Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulisema kweli tulikupinga huwa unaona mbali

Sasa me nauliza pm tunaenda bure au na hela hajanyoosha maelezo vizuri
Pm anakuwa hajabanwa sana kama kuandika huku.... Muendelee tu kunitukana. Mi nikiona uzi mwanzoni tu najua uelekeo wake.
 
Stori la uongo nimeishia kwenye tone la damu.

Byeee!
 
story lako baya unataka kutuuzia we kweli lofa hatuji kununua story lako bovu la kutunga ati mkaunganisha ndimi lol kwendaaaaa [emoji3][emoji3]
 
Hujalazimishwa na hakuna mtu nimemtoza pesa kwenye hii hadithi, hukunisaidia kuandika.
pm utakuwa unampa mtu mmoja mmoja hapa unaweka mara moja tu huoni huko pm ndio kazi? unataka kutulipisha? huu uhuni tulishapita kitambo sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
NILIWAAMBIA NYIE MAZUZU HADITHI YA UONGO KUNA NAMNA UKIOTENGENEZA BAADAYE UNAPATA SHIDA KUOENDELEZA.
nisamehe sana mkuu nilikupinga naomba niwe muungwanga kwa kukuomba radhi mithili ya alikamwe alivyomuomba mgunda nimekosa mimi nimekosa sana [emoji1787][emoji1787]
 
nisamehe sana mkuu nilikupinga naomba niwe muungwanga kwa kukuomba radhi mithili ya alikamwe alivyomuomba mgunda nimekosa mimi nimekosa sana [emoji1787][emoji1787]
Its just ok. Hamna shida. Mi nina miaka mingi humu JF na umri pia. Ukiacha ID hii. Ya kwanza kabisa nliifungua enzi za Jambo Forum. Ukichanganya kaumri kangu ka miaka 50 plus. Naelewa sana haya mambo. Nlishafanya sana huu utapeli. So napokosoa kitu najua huyu mtu anapita ambamo nlipita mimi miaka 10 mpaka 15 iliyopita. Mnaponitukana nacheka tu.
 
Vipo vitabu vya hadithi za kutisha kwa yeyote atakaye hitaji hadithi ni za ukweli na nyingine za kubuni, kwa stori hii nitaishia hapa hopefully mnaenjoy na kujifunza pia, napokea maoni kupitia private messages (PM).
We ni kenge tu
 
Hio Kwamsisi mzee aliacha shamba la heka 50 la michungwa na minazi pamoja na nyumba ya room 3 🀣🀣🀣 sijui nini kilimpataga bana.
Fanya mpango ukafuatilie hizo mali ukiwa na maji ya mwamposa na mafuta mkononi vitarudi aminiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Story yenyewe ni ya kuunga unga hata haieleweki cjui ni anasimulia Bongo MovieπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…