Siwaoni wana CCM kindakindaki wakimtetea Rais Samia kama walivyofanya kwa Hayati Magufuli

Siwaoni wana CCM kindakindaki wakimtetea Rais Samia kama walivyofanya kwa Hayati Magufuli

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.

Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.

Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.

Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
 
Magu alikuwa na fungu rasmi la kulipa wapiga debe, na alikuwa anatumia ahadi za vyeo kwa wapiga debe. Pia alitenga fungu rasmi la kuwawezesha watu waovu kufanyizia wote waliokuwa wanampinga. Mama wa kambo yeye yupo yupo tu siku ziende.
 
Kwani kafanyaje mh rais Samia na je unaweza kufafanua anajitetea nini?
 
Makomredi wa KWELI walioiva vyema ITIKADI YA CCM na madarasa yake kamwe HAWAMBAGUI Mwenyekiti yeyote wa CCM.

Ukiona SINTOFAHAMU hizo, ujue hao WALIKUWA KWA AJILI YA MASLAHI YAO KOKO.

#SiempreJMT
#NchiKwanza
#CCMIpoViongoziHupitaTu

ADUMU CHIFU MKUU WA MACHIFU WOTE CHIFU HANGAYA, amen🙏
 
Magu alikuwa na fungu rasmi la kulipa wapiga debe, na alikuwa anatumia ahadi za vyeo kwa wapiga debe. Pia alitenga fungu rasmi la kuwawezesha watu waovu kufanyizia wote waliokuwa wanampinga. Mama wa kambo yeye yupo yupo tu siku ziende.

Wakati wa JPM “usalama wa taifa” walikuwa wamezagaa kila mahali hata ndani ya familia zetu.

Ndio wakati nilishangaa kuona watu wenye umri zaidi ya miaka 50 ambao hawakuwahi kuwa interested na mambo ya siasa wakieleza kwa jazba njama za kumhujumu Magufuli toka ndani na nje ya nchi..
 
Hata kwa Magufuli hawskuwa wengi kama walivyokuwa wanaonekana. Wakuu wa mikoa/ wilaya na maded, walipewa Targets kila mtu awe na kikundi cha vijana wenye account Zaidi ya tano tano kwa ajili ya nyimbo na kumpost hapa na pale siku hadi siku. Humu JFs ndio usiseme na walilipwa.

Sasa mpunga umeisha, ukata unawakata.
 
Hata kwa magufuli hawskuwa wengi kama walivyokuwa wanaonekana. Wakuu wa mikoa/ wilaya na maded, walipewa Targets kila mtu awe na kikundi cha vijana wenye account Zaidi ya tano tano kwa ajili ya nyimbo na kumpost hapa na pale siku hadi siku. Humu JFs ndio usiseme na walilipwa.

Sasa mpunga umeisha, ukata unawakata.
Mbona mavuvuzela kama kina pasiyamkaa bado wapo huwaoni?

Sent from my A71 using JamiiForums mobile app
 
Mama anatuangusha siku hadi siku sisi tuliomuamin aseee. Hata CCM wenyewe wamechoka kabisa na bahati mbaya anajiamin zaid kuwa anaweza bila hata kupigiwa makofi, ngoja tuone! Muda ndiyo kila kitu
 
Mama anatuangusha siku hadi siku sisi tuliomuamin aseee. Hata CCM wenyewe wamechoka kabisa na bahati mbaya anajiamin zaid kuwa anaweza bila hata kupigiwa makofi, ngoja tuone! Muda ndiyo kila kitu
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Kwa Magufuli ilikuwa Ni nidhamu ya Woga. Kifupi moja ya sifa ya watanzania Ni WAOGA Sana.

Haishangazi kuona Maguful aliakuwa anaanza kuabudiwa.

Mungu atusamehe Sana.
 
Mama wameshaona hakuna anachokifanya zaidi kusaini nyaraka bila kuhoji! hajui kama wakina madelu baadhi ya mambo wanamwingiza chaka!
Na madelu sasa anachota tu maana akikumbuka lile benchi alilopigwa mpk kufuga mbuzi kabla hajaitwa tena baas ye ni kufyeka tu huku anawachekea
 
Back
Top Bottom