ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Zote ni BET, labda kama na wewe una BET yakoTofautisha BET International Act ( TUZO )
BET Viewers choice award ( TAKATAKA aliyopewa Rayvanny )
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zote ni BET, labda kama na wewe una BET yakoTofautisha BET International Act ( TUZO )
BET Viewers choice award ( TAKATAKA aliyopewa Rayvanny )
Ndo yupo category 1 na burnaboy na domokaya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee huyu jamaa hivi naye yupo kwenye list ya BET?
Hiyo takataka ya viewers choice ni msanii gani mwingine amewahi kupewa ?Zote ni BET, labda kama na wewe una BET yako
Mtu ambaye ukimpuuza ana puuzika ni yule asiye na mdomo. Mwenye mdomo hata ukimpuuza atautumia mdomo huo huo kuja kwenye angle zako just to irritate youMtu ukimpuuza hawezi kukusumbua wala uwezi mpa mda wako, wewe kama kwako hana impact achana nae
Labda kama huko WCB media au label, kinyume cha hapo ni wewe ndio kihere here na bando lakoMtu ambaye ukimpuuza ana puuzika ni yule asiye na mdomo. Mwenye mdomo hata ukimpuuza atautumia mdomo huo huo kuja kwenye angle zako just to irritate you
Halafu huyu wizkid ni mwafrica mwenzetu sa si bora tumsapoti huyu akatuwakilishe kibara mazee?Ndo yupo category 1 na Burna Boyy na Domokaya, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekwambia ile ni BET, kama BET nyingine, labda wewe uje na kampuni yako nyingine ya BETHiyo takataka ya viewers choice ni msanii gani mwingine amewahi kupewa ?
Hata wapambe kama nyie ni moja ya matawi yake yenye MDOMOLabda kama huko WCB media au label, kinyume cha hapo ni wewe ndio kihere here na bando lako
Mayor sio Chama mkuu?Nimemuona mtu ambaye amewahi kuwa mayor kupitia chadema naye anasheherekea hili.
Tunasema magu aliligawa taifa kwa kutumia itikadi za vyama, sasa hii movement inafanya nini kama siyo kufanya yale yale
Basi tupo sana, na tutaendelea kukutana sana kwenye viunga hivi vya JamiiForumsHata wapambe kama nyie ni moja ya matawi yake yenye MDOMO
Siasa Zina consequences zake...Kuhamasishana ili watu wasimpgie kura mtu kutokana na itikadi yake ya kisiasa huo ni uadui. Hauna tofauti na magu alivyokuwa anawaweka ndani wapinzani. Na huenda kama wangekuwa na madaraka nao wangefanya kama magu
Kumshutumu kuwa yeye ni CCM siyo tusi, na pia kumnyima kura kwa sababu yeye ni CCM wala si dhambi. Hata yeye Diamond anavyowashutumu wasio wana CCM siyo tusi - ni haki yake kama ambavyo naye alivyowanyima kura.Mimi Sina tatizo na watu kutompigia kura Diamond huo ni Uhuru wao, ambacho mimi napinga ni kujaribu kumshutumu Diamond kwa kuwa tu ni ccm, wakati kuwa ccm sio kosa, ni jambo la uchaguzi binafsi, kama Simba au Yanga
Kwanini ashutumiwe yeye ni ccm , halafu wasanii wengine ambao ni ccm kama yeye wanawakumbatia? Ndio hapo tunapata mashaka na hii hoja yao dhaifu mnoKumshutumu kuwa yeye ni CCM siyo tusi, na pia kumnyima kura kwa sababu yeye ni CCM wala si dhambi. Hata yeye Diamond anavyowashutumu wasio wana CCM siyo tusi - ni haki yake kama ambavyo naye alivyowanyima kura.
Kushutumiana na kunyimana kura ni part and parcel ya demorasia ya kweli.
Haya madogo sana , yalishapita makubwa hawezi kuyumba kwa kushindwa na Burna boy, maana nae ni msanii mkubwa, labda angeshindwa na Kiba lingekuwa tatizoSiasa Zina consequences zake...
Diamond hizi ndio consequences zake.
Umesahau kilichowakumba Bongo Movie??? Baada ya kujihusisha na Mambo ya siasa ? Hizo ndio consequences za siasa acha wavune walichokipanda.
Ukijiunga na siasa himili na matokeo yake. Acha diamond ahimili haya matokeo.
Muda UtaongeaHaya madogo sana , yalishapita makubwa hawezi kuyumba kwa kushindwa na Burna boy, maana nae ni msanii mkubwa, labda angeshindwa na Kiba lingekuwa tatizo
Category ya diamond haina mass voting ina kura 500 tu za watu maalumu.Halafu huyu wizkid ni mwafrica mwenzetu sa si bora tumsapoti huyu akatuwakilishe kibara mazee?
Huyu burnaboy Domokaya bado sijawanyaka fresh, ila sio mbaya nina device 5 kura 3 zitaenda kwa wizkid halafu hizo mbili nazi supply kwa hao wawili.
Akili yako ndogo sana. Sometimes panua akili yako iwe kubwa kama mdomo wa boss wakoNimekwambia ile ni BET, kama BET nyingine, labda wewe uje na kampuni yako nyingine ya BET
Hakuna ubaya wowote...ndiyo demokrasia yenyewe. Kila mtu anaamua lile analoliona ni jema kwake.Kwanini ashutumiwe yeye ni ccm , halafu wasanii wengine ambao ni ccm kama yeye wanawakumbatia? Ndio hapo tunapata mashaka na hii hoja yao dhaifu mno
Na ndio maana imekua ngumu kuwapuuza kwasababu mpaka wapambe nao wana midomoBasi tupo sana, na tutaendelea kukutana sana kwenye viunga hivi vya JamiiForums