Naona umeanza kukata tamaa, Don’t jump to a conclusion, bado tunaainisha sababu za kuja kushindwa kwake.Kwahiyo Diamond kukosa tuzo ndio mateso yao yataisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeanza kukata tamaa, Don’t jump to a conclusion, bado tunaainisha sababu za kuja kushindwa kwake.Kwahiyo Diamond kukosa tuzo ndio mateso yao yataisha?
Thanks, Diamond hahukumiwi kwa yeye kuwa CCM bali kutokemea matendo maovu yaliyotendwa na chama chake.
Thanks, Diamond hahukumiwi kwa yeye kuwa CCM bali kutokemea matendo maovu yaliyotendwa na chama chake.
Hili nilishakujibu ila unajitoa akili, nimekuuliza ni msanii gani alikemea hayo matendo maovu Katika hawa wasanii wetu wakubwa?Thanks, Diamond hahukumiwi kwa yeye kuwa CCM bali kutokemea matendo maovu yaliyotendwa na chama chake.
Nimeuliza swali tuzo ya BET ndio itaondoa mateso yenu? Ahahahahaha hizi logic mnatoa wapiNaona umeanza kukata tamaa, Don’t jump to a conclusion, bado tunaainisha sababu za kuja kushindwa kwake.
Nafikiri umeshaelewa kwanini wanasema hawatampigia diamond kura, have a nice day.Hili nilishakujibu ila unajitoa akili, nimekuuliza ni msanii gani alikemea hayo matendo maovu Katika hawa wasanii wetu wakubwa?
Hili nililitegemea hamjawai kuwa na hoja Ata siku moja ahahahahahaNafikiri umeshaelewa kwanini wanasema hawatampigia diamond kura, have a nice day.
Kupambana na adui lazima utafute angle zote zenye weakness ndo utamwezaNimewafatilia sana hawataki kupingwa kabisa, ukiwapinga sana unachezea block, mimi nilimshangaa Kigogo badala ya kupambana na Niki wa pili, anamshambulia mke wa Niki
Kupambana na adui lazima utafute angle zote zenye weekness ndo utamweza
Kupambana na adui lazima utafute angle zote zenye weekness ndo utamweza
Mtu dhaifu ndio hujadili watu, ila mtu imara hujadili hoja, Ata kigogo ni dhaifu Sana badala kujadili hoja na Niki, yeye anamjadili asie husikaKupambana na adui lazima utafute angle zote zenye weekness ndo utamweza
Hatushangai kumpigia kura mwengine, tunachoshangaa ni kujadili uccm wa Diamond, wakati wasanii wengi ni ccm, hapa ndio tunapinga hoja hii dhaifuKama yanga wanawapokea wapinzani wa Simba airport mnashangaa nini wapinzani wa Diamond kumpigia kura mwingine?
Watu wameanza na diamond kama sampleHapa saaafi, lakini sio baadhi ya watu kusema Diamond ccm, wakati wasanii kibao ni ccm , na wanawasifia
Hakuna chochote ni wivu tu kama alivyosema GwajimaWatu wameanza na diamond kama sample
Mimi naona wanaosema hawatampigia kura Diamond na kufanya kampeni ya kufanikisha ni haki yao.Ahahaha umeona hoja zilivyo nyepesi, halafu wanataka Uhuru wa kutoa maoni, wakati Uhuru huo Ata wao umewashinda