Siwaoni wana CCM kindakindaki wakimtetea Rais Samia kama walivyofanya kwa Hayati Magufuli

Siwaoni wana CCM kindakindaki wakimtetea Rais Samia kama walivyofanya kwa Hayati Magufuli

Magaidi was Segerea na washabiki waki react inatosha, after all nine kinapungua tukiwa na Hangaya?
 
Kwa Magufuli ilikuwa Ni nidhamu ya Woga. Kifupi moja ya sifa ya watanzania Ni WAOGA Sana.
Haishangazi kuona Maguful aliakuwa anaanza kuabudiwa.
Mungu atusamehe Sana.
Kuheshim mtu kuna kwa kupenda, wajibu au kuogopa..sasa ukiwafanya watu wakuamin hakikisha unaisimamia hiyo hali au kwa kuwalazimisha au kwakuwaonyesha unastahili heshima...mama kachagua kutowalazimisha na kuwaaminisha anashindwa siku hadi siku..
 
WanaCCM wanasema wazi wazi kuwa mama kwa sasa amekuwa tour guide, anadalalia nchi kwa mgongo wa mabeberu, hajui kitu, hawapi pesa makada na anawabamiza kisawasawa wenye matozo.
 
MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.

Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.

Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.

Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Kurudia kosa ndo kukosea sasa.

CCM inahitaji marekebisho makubwa sana. Tumetengeneza usultani kwa kila anayeshika nafasi za juu.

Maneno na matendo vinakimbiana.

Leo akina Mzee Warioba wanaonekana outsiders lakini ndo waliokuwa thinktanks nchi ilipokuwa stable huko awali
 
Crimea jitombashisho wanakula ukwaju tu
Makomredi wa KWELI walioiva vyema ITIKADI YA CCM na madarasa yake kamwe HAWAMBAGUI Mwenyekiti yeyote wa CCM.

Ukiona SINTOFAHAMU hizo, ujue hao WALIKUWA KWA AJILI YA MASLAHI YAO KOKO.

#SiempreJMT
#NchiKwanza
#CCMIpoViongoziHupitaTu

ADUMU CHIFU MKUU WA MACHIFU WOTE CHIFU HANGAYA, amen[emoji120]
 
MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.

Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.

Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.

Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Usitukumbushe, watu waliumia sana na utawala ule. Na mungu akatuepushia
 
MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.

Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.

Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.

Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Hawamtaki hana mvuto
 
Makomredi wa KWELI walioiva vyema ITIKADI YA CCM na madarasa yake kamwe HAWAMBAGUI Mwenyekiti yeyote wa CCM.

Ukiona SINTOFAHAMU hizo, ujue hao WALIKUWA KWA AJILI YA MASLAHI YAO KOKO.

#SiempreJMT
#NchiKwanza
#CCMIpoViongoziHupitaTu

ADUMU CHIFU MKUU WA MACHIFU WOTE CHIFU HANGAYA, amen[emoji120]
Mkuu hao wa wazee wa gear za angani sio wa kubishana nao, hawajielewi.
 
Hata kwa Magufuli hawskuwa wengi kama walivyokuwa wanaonekana. Wakuu wa mikoa/ wilaya na maded, walipewa Targets kila mtu awe na kikundi cha vijana wenye account Zaidi ya tano tano kwa ajili ya nyimbo na kumpost hapa na pale siku hadi siku. Humu JFs ndio usiseme na walilipwa.

Sasa mpunga umeisha, ukata unawakata.
Una ushahidi poti?
 
Back
Top Bottom