Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Kukosolewa ni sehemu ya kujifunza bwana mdogo usishupaze shingo shauri yako..

Weka list ya vitabu vyako tuvitafute kama wewe ni mwandishi, namna gani ticha. Uandishi mbovu namna hii halafu hutaki kukosolewa.

Wamekufuata kwa hiyo kuziita story zako ni za kweli japo ni za kutunga tu.
Ukihitaji story zangu nifuate PM nitakuletea ama kukutumia popote ulipo.
 
1.Simulizi uchwara watu wameikimbia

2.Hakuna hata mtu mmoja aliyekufata pm

3.Wewe ni zezeta

4.Simulizi zako utakuwa unasoma mwenyewe na ukoo wenu lakini hapa JF ushaula wa chuya

5.Kama ulitegema hapa JF upige pesa badala yake unajikuta umeula wa chuya

6.Wewe ni zumbukuku
Nimempa ushauri anajifanya kushupaza shingo.

Leo hii ndgu yetu umughaka akiamua kuleta story na akasema anaiuza si ajabu atapata uungwaji mkono sana kwa story zake mbili tatu tu alizotoa humu. Watu wakakosoa, wakatukana lazima kuna mambo kajifunza.

Lakini huyu bwana mdogo story hii kaikimbia eti nenda pm uuziwe, nyambaf.
Unamshauri anaona unamzibia riziki.
 
Nimempa ushauri anajifanya kushupaza shingo.

Leo hii ndgu yetu umughaka akiamua kuleta story na akasema anaiuza si ajabu atapata uungwaji mkono sana kwa story zake mbili tatu tu alizotoa humu. Watu wakakosoa, wakatukana lazima kuna mambo kajifunza.

Lakini huyu bwana mdogo story hii kaikimbia eti nenda pm uuziwe, nyambaf.
Unamshauri anaona unamzibia riziki.
Unaroho mbaya kama maisha yako
 
Nani amfuate pm na visimulizi vyake uchwara,kwanza muandishi gani hata kupangilia maneno hawezi?,Hivyo vitabu labda watasoma ndugu zake lakini si wabongo ninao wafahamu.

Akiweka kitabu alichoandika utanitag mkuu
Hana kitabu, kampuni hazichapi vitabu hovyo lazima zivipitie. Wakiridhika ndo wanakitoa.

Ndio maana nikamwambia aweke kitabu chake hapa tumuungishe. Mbona maduka ya vitabu yapo na waandishi wanasambaza hard copy.
 
Ukihitaji story zangu nifuate PM nitakuletea ama kukutumia popote ulipo.
Pm wapi wewe,unaiba simulizi za watu unasema wakufuate pm,acha wizi wewe!.

Kama hizo simulizi ni zako kwanini usiweke hapa ili tuone itakayovutia ili tuweze nunua?,Huko pm kufanya nini kama simulizi si ya wizi?

Wanaume wanaandika kwa jasho wewe unakuja kuiba na kuzifanya zako,acha wizi na utapeli.


Tuambie hapa kila mtu aone umeandika simulizi na vitabu gani?,Mbona waandishi wengine wanapromote kazi zao hapa wazi wazi?,wewe kwanini watu waje pm?

Usipoweka hizo simulizi na vitabu hapa wewe utakuwa mwizi wa kazi za watu na kuzifanya zako
 
Nimempa ushauri anajifanya kushupaza shingo.

Leo hii ndgu yetu umughaka akiamua kuleta story na akasema anaiuza si ajabu atapata uungwaji mkono sana kwa story zake mbili tatu tu alizotoa humu. Watu wakakosoa, wakatukana lazima kuna mambo kajifunza.

Lakini huyu bwana mdogo story hii kaikimbia eti nenda pm uuziwe, nyambaf.
Unamshauri anaona unamzibia riziki.
Dogo ni muhuni na mwizi
 
"I want to die judge" tumeisoma mwanzo mwisho humu humu Jf na bado isidingo ya "nilimdhani kahaba kumbe ni bikra" hatujaombwa chochote sembuse iwe hii wasakatonge
Hahahah! Mkuu kati ya hizo mbili ulizotaja ni true story au za kutunga tu?
 
Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
Hatutaki tena story zako huelewi?
 
Usinifundishe uandishi, wewe kama unajua kukosoa si uandike story yako hata moja tuione, mimi ni mwandishi wa vitabu, sio hizi episode za JF. Kwa wanaojua umuhimu wa uandishi wamesha nifuata PM, watu kama wewe hawanisumbui, ushauri peleka angaza.
Acha kudhalilisha uandishi dogo. Unadhani uandishi ni kama matako... Kila mtu anayo. Kiswahili bado hukijui vizuri watu walikuvumilia tu wasukume muda uende wakirekebisha moyoni. Dogo bado sana kwenye kuandika. Bado hata akili ya kutunga haijakomaa...
 
Hio Kwamsisi mzee aliacha shamba la heka 50 la michungwa na minazi pamoja na nyumba ya room 3 🤣🤣🤣 sijui nini kilimpataga bana.
Sasa mkuu kwanini usifuatilie utajiri huo wa mzee? Au unaogopa kuchimbua?🤣🤣
 
Hio Kwamsisi mzee aliacha shamba la heka 50 la michungwa na minazi pamoja na nyumba ya room 3 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui nini kilimpataga bana.
Ardhi utajiri kabisa huu nje nje ,Fanya ufuatilie ,tudhihirishe ukweli wa mwamposa
 
Chizi Maarifa wewe Ni wa Tanga sehemu gani? Kama unatokea Lushoto ambàko hakuna wachawi kaa kimya. Tanga wachawi wapo.
Unajua kwamba ukienda kununua utajiri wa kichawi Tanga, mganga mwenyewe ndio anakupa mtaji usio pungua milioni ishirini? Sio huko eti wakinga wananunua na kutoa kafara kwa kuua ndugu.Tanga hakuna kafara la kumwaga damu ya ndugu , sharti Ni moja tu, usitembee na mwanamke wa nje, amini usiamini Hilo sharti hata Mimi limenishinda. Isitoshe na mtaji unapewa. True kabisa sema kiapo chake tu ndio balaa.

Mbona rahisi hivyo
 
Kuna maneno unaongeza sana chumvi. But pia huwezi kulia maneno hayo sijui mtetezi wangu amekufa nitatetewa na nani..... Hayo ni maneno ya ufalah. Mwanaume hawezi lia hivyo so rekebisha. Pia unapotunga angalia maneno ya kutumia na usiweke chumvi sana. Maana naona yaani unazidisha hata uhalisia. Pamoja na kuwa wasomaji wanapenda stories za uchawi. Too much is harmful.

We ni mavi tu
 
Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
[emoji23] Ghafla sanaaaaaa
 
Unaroho mbaya kama maisha yako
Sio roho mbaya, unaambiwa ukweli.

Bila shaka mpaka hapa umejifunza kitu.
Punguza tamaa, uandishi ni kazi ngumu hata utokaji wake unahitaji maarifa haswa.
Ukitanguliza hasira mbele hutatoboa, we ukikosolewa unamrukia mtu jumla jumla.

Account yenyewe hii ni feki halafu unataka utumiwe pesa ndo utume story kama sio utapeli ni nini??
Wafanyabiashara wenzio wanaweka namba hadharani kabisa na anuani na majina yao, mtu anatuma pesa bila mawazo.

Ukikimbia na ela za watu je,? Au ndo tutaenda mwa Melo tumuulize gstar ni nani
 
Back
Top Bottom