KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Hii hali inashangaza na kutia mashaka sana juu ya mustakabali wa taifa hili.......Tukubaliane tu CHADEMA ni chama ambacho kama kitakuja kutawala hii nchi basi watakuwa hawana tofauti na utawala wa mwendazake kama hutaki mwingine ashabikie au akupinge hiyo demoklasia tunayoihubili ipo wapi sasa
Kosa lake ni kuungana na wauaji simple n clear.Kosa lake ni kutumia utashi wake kushabikia ambacho wewe pia umetumia utashi kukishabikia........??
Wamsapoti burnaboy Ila wasimcondemn diamond kisa anaipenda ccmWako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
Huu ndio ukweli Kuna Agenda nyingine, hata hoja inayotumika ni dhaifu na haina mashiko, maana wasanii wengi walipigia kampeni ccm, tena cha kushangaza mwengine alijirecord live akilia kipindi JPM amekufa.Ukitazama hii movement imekaa ki HUSDA na sio kiweledi na siasa inatumika kama mlango wa kupitishia husda hizo. Kumpigia mtu kura ni hiyari......lakini inapotumika nguvu kubwa kuhalalisha hilo inazua maswali mengi kwenye jamii......inawezekana wanaofanya hayo wana ajenda zao nyuma ya pazia......
Muda utatuambia........
Mbona wasanii wengine hamuwasemi?Konde boy mpaka tattoo alijichora ya JPM mbona hii nguvu hamuitumii Ata huko?Kosa lake ni kuungana na wauaji simple n clear.
Wanaharakati wa Twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi...
Uislamu unanasibishwa na ugaidi dunia nzima...je inafaa kuwaita waumini wote kuwa ni magaidi kwa kuwa wamechagua kuwa waislamu........??Kosa lake ni kuungana na wauaji simple n clear.
Kwani hao wengine kwenye category gani ya BET.Mbona wasanii wengine hamuwasemi?Konde boy mpaka tattoo alijichora ya JPM mbona hii nguvu hamuitumii Ata huko?
Ahahaha umeona hoja zilivyo nyepesi, halafu wanataka Uhuru wa kutoa maoni, wakati Uhuru huo Ata wao umewashinda
Kwahiyo hao wengine mtaawaacha mpaka nao wapate nomination BET ndio muanze kuwashambulia? ahahahahaha aiseeeeKwani hao wengine kwenye category gani ya BET.
Nimesema wazi kabisa kaungana na wauaji, ukishirikiana na gaidi lazima utaunganishwa tu cha muhimu jitenge nao.Uislamu unanasibishwa na ugaidi dunia nzima...je inafaa kuwaita waumini wote kuwa ni magaidi kwa kuwa wamechagua kuwa waislamu........??
Uuaji umeainishwa kwenye katiba ya CCM au ni utashi wa mtu binafsi ndani ya CCM.....??Nimesema wazi kabisa kaungana na wauaji, ukishirikiana na gaidi lazima utaunganishwa tu cha muhimu jitenge nao.
Inaonekana hata hujui maana ya wimbo huo ‘Nakaa kimya’ ungeelewa maana yake wala usingechekelea, it means he doesn’t care about others pains.Ahahaha umeona hoja zilivyo nyepesi, halafu wanataka Uhuru wa kutoa maoni, wakati Uhuru huo Ata wao umewashinda
Nimekwambia yeye kakaa kimya maana anaogopa vita na watawala, ebu niambie Nani akukaa kimya Katika hao wasanii wakubwa?Inaonekana hata hujui maana ya wimbo huo ‘Nakaa kimya’ ungeelewa maana yake wala usingechekelea, it means he doesn’t care about others pains.
Sugu alishapandishwa hadi mjengoni wampandishe kwenda wapi tena.
Kwahiyo Diamond kukosa tuzo ndio mateso yao yataisha?Unaposhabikia chama Cha siasa au hata mpira. Kumbuka wapinzani wako hawatakaa kimya.
Juzi tu tumeona Kaiser Chiefs vs Simba, wanayanga walijitenga na Simba na walifurahia kupigwa kwao 4:0 kule SA.
Rule of thumb is ukiona Kuna Jambo limefanyika ndivyo sivyo kemea chama chake ili kujitenga na uovu huo.
Wengi mtakumbuka alichofanya Trump January 6, Mwaka huu Republicans wengi walijitenga na matendo Yale na kusema si ya chama Bali yake Kama Trump.
Sasa Kama Diamond aliamua kujiunga na CCM sio kosa na sidhani Kama anahukumiwa kwa Hilo. Bali matendo maovu ya CCM Diamond hajaonesha kuchukizwa nayo hivyo kumfanya yeye kuwa sehemu ya uovu iliyofanywa dhidi ya wapinzani wake na Sasa wanaonyesha hasira zao maana ndio sehemu pekee wanaweza kumbana Diamond.
Hivyo tukumbuke "Usimtendee mwenzako usichopenda kutendewa"
Wakati wa uchaguzi wakisema "....baba lao..... Kupambana Nasi ..... Chama lao...." Upande wapi nao wamejibu Burnaboy chama lao.
Wazee wa sauti ya Simbilisi
Ahahaha umeona hoja zilivyo nyepesi, halafu wanataka Uhuru wa kutoa maoni, wakati Uhuru huo Ata wao umewashinda
Thanks, Diamond hahukumiwi kwa yeye kuwa CCM bali kutokemea matendo maovu yaliyotendwa na chama chake.Unaposhabikia chama Cha siasa au hata mpira. Kumbuka wapinzani wako hawatakaa kimya.
Juzi tu tumeona Kaiser Chiefs vs Simba, wanayanga walijitenga na Simba na walifurahia kupigwa kwao 4:0 kule SA.
Rule of thumb is ukiona Kuna Jambo limefanyika ndivyo sivyo kemea chama chake ili kujitenga na uovu huo.
Wengi mtakumbuka alichofanya Trump January 6, Mwaka huu Republicans wengi walijitenga na matendo Yale na kusema si ya chama Bali yake Kama Trump.
Sasa Kama Diamond aliamua kujiunga na CCM sio kosa na sidhani Kama anahukumiwa kwa Hilo. Bali matendo maovu ya CCM Diamond hajaonesha kuchukizwa nayo hivyo kumfanya yeye kuwa sehemu ya uovu iliyofanywa dhidi ya wapinzani wake na Sasa wanaonyesha hasira zao maana ndio sehemu pekee wanaweza kumbana Diamond.
Hivyo tukumbuke "Usimtendee mwenzako usichopenda kutendewa"
Wakati wa uchaguzi wakisema "....baba lao..... Kupambana Nasi ..... Chama lao...." Upande wapi nao wamejibu Burnaboy chama lao.
Wazee wa sauti ya Simbilisi
Nimewafatilia sana hawataki kupingwa kabisa, ukiwapinga sana unachezea block, mimi nilimshangaa Kigogo badala ya kupambana na Niki wa pili, anamshambulia mke wa NikiUkiwapinga wanatokwa na povu kubwa sana