakata roho hamna kitu cha maana kwenye mwili wako
Ha haaa mwehu Sana....na Mimi mojaHizo nyumba ziko wapi mkuu nihamie make naona ntakufa bila kujenga.
Ikuangukie kivipi tena jamani. Wee sii umesema kuwa hutomabanagi na wasio na hela🤣🤣🤣🤣Aaah Acha kuusambaza mkuu....utatumalizia taifa changa la Tanzania ERoni Hebu muonye huyu ndugu yako aana mpango wa kuondoka na watu 20🙆🙆🙆🙆ikipiga Ile circle isije ikatuangukia jamani
Haa haa mi nimesema lini hayo maneno mbona unaniwekea maneno mdomoni🙆🙆?Halafu kumbe wenye hela hawana HIV au?Ikuangukie kivipi tena jamani. Wee sii umesema kuwa hutomabanagi na wasio na hela🤣🤣🤣🤣
Mkuu Nina familia ya mke na watoto watatu kwahyo ukiona nyumba inayoweza ku accommodate familia yangu nistue! Si wanasemaga kufa kufaana.Ha haaa mwehu Sana....na Mimi moja
Wenye hela hawawezi kuwa na mawazo ya kimaakini kama yangu ya kuusambaza bwana wewe. Sie maskini ndio tuna roho mbaya chafu kutupwa. Wee gegedana na wenye hela tuu sie makapuku usituguseHaa haa mi nimesema lini hayo maneno mbona unaniwekea maneno mdomoni🙆🙆?Halafu kumbe wenye hela hawana HIV au?
Sisi kwetu Aunt yetu anaishi na maambuki haya, na tumekuja kujua miaka ya hivi karibuni baada ya kutokea maugomvi kwenye familia.. Watu ndy kutoleana siri sasa..Uzuri tu haya mambo ni siri.
Hii ndio hatari kuu inayotunyemelea , wenzi wetu watatumaliza aseeehHakika. Imagine umejitunza then unaupata kutoka kwa mkeo? Wengi nilioshuhudia wakifa kwa AIDS, walipata maambukizi ndoani.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Ila wewe ni kichaa Sana ujue wewe😁Wenye hela hawawezi kuwa na mawazo ya kimaakini kama yangu ya kuusambaza bwana wewe. Sie maskini ndio tuna roho mbaya chafu kutupwa. Wee gegedana na wenye hela tuu sie makapuku usituguse
Sii wanasemaga kuna ukichaa wa ukimwi...labda virusi vilishaanza kufika kwa ubongo🤣🤣🤣🤣🤣Ila wewe ni kichaa Sana ujue wewe😁
mwache huyo mzee ndo ametupa training vijana tumefika hapa tulipo...Ila wewe ni kichaa Sana ujue wewe😁
Vijana mpo tayari kupokea makombe ya uchezaji mahiri?mwache huyo mzee ndo ametupa training vijana tumefika hapa tulipo...