Siwashauri muoe wanawake wasomi, jana nimelazwa na njaa na mke wangu, hawajui kubembeleza

Mkuu Kamshauri Mwenzio Huku.

 
Hajakwambia na leo hupati - AUMBILECHO MUNGU KUMEMENA [emoji1787][emoji1787]
 
Ukisha rudi home utatujuza kilicho endelea
 
Sasa hapo usomi na wewe kususa chakula vinausianaje? Ebu rudi home ukale msosi ukale na mpishi huko, mwanaume mzima una gubuu[emoji23]
Kula msosi sio tabu ila issue inakuja anaekupa msosi yupo katika mood gani??? Maana mood yake inaweza kukupa feeling ya msosi au ikakunyima
 
Mwanamke msomi kuishi naye kuna hitaji moyo na commitment ya ziada tena hususani kama ana ajira yenye mshahara mnono

Mbaya zaidi awe amekuzidi
 

Na kama yuko humu anasoma ujumbe wako???
 
Sasa si umesusa kula

Yaani baba mzima na ndevu zako unasusa kula

Walah hata ningekuwa.mie sikuulizi, tena nakula nakwangua hadi ukoko.

Ujiandae kuhesabu gypsum!!
 
Bibi Faiza false.....kama wanawake wangekua wanaishi hv ndoa nyingi zingekufa ..
 
Bibi Faiza False ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…