Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Magaidi was Segerea na washabiki waki react inatosha, after all nine kinapungua tukiwa na Hangaya?
Polepole mzee wa "magazijuto"MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Eti hadhi?Huna hadhi ya kupewa taarifa za dhalimu kutoka kwangu.
Anaowaweka sasa ndio watamtetea ,akina Ummy,Uweso,January nk wanamtetea vizuri tuu..MATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wameshaona Chief Hangaya ameupiga mwingi mpaka ameutoa nje.
Naona unafuraha panga halijakupitia😄Anaowaweka sasa ndio watamtetea ,akina Ummy,Uweso,January nk wanamtetea vizuri tuu..
Kikubwa aendelee kupangua lile genge la Mwendazake..
Uko sahihi kabisa mkuu hii nchi ni rahisi Sana kuiongozaKwa Magufuli ilikuwa Ni nidhamu ya Woga. Kifupi moja ya sifa ya watanzania Ni WAOGA Sana.
Haishangazi kuona Maguful aliakuwa anaanza kuabudiwa.
Mungu atusamehe Sana.
Mimi sio mwanasiasa wala shughuli zangu hazinipi nafasi ya kuteuliwa mwanasiasa na sitaki..Naona unafuraha panga halijakupitia😄
Kifupi mwendazake alikuwa akipenda kusifiwa hata kwa baya alilofanya na hawa waliokuwa wapiga debe na miluzi walijua udhaifu wake na walikuwa wakilipwa. Kwa upande wa mama hataki sifa za kinafki ndiyo sasa wakina motochini, jingalao, mudawote, wakudadavua n.k huwaoni humu. Kumbuka Dikteta huwa anapenda kusifiwa tu kinyume na hapo unaliwa kichwaMATAGA waliojulikana kama ‘Praise Team’ enzi hizo walikuwa mstari wa mbele kusifia chochote alichofanya Magufuli hata kama kilikuwa kibovu.
Leo mama Samia kaachwa peke yake akijitetea mwenyewe, hata viongozi kina Shaka hatuwaoni wakimtetea kama tulivyokuwa tunashuhudia wakijitoa ufahamu kwa Magufuli, mfano Polepole na kikokotoo, Palamagamba na chanjo ya Madagaska.
Mbona hamtetei tozo, miamala, chanjo, hamtetei Royal Tour mmeacha mama hadi anaitwa ‘tour gaide’ na beberu, kaambiwa katekwa mpo tu.
Kulikoni wana CCM mbona awamu hii mmepwaya sana I see no reaction at all, mlidhani tozo ni kwa wapinzani tuu? Team Magufuli hebu vunjeni kambi mmsaidie mama.
Huyo Jamaa ni mmoja wawafaidika wa mwendazake wapo humu kibao tena huyo ndio wale kina Cyprian wana harakat njaa sasa wamekuwa kama MAJUHA.Nikupe ushahidi ww kama nani?
Aah wapi. Kiukweli umebakia kwenye wizara hujatumbuliwa.Mimi sio mwanasiasa wala shughuli zangu hazinipi nafasi ya kuteuliwa mwanasiasa na sitaki..
Ila nataka mama apangue lile kundi la wazushi ,mara ametekwa nyara mara JK anaongoza hilo kundi ndilo linashirikiana na chadema kuleta uzushi.
Nitumbuliwe kwani mimi Waziri?Aah wapi. Kiukweli umebakia kwenye wizara hujatumbuliwa.
Ndiyo.Nitumbuliwe kwani mimi Waziri?
Ila mwendazake alikuwa anapenda kusifiwa heri hata Hangaya hana mda mchafu wakusifiwa ujingaHata kwa Magufuli hawskuwa wengi kama walivyokuwa wanaonekana. Wakuu wa mikoa/ wilaya na maded, walipewa Targets kila mtu awe na kikundi cha vijana wenye account Zaidi ya tano tano kwa ajili ya nyimbo na kumpost hapa na pale siku hadi siku. Humu JFs ndio usiseme na walilipwa.
Sasa mpunga umeisha, ukata unawakata.
Kweli yaaniIla mwendazake alikuwa anapenda kusifiwa heri hata Hangaya hana mda mchafu wakusifiwa ujinga