Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Hapana mkuu utakuta mtu swala 5 afu ni anaswalisha au anamiliki msikini ila ni mganga wakinyeji au watu wana mtuhumu kuwa ni mchawi
Kwa wakristo haiwezeka ila washirika washirikina wapo ila wanajificha sana
Ni kwamba ushirikina ni mpana mwamposa mshirikina ,lusekelo ,sijui mlima wa moto wote ni washirikina.

Maji ya upako wote washirikina ..sawa ni waganga wavaa suti wanaojiita manabii wote ni washirkina.

Wanaoabudu masanamu ni washirikina.

Ushirikina mpaka usome sana ndo utajua ukienda kukiri dhambi mbele ya binadamu mwenzio ni ushirikina pia.
 
hajui kuwa Mtu swala tano swafii na anafuga majini
Unaweza kuswali ila kwa kuwaongopea wanadamu tu ila kwa Mungu huswali kabisa ni mnafiki.

Ukisikia mtu anafuata swalah zote ina maana hizo swalah zinamkataza kutenda maovi yaani kama bado anafanya hayo maovu bado swalah zake hazikubaliki.

Ukiwa mshirikina ,mwizi ,mzinzi ,tapeli na mambo yote ya hovyo basi hauna swalah mpak uache hayo mambo.

So mshirikina hafuati swalah ila anajidanganya.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimesema uongo? Mapema tu mimi nlimuonya dogo kuwa anazidisha sana chumvi itakuwa ngumu huko mbeleni. Mkaanza nishukia. Mkaona mimi nawanyima nafasi ya kusoma hadithi ambayo mnaambiwa ni kweli kumbe ya kutunga. Uchawi upo ila si kwa kiwango anachosema mtunzi. Sema watunzi wengi wamejua JF wanapenda stories za Kichawi sana.
 
NB: Kutokana na ubusy wa kazi, hadithi hii itaishia hapa ila kwa atakayetaka muendelezo wake namkaribisha PM, kwa vitabu mbalimbali vya hadithi na mikasa ya kweli na story za audiobooks
Yamekuwa haya tena.🙌😂😂😂

So PM hauko busy mkuu???

Bora tu ungeendelea hapa hapa ukaweka tu na namba wenye nia ya kukuunga mkono kwa chochote tungefanya hivyo. Vinginevyo tumekuona ni mbabaishaji.
 
Wadau nipo busy kidogo mambo yamebana. Ndo maana muda unakosekana. Ila nimeweka namba ya simu. Nicheck kwa hiyo namba nitakupatia visa vingine.
 
Picha lingeanza kwa kugoma kutembea kwa magoti na kugoma kuomba msamaha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulisema kweli tulikupinga huwa unaona mbali

Sasa me nauliza pm tunaenda bure au na hela hajanyoosha maelezo vizuri
 
Vipo vitabu vya hadithi za kutisha kwa yeyote atakaye hitaji hadithi ni za ukweli na nyingine za kubuni, kwa stori hii nitaishia hapa hopefully mnaenjoy na kujifunza pia, napokea maoni kupitia private messages (PM).
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uzuri nilishajua unawarushia watu mahindi ili wajae kapuni uwavune.
Uzuri zaidi members wa JF nao wana uzoefu mkubwa wa kuishia njiani kwenye hadithi nyingi. Hapo walipo ukute wameshangaa hata kufika hadi hiyo sehemu ya 10 wakati walijiandaa kuishia sehemu ya 3.
 
Sina stori niliyowahi kuimaliza JF nikiona Itaendelea naishia hapo.
Ukiamua kuleta stori iandike kabisa yote iishe ukija unakimbiza mwanzo mwisho kama Deepond. Mambo ya kutuambia watu wazima itaendelea ni ukahaba
 
Nilijua tu lazima uje kutetea tanga yako ndo maana nimesema sisi wakristo kama unafanya utafanya kwa sili sana kwa sababu dini yetu inakataza

Ila salama leko na ushirikina hauwezi tofautisha, mtu unaswali swala 5 afu unamganga wako au mganga wa familia
Kwetu sisi ni mwiko
 
Wakristo wa maji ya upako na ushirikina huwezi kutenganisha.

Kutubu dhambi kwa mchungaji ni ushirikina.

Kuita yesu ni Mungu badala ya Mungu mmoja ni ushirikina.

Ukristo kwa ujumla ukiamini tu ni mshirikina.🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…