Sophoghani
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 395
- 622
Nimecheka kwa sauti sasa andiko la "ukisusa sie twala" limetimiaKwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika,nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka,asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo,nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie,amenihudumia vizuri hadi raha,mpaka sasa bado niko kwake,wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupukia?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Huyo sio kwa sababu ya usomi wake,wanawake wote wameumbwa wanajua kubembeleza,labda wachache tu,na huyo mke wako ndio yuko kwenye hilo kundi la wachache.Pole sana umeshakosea kuoa hapo,usiache kumuaomba Mungu ili alete mabadiliko kwenye nyumba yako,na huo uamuzi wako wa mchepuko sio suluhisho......Kwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika,nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka,asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo,nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie,amenihudumia vizuri hadi raha,mpaka sasa bado niko kwake,wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupukia?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Mkuu mbona madem waki zungu hawana zarau na wamesoma na wanaolewa na waswahili wenye elimu ndogoMkeo msomi Ila hayupo jamiiforum aisee Basi bado sio mjanja maana najua usingepost..me mke Wangu hajasoma Yuko vzr Kuna point uko sahihi...wasomi Wana dharau sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chai hii. uoe mke wa masters tena england uende kula kwa mama ntilie aiseee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekana anko.
Cathbert wa Kimara "SuCa" alioa mmama wa kihehe aliye soma uingereza,akaja kufanya kazi NHC,mmama akajichanga wakafungua hotel ikaitwa SUCA,mama uzungu ukawa mwingi,mume akamla ''ousogeli" na mimba juu...
Kesi ikaenda mahakamani,mbaba akajitetea alirogwa na ousigeli,ndoa ikavunjika. Kwa sasa mama yupo Malamba mawili anafuga kuku,ousigeli yupo kwenye ndoa.
Watakula na makange pia wanakula na hakuna tatizoSasa ukibeba Makange ya Samaki na kupeleka home, hicho chakula alichopika wife atakula nani Sasa!? Au familia yako inapenda sana ma vyakula ya road!? Hawapendi kupika home kwako!?
Alitakiwa kuoa msomi wa form four then mchepuko ndiyo uwe mama Ntilieumeoa msomi wa birmingham halafu mchepuko mama ntilie
kudhira= kuzira
kila mtu anapata wa kuendana nae
Muhimu ndoa usiikamie,muishi kiurafiki zaidi kuliko kindoa.Maskini daah ndoa changamoto
Niliwahi muuliza mwanaume wangu kwann amecheat na baamedi na wadangaji akajibu hakuna tofauti ya wale na msomi mimi (yani K ni hiyo hiyo). Akili za wanaume namna wanavyotuwazia sisi wanawake no tofauti na sisi wanawake tunavyojilinganisha. Kifupi K yako ndo inapaswa ipande kiwango na sio vitabu.Chai hii. uoe mke wa masters tena england uende kula kwa mama ntilie aiseee
Tafuta faraja ya moyo wakoKwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.
Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.
Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.
Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.
Kuna tofauti kati ya kuwa na elimu na kuwa na akiliKwema watu wa mapenzi?
Aisee, iko hivi kama hujaoa nakushauri usioe mwanamke msomi kabisa, mimi mshikaji wenu nimeoa mwanamke msomi tena wa kiwango cha masters tena ya Birmingham City University pale uingereza ila cha moto nakipata.
Jana usiku bana tulitofautiana kauli kidogo na mwenzangu, me nikaudhika nikadhira na kula msosi wake aliopika.
Nilidhira makusudi ili labda anibembeleze lakini wapi ndio kwanza mwenzangu akawa anachat na ndugu zake huko watsap wanapeana umbea wa huko kwao wanacheka, asubuhi nimeamka na ubao wa kufa mtu nikijua atanibembeleza ila hakufanya hivyo, nikaona nisije kufa kwa nenge kizembe nikaenda kwa mchepuko wangu mmoja hivi mama ntilie.
Amenihudumia vizuri hadi raha, mpaka sasa bado niko kwake, wife the only thing kaniuliza this evening ni kuwa utakula au hutokula ili nisijisumbue kukupikia chakula kikaharibika kama jana?
Bado niko kwa mchepuko till now nawaza whether nirudi home or not.
Asee wanawake wasomi ni pasua kichwa sana,siwashauri Muwaoe kabisa.
Asante.