Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Magaidi was Segerea na washabiki waki react inatosha, after all nine kinapungua tukiwa na Hangaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuheshim mtu kuna kwa kupenda, wajibu au kuogopa..sasa ukiwafanya watu wakuamin hakikisha unaisimamia hiyo hali au kwa kuwalazimisha au kwakuwaonyesha unastahili heshima...mama kachagua kutowalazimisha na kuwaaminisha anashindwa siku hadi siku..Kwa Magufuli ilikuwa Ni nidhamu ya Woga. Kifupi moja ya sifa ya watanzania Ni WAOGA Sana.
Haishangazi kuona Maguful aliakuwa anaanza kuabudiwa.
Mungu atusamehe Sana.
Wapo wanajikongoja lakini wapiMbona mavuvuzela kama kina pasiyamkaa bado wapo huwaoni?
Sent from my A71 using JamiiForums mobile app
Wewe si ndio unalipwa na vithread uchwara kila siku hapa?Samia hahitaji propaganda chafu, Lazima tutambue ukweli uliondani yake
Kurudia kosa ndo kukosea sasa.MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
walitaka hiyo kazi waifanye waoWanaCCM wanasema wazi wazi kuwa mama kwa sasa amekuwa tour guide, anadalalia nchi kwa mgongo wa mabeberu, hajui kitu, hawapi pesa makada na anawabamiza kisawasawa wenye matozo.
Makomredi wa KWELI walioiva vyema ITIKADI YA CCM na madarasa yake kamwe HAWAMBAGUI Mwenyekiti yeyote wa CCM.
Ukiona SINTOFAHAMU hizo, ujue hao WALIKUWA KWA AJILI YA MASLAHI YAO KOKO.
#SiempreJMT
#NchiKwanza
#CCMIpoViongoziHupitaTu
ADUMU CHIFU MKUU WA MACHIFU WOTE CHIFU HANGAYA, amen[emoji120]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].kautoa nje halafu akaucheza ndani,kibaya refalii hajauona !! mashabiki wameuona !!Wameshaona Chief Hangaya ameupiga mwingi mpaka ameutoa nje.
wasubiri wasife moyoAwamu ya saba wanaweza kurejea
hawaamini kilichotokeaCrimea jitombashisho wanakula ukwaju tu
Usitukumbushe, watu waliumia sana na utawala ule. Na mungu akatuepushiaMATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Hawamtaki hana mvutoMATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Ilikuwa zaidi ya balaaUsitukumbushe, watu waliumia sana na utawala ule. Na mungu akatuepushia
Umerudi?Mambo yao waachieni wenyewe...
Mkuu hao wa wazee wa gear za angani sio wa kubishana nao, hawajielewi.Makomredi wa KWELI walioiva vyema ITIKADI YA CCM na madarasa yake kamwe HAWAMBAGUI Mwenyekiti yeyote wa CCM.
Ukiona SINTOFAHAMU hizo, ujue hao WALIKUWA KWA AJILI YA MASLAHI YAO KOKO.
#SiempreJMT
#NchiKwanza
#CCMIpoViongoziHupitaTu
ADUMU CHIFU MKUU WA MACHIFU WOTE CHIFU HANGAYA, amen[emoji120]
Una ushahidi poti?Hata kwa Magufuli hawskuwa wengi kama walivyokuwa wanaonekana. Wakuu wa mikoa/ wilaya na maded, walipewa Targets kila mtu awe na kikundi cha vijana wenye account Zaidi ya tano tano kwa ajili ya nyimbo na kumpost hapa na pale siku hadi siku. Humu JFs ndio usiseme na walilipwa.
Sasa mpunga umeisha, ukata unawakata.