Heshima kwako mkuuMakomredi wa KWELI walioiva vyema ITIKADI YA CCM na madarasa yake kamwe HAWAMBAGUI Mwenyekiti yeyote wa CCM.
Ukiona SINTOFAHAMU hizo, ujue hao WALIKUWA KWA AJILI YA MASLAHI YAO KOKO.
#SiempreJMT
#NchiKwanza
#CCMIpoViongoziHupitaTu
ADUMU CHIFU MKUU WA MACHIFU WOTE CHIFU HANGAYA, amen[emoji120]
Mko wapi siku hizi mbona hatuwaoni?Una ushahidi poti?
Hilo lilikuwa wazi. Alikuwa na vikosi kila mahali ndani ya chama na serikaliMagufuli alitenga Pesa Rasmi kujibrand hata uongo !
Tumejaa tele Mkuu [emoji3]Mko wapi siku hizi mbona hatuwaoni?
Acha uongo wewe! Weka ushahidi wa malipo hapaMagu alikuwa na fungu rasmi la kulipa wapiga debe, na alikuwa anatumia ahadi za vyeo kwa wapiga debe. Pia alitenga fungu rasmi la kuwawezesha watu waovu kufanyizia wote waliokuwa wanampinga. Mama wa kambo yeye yupo yupo tu siku ziende.
Kumbe ndio mchezo wenu hapo ufipa?Hata kwa Magufuli hawskuwa wengi kama walivyokuwa wanaonekana. Wakuu wa mikoa/ wilaya na maded, walipewa Targets kila mtu awe na kikundi cha vijana wenye account Zaidi ya tano tano kwa ajili ya nyimbo na kumpost hapa na pale siku hadi siku. Humu JFs ndio usiseme na walilipwa.
Sasa mpunga umeisha, ukata unawakata.
Acha uongo wewe! Weka ushahidi wa malipo hapa
Mimi kama mshiriki wa huu mjadalaNikupe ushahidi ww kama nani?
Mimi kama mshiriki wa huu mjadala
Hata zile kwaya za TBC za kusifu na kuabudu sizioni kwa SamiaMATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Mbona hata TBC wamemsusa hawampigii kwaya za kumsifu na kumwabudu kama mwendazake?Hata kwa Magufuli hawskuwa wengi kama walivyokuwa wanaonekana. Wakuu wa mikoa/ wilaya na maded, walipewa Targets kila mtu awe na kikundi cha vijana wenye account Zaidi ya tano tano kwa ajili ya nyimbo na kumpost hapa na pale siku hadi siku. Humu JFs ndio usiseme na walilipwa.
Sasa mpunga umeisha, ukata unawakata.
Naona mmeamua kujifariji Mama anaupiga mwingi ndiyo maana anapiga vita peke yake mdogo mdogo anamalizia kula vichwa kisha ndiyo mtamuelewa zaidi.MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Mama aliwapiga stop wasimpake mafuta kwa mgongo wa chupa.Mbona hata TBC wamemsusa hawampigii kwaya za kumsifu na kumwabudu kama mwendazake?
Mama hataki unafiki.Naona mmeamua kujifariji Mama anaupiga mwingi ndiyo maana anapiga vita peke yake mdogo mdogo anamalizia kula vichwa kisha ndiyo mtamuelewa zaidi.