Siungi mkono watu Kumchukia Diamond kisa aliipigia kampeni CCM

Siungi mkono watu Kumchukia Diamond kisa aliipigia kampeni CCM

We unafikiri BET ni sawa na NEC ya mahera ambayo inafata meza yenye bia nyingi ya kumlamba boss miguu?
BET Ata vanyboy alishachukua huku wakati fulani, nashangaa mnapo angaika, narudia nyie kelele zenu kama NZI hazina madhara, na hili JPM alilijua
 
BET Ata vanyboy alishachukua huku wakati fulani, nashangaa mnapo angaika, narudia nyie kelele zenu kama NZI hazina madhara, na hili JPM alilijua
Rayvan alichukua BET kipindi ambacho hakutengeneza matabaka.

JPM ndio nani? Hivi hli jina bado linaendelea kutumika tu au kuna mrithi wake analiendeleza?
 
Ujumbe utamfikia siku nyingine atakuwa makini atapunguza ki ele ele.
Hivi unafikiri haya makelele mmeanza leo? kilichoongezeka wakati huu ni kigogo tu , utaratibu ni ule ule ccm mbele kwa mbele, kampeni kama kawaida
 
Rayvan alichukua BET kipindi ambacho hakutengeneza matabaka.

JPM ndio nani? Hivi hli jina bado linaendelea kutumika tu au kuna mrithi wake analiendeleza?
Kulikuwa na team Kiba, na wapinzani wengine, hivyo hakuna jipya, Ata hawa wa sasa hawana jipya, Diamond hawezi kushushwa na wapiga mboyoyo
 
Hivi kwanini NEC isimpe ushindi wa mezani Diamond kama ilivyo kawaida yetu?
 
Mtu yeyote yupo huru kumpigia kampeni yeyote yule.

Kwa upande mwingine, kuna kazi nyingine, hutakiwi kujishikamanisha na chama fulani moja kwa moja. Ukiamua kujishikamanisha na chama moja kwa moja, hiyo shughuli yako itaonekana ina mahusiano ya moja kwa moja na hicho chama, na kuhasimiwa na upande mwingine au kundi neutral ni halali, na kukosa wapenzi tika kwa makundi hasimu siyo ajabu. Kwa hiyo wasanii wapo huru kushikamana na vyama lakini wawe huru pia kuyapokea matokeo.

Kwa ule uchafu, ushetani na uharamia uliokuwa umefanywa na marehemu Magufuli, kabla na wakati ya uchaguzi, yeyote aliyeunga mkono au kushiriki, anakuwa sehemu ya ushetani. Anastahili kulaaniwa na kila mtanzania mwenye akili timamu, mdemokrasia na anayelipenda Taifa lake, japo kuna nafasi ya kujirudi na kujisahihisha, kwa waliokuwa wamekengeuka. Kwa kuoitia mtu mmoja Taifa lilinajisiwa, na kwa kupitia mmoja Taifa linaweza kuponywa.
Wanaharakati wa Twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi.

Hivi unajiuliza hawa CHADEMA hizi kampeni zina mkono wa chama chao au ni kikundi cha watu tu wa CHADEMA wameamua kukichafua hicho chama.

Nchi hii ipo huru kuwa mpenzi wa chama chochote, iweje mtu akiwa mpenzi wa CCM aonekane ni msaliti?

Diamond ameanzisha Wasafi Radio na Wasafi TV. Kupitia hivyo vyombo vya habari ametoa ajira nyingi kwa watanzania. Ni mwanamuziki gani mwingine wa Tanzania ambaye ameweza kuanzisha vitu vinavyoajiri watu wengi kiasi hicho?

Hebu tuache chuki za kijinga.

Uko sahihi 💯, tujiulize tu swali dogo hivi Mbowe angekua Diamond asingesupport Magufuli?🤔
Jifunze kutofautisha Kati ya Chama na wafuasi wa chama
Wako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
Kama unaanzisha kampeni ya kuhamasisha watu wasimpgie kura mwanamziki kisa alikuwa chama tofauti na chama chako, siku ukipata madaraka utakamata hata mali za waliokuwa wanakupinga, unaweza kuwaweka ndani pia.

Hizi ni tuzo za mziki siyo za kiongozi bora. Sasa hata wanaodai demokrasia wameanza kutumia njia ya au uko nasi au wewe ni adui yetu, same as waliyekuwa wanamlaumu kuwa anataka kugeuza nchi yote kuwa ya ccm.
Screenshot_20210531-145848_Chrome.jpg
 
Kulikuwa na team Kiba, na wapinzani wengine, hivyo hakuna jipya, Ata hawa wa sasa hawana jipya, Diamond hawezi kushushwa na wapiga mboyoyo
Mimi sina cha team kiba wala team mond, yeyote anaye fakisha sioni kazi kumchana.

Inawezekana wewe ukawa ni team mond na ndio maana unahisi ndio sababu nampigia misumari kwenye kura za BET.

Tatizo ana mdomo ( kumradhi sio ukubwa wa mdomo bali kuongea hovyo)
 
Mimi sina cha team kiba wala team mond, yeyote anaye fakisha sioni kazi kumchana.

Inawezekana wewe ukawa ni team mond na ndio maana unahisi ndio sababu nampigia misumari kwenye kura za BET.

Tatizo ana mdomo ( kumradhi sio ukubwa wa mdomo bali kuongea hovyo)
Mdomo wake wewe unaufatilia wa nini? kama upendezwi nao fanya shughuli nyingine
 
Kulikuwa na team Kiba, na wapinzani wengine, hivyo hakuna jipya, Ata hawa wa sasa hawana jipya, Diamond hawezi kushushwa na wapiga mboyoyo
Tofautisha BET International Act ( TUZO )

BET Viewers choice award ( TAKATAKA aliyopewa Rayvanny )
 
Sasa kwa akili ya kawaida Sadala angeshinda vipi kwa wale watu waliowekwa naye kwenye category moja?

Angeshinda labda angewekewa Lavalava ,Mboso ,Zuchu na Rayvanny
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena hao BET ingependeza wangeweka na option ya kupiga kura za dislikes

Hapo ndio angepata jibu la moja kwa moja ni kiasi gani watu tuko siriasi.
[emoji23][emoji23][emoji23] watu mna hasira kwa kweli lol.
 
BET Ata vanyboy alishachukua huku wakati fulani, nashangaa mnapo angaika, narudia nyie kelele zenu kama NZI hazina madhara, na hili JPM alilijua
Vanboy wako alichukua ipi hiyo? Ile isiyokua na tija lolote? [emoji23][emoji23][emoji23] walllah hivi vichekesho mweeeeh.
 
Back
Top Bottom