Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
 
Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
[emoji2211][emoji2211][emoji2211]Akh kumbe story ya kufikilika.me nikajua real.
 
Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
Safi sana. Waelewe kutunga siyo kitu rahisi. Hasa hatua ambayo ulifikia nilikuambia dogo itakupa ugumu kuendeleza . Umeona sasa? Hapo inakubidi ufikiri sana kwenye kuitunga..... Ila naafiki wakuchangie uchakavu. Utunzi si kitu rahisi.
 
Safi sana. Waelewe kutunga siyo kitu rahisi. Hasa hatua ambayo ulifikia nilikuambia dogo itakupa ugumu kuendeleza . Umeona sasa? Hapo inakubidi ufikiri sana kwenye kuitunga..... Ila naafiki wakuchangie uchakavu. Utunzi si kitu rahisi.
Hainisumbui coz ni story ya kweli, na nimesha iandika. Changamoto ndogondogo kwenye finalisation. Ni lazima uongeze vionjo flaniflani.
 
Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
Yaani umlipishe mtu kwa story zenye makosa kibao ya uandishi.

Wewe ni mwandishi mchanga, kwa ushauri andika story ipost mahala popote bure, uone michango ya watu ili ukomae.

Story yako ina flow mbovu ila kwakua ulisema ni real story na watu wengi uandishi kwao ni tabu basi wadau wakasoma hivyo hivyo ili wapate kitu.

Punguza tamaa ujifunze bwana mdogo, hii hii story yako unaweza kuimodify kwa michango ya watu humu na ile kosoa kosoa yao, ukaandika kitabu kizuri kisicho na how how nyingi!!
 
Yaani umlipishe mtu kwa story zenye makosa kibao ya uandishi.

Wewe ni mwandishi mchanga, kwa ushauri andika story ipost mahala popote bure, uone michango ya watu ili ukomae.

Story yako ina flow mbovu ila kwakua ulisema ni real story na watu wengi uandishi kwao ni tabu basi wadau wakasoma hivyo hivyo ili wapate kitu.

Punguza tamaa ujifunze bwana mdogo, hii hii story yako unaweza kuimodify kwa michango ya watu humu na ile kosoa kosoa yao, ukaandika kitabu kizuri kisicho na how how nyingi!!
Usinifundishe uandishi, wewe kama unajua kukosoa si uandike story yako hata moja tuione, mimi ni mwandishi wa vitabu, sio hizi episode za JF. Kwa wanaojua umuhimu wa uandishi wamesha nifuata PM, watu kama wewe hawanisumbui, ushauri peleka angaza.
 
JF imetoa nafasi bure ww unataka kulipisha watu, hizi njaa hizi.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
JF imetoa platform ambayo kila mtu anaweza kuitumia, ukumbuke kuandika content sio rahisi nyingine zinapatikana kwenye mazingira magumu, na gharama zinatumika pia.
 
Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
Nani akufuate pm wewe acha kujishaua
 
Usinifundishe uandishi, wewe kama unajua kukosoa si uandike story yako hata moja tuione, mimi ni mwandishi wa vitabu, sio hizi episode za JF. Kwa wanaojua umuhimu wa uandishi wamesha nifuata PM, watu kama wewe hawanisumbui, ushauri peleka angaza.
Unapewa ushauri wewe unang'aka kama kondoo,endelea na ujinga udhani hapa kuna watu wajinga kama wewe na hakuna hata mtu mmoja aloyekufata pm,kwa hapa JF tu utaambulia upepo.

Nakuhakikishia siku ukijiroga uweke hapa simulizi nyingine utajikuta unaisoma wewe tu,ushalikoroga lazima ulinywe
 
Unapewa ushauri wewe unang'aka kama kondoo,endelea na ujinga udhani hapa kuna watu wajinga kama wewe na hakuna hata mtu mmoja aloyekufata pm,kwa hapa JF tu utaambulia upepo.

Nakuhakikishia siku ukijiroga uweke hapa simulizi nyingine utajikuta unaisoma wewe tu,ushalikoroga lazima ulinywe
Unachoongea sikielewi, okay unalingine...
 
Unachoongea sikielewi, okay unalingine...
1.Simulizi uchwara watu wameikimbia

2.Hakuna hata mtu mmoja aliyekufata pm

3.Wewe ni zezeta

4.Simulizi zako utakuwa unasoma mwenyewe na ukoo wenu lakini hapa JF ushaula wa chuya

5.Kama ulitegema hapa JF upige pesa badala yake unajikuta umeula wa chuya

6.Wewe ni zumbukuku
 
Usinifundishe uandishi, wewe kama unajua kukosoa si uandike story yako hata moja tuione, mimi ni mwandishi wa vitabu, sio hizi episode za JF. Kwa wanaojua umuhimu wa uandishi wamesha nifuata PM, watu kama wewe hawanisumbui, ushauri peleka angaza.
Kukosolewa ni sehemu ya kujifunza bwana mdogo usishupaze shingo shauri yako..

Weka list ya vitabu vyako tuvitafute kama wewe ni mwandishi, namna gani ticha. Uandishi mbovu namna hii halafu hutaki kukosolewa.

Wamekufuata kwa hiyo kuziita story zako ni za kweli japo ni za kutunga tu.
 
1.Simulizi uchwara watu wameikimbia

2.Hakuna hata mtu mmoja aliyekufata pm

3.Wewe ni zezeta

4.Simulizi zako utakuwa unasoma mwenyewe na ukoo wenu lakini hapa JF ushaula wa chuya

5.Kama ulitegema hapa JF upige pesa badala yake unajikuta umeula wa chuya

6.Wewe ni zumbukuku
Nimekusamehe bure, umeishia kuporomosha matusi, ila sijaona point yako.
 
Kukosolewa ni sehemu ya kujifunza bwana mdogo usishupaze shingo shauri yako..

Weka list ya vitabu vyako tuvitafute kama wewe ni mwandishi, namna gani ticha. Uandishi mbovu namna hii halafu hutaki kukosolewa.

Wamekufuata kwa hiyo kuziita story zako ni za kweli japo ni za kutunga tu.
Nani amfuate pm na visimulizi vyake uchwara,kwanza muandishi gani hata kupangilia maneno hawezi?,Hivyo vitabu labda watasoma ndugu zake lakini si wabongo ninao wafahamu.

Akiweka kitabu alichoandika utanitag mkuu
 
Back
Top Bottom