Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
ila Hersi akiondolewa madarakani utaandamana!Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikakatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mbaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio life Ili vijana tuishi wajinga nyie nisikie tena mnaweka vi thread vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Utaandamana wewe Sina huo ujinga mimiila Hersi akiondolewa madarakani utaandamana!
Ndio hivyoOoooh Tanzania
🇹🇿😭
Mkuu punguza Hasira.Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikakatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mbaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nisikie tena mnaweka vi thread vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Sina hasira Mimi nimeongea ukweliMkuu punguza Hasira.
Msalimie jirani yako Tu usimlie mikausho.
Pambana na Hali yako mzee hamna wa kufanya huo ujingaHata magasho Tz yapo mengi!
Sawa sawa,bora uendelee kuandamana kwa ajili ya kina mondi konde gangYaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikakatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nisikie tena mnaweka vi thread vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Si ndio hapoNa hasa ukikumbuka vitamu vya kunoga
Ntakua kwa kwanza kwenye hao vijana wa hovyo kuandamana Hersi abakiila Hersi akiondolewa madarakani utaandamana!
Sinaga huo ujinga mimi ninajielewa yaani niandamane kisa kumrahisishia maisha binadamu mwenzangu hiyo akili au matopeSawa sawa,bora uendelee kuandamana kwa ajili ya kina mondi konde gang
Kama akitua unaenda kuwapokea Airport
Ova
YaahUna hoja Usikilizwe!
Kuandamana Bongo wote tuingie front kuanzia waTz waliokufa na kuzikwa mwaka 1961 up to date, vikongwe, wazee, wanaume wanawake viwete hadi vipofuYaah
Unajidanya tu ,siku ya kufa na aina ya kifo ilishapangwa kama ni risasi, ugonjwa , ajali n.k so kama ni risasi hajalishi upo kwenye maandamano au la utalamwa ,hivyo hivyo kama ni ugonjwa, ajali n.kYaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nisikie tena mnaweka vi thread vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake