Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 601
Uongo hata unywe ARV miaka 100 Bioline ina detect chapu kwa harakaWanaokunywa dawa vizuri wanafikia level virus wanakuwa undetected kwenye rapid test kit. Hata uwezo wao wa kuambikiza ni 0.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo hata unywe ARV miaka 100 Bioline ina detect chapu kwa harakaWanaokunywa dawa vizuri wanafikia level virus wanakuwa undetected kwenye rapid test kit. Hata uwezo wao wa kuambikiza ni 0.
Pumba to the fullestMnakufa na magonjwa yenu ya kifua kikuu, malaria na magonja ya zinaa yale ya kawaida kama visonono, vipindupindu, kaswende mnakuja kusingizia UKIMWI.
Hilo gonjwa ambalo halieleweki mdudu gan anaelieneza wala harakati zake hazielewek then nyie madactar wa michongo mliofaulu Vyuo vya kukalili bila research yoyote ya msingi mliyofanya mnakuja kutishia watu.
UKIMWI hauuwi, maana haupo, kinachouwa ni magonjwa ya kawaida ambayo hapo kabla wanasiasa na matabibu vibaraka walituaminisha magonjwa yaliyouwa sana ni UKIMWI ili kujenga hofu ktk jamii ikiwa kama Utangulizi wa ujio wa biashara ya chanjo za uongo na ARV.
Msidanganye eti UKIMWI uliokuwepo hapo zaman ni tofauti na sasa, UONGO MKUBWA, kwanini ugonjwa huu ubadirike lkn magonjwa mengine hayabadiriki licha ya madawa kugundulika kila siku?.
Jiulize kwann UKIMWI pekee umekuwa ukitungiwa sababu nyingi za kuuficha ficha na kuutetea sana uonekane gonjwa lililoshindikana?.
Wauguzi, madactari na wanasiasa ni mawakala wa hao baadhi ya wazungu walioamua kuifanya afya ya binadamu/mtu kuwa sehemu ya michezo yao michafu ya kibiashara na majaribio haramu.
UKIMWI+VVU ni vitu viwili tofauti, Ukimwi hausababishi VVU wala VVU haiuwi maana kiuhalisia haipo bali kuna mkusanyiko wa magonjwa yaambukizwayo kwa njia ya blood transfussion na migusano ya ngozi, ambapo hao wahuni tunaowaamini kuwa madactari waliamua kuyaita magonjwa hayo kwa jina moja yaani HIV/AIDS.
Kiuhalisia hayo magonjwa yanatibika vzur sana.
Huwa nasema kuwa, biashara ya kudeal na Afya ya watu ni mtaji tosha pia inalipa, just imagine hata hapo mtaan kwako kuna pharmacies ngapi? hospitali binafsi kila siku zinaongezeka, viwanda vya madawa daily vinaongezeka licha ya technology ya utabibu kukua lkn why magonjwa hayaishi?
Sababu magonjwa ni UCHUMI wa watu kupitia usambazwaji wa madawa feki, utibabu wa magonjwa ya uongo, kuundwa kwa magonjwa feki, haya yote ni biashara eleweni enyi wapumbavu mliofungwa macho kupitia media na elimu za kipuuzi huko mashuleni.
UKIMWI haujawai kumuua mtu yeyote, anaebisha alete uthibitisho wa kisayansi hapa, hao ndugu zenu wamekufa kwa malaria, ukosefu wa lishe, kifua kikuu na makansa huko mnakuja kusingizi upuuzi ili kujenga hofu.
Wake up guys.
daah hivi vitu usimuliwe tu km ivi omba isikutokee. Stori yko inafanana kidogo na ya yangu. Kuna dem wa mkoa wa jirani tulipangana aje mkoa nilipo kuspend wikendi yani ijumaa hlf ataondoka jpili asbh.Hiyo ni kweli ,kuna mdada mmoja nilikuwa nasikia ana Hiv ila nikamwamabia kwenda kupima akasema haina shaka ,sa kutokana na kauri yake ya haina shaka mi nikajiaminisha kuwa atakuwa fresh tu.
Nilianza kula mzigo kwa speed kubwa mno,baada ya mda kuna mdada flani ni family member akaja nijuza pia nirafiki yake sana ,akanambia nasikia unatembea na fulani ila huyo kaathilika siku nyingi na alikonda sana siku za nyuma,kuwa makini.
Kwa kweli japo sikumpima ila nina imani ni mwathilika hadi sasa kutokana na kukuta vidonge vya arv kwenye chumba chao alikuwa akikaa na mdada wa kiarabu hivi ambae nae ni mwathilika pia.
Kweli ni asilimia ndogo sana ya kuambukiza kwa mtu anae tumia arv ipasavyo.
Mkasa mwingine ,kuna kipindi nilikuwa kanda ya ziwa maeneo ya mwanza nyakato ,kuna club fulani nilienda na jamaa yangu ,siku hiyo tulikuwa pombe vibaya ,mida ya saa saba night hiyo nikaona demu anadance vzuri nikamuita ,piga nae story tukaelewana,tukangoka room ,kulikuwa na guest maeneo ya karibu.
Demu alitoa kondom anivalishe mimi nikasema no ,nokamwambia kama huniamini kesho tutapima, alinikazia sana nivae ila baadae akaubali kwa shida nikapiga kavu ,nilipiga sana mana alikuwa mrembo na kitandani anatoa ipasavyo .
Nilimla ipasavyo hasaaa,ile ki sana yani
Asubui tukaachana ila hatukupima ,ikapita wiki moja nikamcheki tukameet tena ,nikatafuna sana tu ,ila mara hii sasa nikataka tupime ,nikamwambia akakataa kata kata ,nikambembeleza nikamwambia we twende tukapime ila majibu nitasubr mie wewe utaendelea na mambo yako na zaidi ya yote nakupa hela nzuri ukafanye mambo yako.
Alikubali tukaenda akatolewa damu yy na mimi pia ,yeye akasepa ,kwa kuwa sisi niwapenzi dokta tulimwambia ni ruksa mtu yoyote kuchukua majibu mana sisi tushakubalia,dokta hakuna na neno
Baada ya vipimo dokta akaniita ,akauliza mwenzako yupo wapi,nikasema katangulia nyumbani,akasema sawa.
Majibu yametoka ,wewe upo salama ila huyu mwenzako inavyo onekana ana maambukizi
Du!! Nilichoka nikaunganisha doti nikajua kuwa huenda anatambua ndo mana alitia ugumu kupima.
Nilipata tabu sana hadi kuanza kumeza dozi ya mwezi mmoja ili kama nitakuwa na maambukizi ya awali nipate namna ya kujinusuru.
Ila yote kwa yote nilikuwa nishamla tangia wiki moja iliyo pita na kama mda wa kujinusuru ulikuwa ushapita,hivyo nilikuwa najaribu tu bahati yangu ila lolote lile lingetokea ,kiufupi nilikosa amani ,na zaidi ya yote nilikuwa na mke na mtoto mdogo ananyonya.
Nilisimangwa sana na manesi wa kutoa zile dawa.Nifanyiwa mpango na yule dokta wa kukutanishwa na manesi wa kitengo cha ukimwi
Kufupisha story yule dada alikuwa mwathirika na alikuwa akijitambua na alikuwa akimeza dawa,nazani kilicho niokoa ni yeye kumeza dawa na risk ya kuambukiza kupungua,au ni zile dawa za dharula ingawa nilimeza ikiwa wakati umeshapita japo sina uhakika kama zilisaidia au laa! Nilpima baada ya kumaliza dozi nikawa sina maambukizi
Tuweni makini jamani kuna wakati sisi kama vijana na nguvu kazi ya Taifa huwa tunafanya mambo ya kijinga mno kiasi cha kufikia kuhatarisha hata afya zetu
Mlinde mkeo chief maana sio poa kupeleka maambukizi ya HIV nyumbani. Tumia condom.Hiyo ni kweli ,kuna mdada mmoja nilikuwa nasikia ana Hiv ila nikamwamabia kwenda kupima akasema haina shaka ,sa kutokana na kauri yake ya haina shaka mi nikajiaminisha kuwa atakuwa fresh tu.
Nilianza kula mzigo kwa speed kubwa mno,baada ya mda kuna mdada flani ni family member akaja nijuza pia nirafiki yake sana ,akanambia nasikia unatembea na fulani ila huyo kaathilika siku nyingi na alikonda sana siku za nyuma,kuwa makini.
Kwa kweli japo sikumpima ila nina imani ni mwathilika hadi sasa kutokana na kukuta vidonge vya arv kwenye chumba chao alikuwa akikaa na mdada wa kiarabu hivi ambae nae ni mwathilika pia.
Kweli ni asilimia ndogo sana ya kuambukiza kwa mtu anae tumia arv ipasavyo.
Mkasa mwingine ,kuna kipindi nilikuwa kanda ya ziwa maeneo ya mwanza nyakato ,kuna club fulani nilienda na jamaa yangu ,siku hiyo tulikuwa pombe vibaya ,mida ya saa saba night hiyo nikaona demu anadance vzuri nikamuita ,piga nae story tukaelewana,tukangoka room ,kulikuwa na guest maeneo ya karibu.
Demu alitoa kondom anivalishe mimi nikasema no ,nokamwambia kama huniamini kesho tutapima, alinikazia sana nivae ila baadae akaubali kwa shida nikapiga kavu ,nilipiga sana mana alikuwa mrembo na kitandani anatoa ipasavyo .
Nilimla ipasavyo hasaaa,ile ki sana yani
Asubui tukaachana ila hatukupima ,ikapita wiki moja nikamcheki tukameet tena ,nikatafuna sana tu ,ila mara hii sasa nikataka tupime ,nikamwambia akakataa kata kata ,nikambembeleza nikamwambia we twende tukapime ila majibu nitasubr mie wewe utaendelea na mambo yako na zaidi ya yote nakupa hela nzuri ukafanye mambo yako.
Alikubali tukaenda akatolewa damu yy na mimi pia ,yeye akasepa ,kwa kuwa sisi niwapenzi dokta tulimwambia ni ruksa mtu yoyote kuchukua majibu mana sisi tushakubalia,dokta hakuna na neno
Baada ya vipimo dokta akaniita ,akauliza mwenzako yupo wapi,nikasema katangulia nyumbani,akasema sawa.
Majibu yametoka ,wewe upo salama ila huyu mwenzako inavyo onekana ana maambukizi
Du!! Nilichoka nikaunganisha doti nikajua kuwa huenda anatambua ndo mana alitia ugumu kupima.
Nilipata tabu sana hadi kuanza kumeza dozi ya mwezi mmoja ili kama nitakuwa na maambukizi ya awali nipate namna ya kujinusuru.
Ila yote kwa yote nilikuwa nishamla tangia wiki moja iliyo pita na kama mda wa kujinusuru ulikuwa ushapita,hivyo nilikuwa najaribu tu bahati yangu ila lolote lile lingetokea ,kiufupi nilikosa amani ,na zaidi ya yote nilikuwa na mke na mtoto mdogo ananyonya.
Nilisimangwa sana na manesi wa kutoa zile dawa.Nifanyiwa mpango na yule dokta wa kukutanishwa na manesi wa kitengo cha ukimwi
Kufupisha story yule dada alikuwa mwathirika na alikuwa akijitambua na alikuwa akimeza dawa,nazani kilicho niokoa ni yeye kumeza dawa na risk ya kuambukiza kupungua,au ni zile dawa za dharula ingawa nilimeza ikiwa wakati umeshapita japo sina uhakika kama zilisaidia au laa! Nilpima baada ya kumaliza dozi nikawa sina maambukizi
Tuweni makini jamani kuna wakati sisi kama vijana na nguvu kazi ya Taifa huwa tunafanya mambo ya kijinga mno kiasi cha kufikia kuhatarisha hata afya zetu
Dah bora umejipa ukweli kwa kweli huku maafisini wake za watu wanaliwa sio kidogo na huwa tukienda hizo fields work ndio kabisa mazingira yanasababisha warlike vizuri sana hata akiwa na msimamo au smart kiasi gani lazima kuna siku ataliwa tu.
Hali hiyo ilipelekea niamini kuwa Mwanamke ni wako ukiwa umelala naye kitandani kwa wakati huo tu.
Mzee ulibeti kweli kweli[emoji16][emoji16]. Ila aisee ile kitu achana nayo, yani unaweza ukatoka huko umejipanga na makondom yako ukifika pale mkipiga foreplay tu akili inaruka, hapohapo unakuwa ushamchukua na vipimo na majibu yamekuja negative.Hiyo ni kweli ,kuna mdada mmoja nilikuwa nasikia ana Hiv ila nikamwamabia kwenda kupima akasema haina shaka ,sa kutokana na kauri yake ya haina shaka mi nikajiaminisha kuwa atakuwa fresh tu.
Nilianza kula mzigo kwa speed kubwa mno,baada ya mda kuna mdada flani ni family member akaja nijuza pia nirafiki yake sana ,akanambia nasikia unatembea na fulani ila huyo kaathilika siku nyingi na alikonda sana siku za nyuma,kuwa makini.
Kwa kweli japo sikumpima ila nina imani ni mwathilika hadi sasa kutokana na kukuta vidonge vya arv kwenye chumba chao alikuwa akikaa na mdada wa kiarabu hivi ambae nae ni mwathilika pia.
Kweli ni asilimia ndogo sana ya kuambukiza kwa mtu anae tumia arv ipasavyo.
Mkasa mwingine ,kuna kipindi nilikuwa kanda ya ziwa maeneo ya mwanza nyakato ,kuna club fulani nilienda na jamaa yangu ,siku hiyo tulikuwa pombe vibaya ,mida ya saa saba night hiyo nikaona demu anadance vzuri nikamuita ,piga nae story tukaelewana,tukangoka room ,kulikuwa na guest maeneo ya karibu.
Demu alitoa kondom anivalishe mimi nikasema no ,nokamwambia kama huniamini kesho tutapima, alinikazia sana nivae ila baadae akaubali kwa shida nikapiga kavu ,nilipiga sana mana alikuwa mrembo na kitandani anatoa ipasavyo .
Nilimla ipasavyo hasaaa,ile ki sana yani
Asubui tukaachana ila hatukupima ,ikapita wiki moja nikamcheki tukameet tena ,nikatafuna sana tu ,ila mara hii sasa nikataka tupime ,nikamwambia akakataa kata kata ,nikambembeleza nikamwambia we twende tukapime ila majibu nitasubr mie wewe utaendelea na mambo yako na zaidi ya yote nakupa hela nzuri ukafanye mambo yako.
Alikubali tukaenda akatolewa damu yy na mimi pia ,yeye akasepa ,kwa kuwa sisi niwapenzi dokta tulimwambia ni ruksa mtu yoyote kuchukua majibu mana sisi tushakubalia,dokta hakuna na neno
Baada ya vipimo dokta akaniita ,akauliza mwenzako yupo wapi,nikasema katangulia nyumbani,akasema sawa.
Majibu yametoka ,wewe upo salama ila huyu mwenzako inavyo onekana ana maambukizi
Du!! Nilichoka nikaunganisha doti nikajua kuwa huenda anatambua ndo mana alitia ugumu kupima.
Nilipata tabu sana hadi kuanza kumeza dozi ya mwezi mmoja ili kama nitakuwa na maambukizi ya awali nipate namna ya kujinusuru.
Ila yote kwa yote nilikuwa nishamla tangia wiki moja iliyo pita na kama mda wa kujinusuru ulikuwa ushapita,hivyo nilikuwa najaribu tu bahati yangu ila lolote lile lingetokea ,kiufupi nilikosa amani ,na zaidi ya yote nilikuwa na mke na mtoto mdogo ananyonya.
Nilisimangwa sana na manesi wa kutoa zile dawa.Nifanyiwa mpango na yule dokta wa kukutanishwa na manesi wa kitengo cha ukimwi
Kufupisha story yule dada alikuwa mwathirika na alikuwa akijitambua na alikuwa akimeza dawa,nazani kilicho niokoa ni yeye kumeza dawa na risk ya kuambukiza kupungua,au ni zile dawa za dharula ingawa nilimeza ikiwa wakati umeshapita japo sina uhakika kama zilisaidia au laa! Nilpima baada ya kumaliza dozi nikawa sina maambukizi
Tuweni makini jamani kuna wakati sisi kama vijana na nguvu kazi ya Taifa huwa tunafanya mambo ya kijinga mno kiasi cha kufikia kuhatarisha hata afya zetu
Hili gonjwa salute, Kuna jirani mmoja aligoma kunywa dawa ATI kachoka.
Mwsho wa siku akinywa maji hata hahitaji kukojoa Kwa mb,ooh maji yalikua yanatokea kwenye mbavu za chini tumbo lilipasuka Kwa majipu makubwa ikawa ni direct unakunywa yanamwagika.
Hatari sana aiseee huu ugonjwaa noma sanaa...!!Nakumbuka 2001 kuingia 2002 kuna dada tulikuwa tunasali naye kipindi hicho huko nyumbani kanda ya ziwa. Dada alikuwa mzuri sana pisi ya kwenda sema ndo ivo alikuwa hajatulia kudanga kwa sana route kama zote. Ww si akaja kanya waya, nakumbuka bado nilikuwa mdogo but namkumbuka vzuri. Akaanza kuugua mdogo mdogo zinapita week hata 2 haji kanisani siku akija full kulala lala tu mara atoke nje kuota jua wakati joto kali mcha yeye baridi haliishi. Mwisho wa siku habari zikasambaa mtaani kuwa dada kauvagaa. Ikifikia kipindi hawezi kutoka ndani kanisani hatokei tena nikaja kumuona siku moja nahisi ndo ilikuwa siku yake ya mwisho kuja kanisani maana aliletwa kanisani kwny baiskel na kaka yake. Dada kaisha kawa kama mtt mdogo nywele zimenyonyoka nyepesi mdomo kama kapaka unga dalili zote unaziona kabisa hazijifichi.
Tokea hapo sikumuona kuja tena kanisani hata mataani, akawa wa kulala ndani tu kila kitu kitandani hata chooni hawezi kwenda ilikuwa balaa siku tukaenda kumsalimia yaani kitandani huoni mtu mtu unasikia sauti tu halafu kipindi hicho walikuwa wanakuwa wakali balaa. Mwaka 2002 kama sikosei dada wa watu akaumaliza mwendo. Jamani UKIMWI wa miaka ya 2000 ilikuwa ni balaa. Mtu unakonda unabaki kichwa tu nywele zinaisha kichwani, mdomo unapauka, majipu hayakuishi, kuharisha ndo usiseme. Waliopata HIV kipindi hicho waliteseka sana.
#WatchOutHIVisReal.
Mzee ulibeti kweli kweli[emoji16][emoji16]. Ila aisee ile kitu achana nayo, yani unaweza ukatoka huko umejipanga na makondom yako ukifika pale mkipiga foreplay tu akili inaruka, hapohapo unakuwa ushamchukua na vipimo na majibu yamekuja negative.
Then kuna kitu kinakuja kichwani "aargh piga tu hvyohvyo yuko fresh huyo", na wew unajipa moyo "kikubwa utelezi uwe wa kutosha tu kusiwe kukavu sana kuepuka michubuko".
Unakuja kushtuka unapigwa shoti moja kali[emoji16][emoji16]
Mda huo kichwa cha juu kinakuwa blocked, ni cha chini tu ndio kinafanya maamuzi. Na hapo ndio unajikuta unafanya maamuzi ya hovyo, kubet dk 90 au unabeti kipindi cha pili[emoji38]. Omba Mungu tu akuachie ka starter pack tu kama uti maana shoti inavuruga mfumo mzima wa maisha yako yaliyobakia hapa duniani!hii ishamtokea mwenzetu flan huko. yy alikutana na ile mishangaz yenye mi.tako kama mlima sayuni sasa bana mwenyew akajiapiza kabisa kwa jina la muumba wake kuwa kamwe hatapiga kavu! sasa akazama na bando lake la kondom kukutana na bidada. bwana bwana bwana sasa pale mwanzo yale mambo ya kupekecha mb.00 juu ya vile vilima si hali ya hewa ikabadilika bana. joto likaongezeka likawa joto na kuanza kusongasonga fikra za jamaa yetu mithili ya masuke ya mibaazi. akili za jamaa yetu zikahama kabisa anakuja kutahamaki pambano limeisha na hakuna chembe ya ndom iliyohusika.
Wapi hukoKijijini kwetu ulifyeka kijiji kizima, wamebaki watu wachache sana, nyumba ni nyingi kuliko watu.
Vijana kutoka mikoa mingine wanajikalia bure kwenye nyumba zilizoachwa
Mda huo kichwa cha juu kinakuwa blocked, ni cha chini tu ndio kinafanya maamuzi. Na hapo ndio unajikuta unafanya maamuzi ya hovyo, kubet dk 90 au unabeti kipindi cha pili[emoji38]. Omba Mungu tu akuachie ka starter pack tu kama uti maana shoti inavuruga mfumo mzima wa maisha yako yaliyobakia hapa duniani!
Tukianza kuzilipia tutaisha woteNi kweli lakini hata kama ukiupata ukajikubali maisha yanaenda arv si zipo.
Shida ni kama itafika siku hao wanaleta dawa wakisema hawazileti tena au wanaleta lakini watu wazilipie hapo patakuwa pagum kwa nchi zetu hizi.