Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Kuandamana Bongo wote tuingie front kuanzia waTz waliokufa na kuzikwa mwaka 1961 up to date, vikongwe, wazee, wanaume wanawake viwete hadi vipofu
Kiufupi home wabaki watoto chini ya miaka 10 tu

Hakuna cha Gen Z au A wote ni nchi yetu na uzembe wa wazee kama Tate Mkuu RRONDO ndio umetufikisha hapa
Yaah waache kutuambia vijana andamaneni wakati wao enzi zao walikua wamezubaa
 
Unajidanya tu ,siku ya kufa na aina ya kifo ilishapangwa kama ni risasi, ugonjwa , ajali n.k so kama ni risasi hajalishi upo kwenye maandamano au la utalamwa ,hivyo hivyo kama ni ugonjwa, ajali n.k
Bora nife kifo Cha risasi kingine ila sio Cha kufanya ujinga wa kuandamana ufe Kwa ajili ya watu wengine ujinga huo sitofanya
 
Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nisikie tena mnaweka vi thread vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka na hiyo tone ya mwandiko.
 
Bora nife kifo Cha risasi kingine ila sio Cha kufanya ujinga wa kuandamana ufe Kwa ajili ya watu wengine ujinga huo sitofanya
Na unaweza shangaa , kama ni kifo cha risasi ulichopangi siku hauko kwenye maandamano unatoka kwenye misheard zako na kupita karibu na waandamanaji , kitu kinatunguliwa huko ,kinavyaa, na alie kwenye maandamano anarudi nyumbani salama, Mipango ya Mungu ni ajabu sana
 
Siku ukiingia kwenye kumi na nane za wazee wa unanijua mm ni naniii wakuonyeshe jeuri ya wao kuachwa waendeshe nchi watakavyo ndo utajua umuhimu wa kudai haki yako.Mababu zetu nao wangesema nyie wazee si mriruhusu wazungu waje oambaneni nao leo hii usingekua huru ungekua mtwana tu.Inshort hata vijana wa hovyo wapo.
 
Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nisikie tena mnaweka vi thread vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Maneno kuntu sana haya. Usikubali kuendeshwa na mob psychology kwa kuwa kwenye mob unaonekana ni shujaa lakini machungu yakikupata ni wewe na ndugu zako.

Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kushindana na system. Hata akina Januari, Mwigulu, Mbowe, Lissu au Zitto Kabwe hawawezi kuwa ma Rais wa Tanzania kama "system" haiwakubali
 
Kenya ukiondoa maandamano haya mengine yote wakongwe kina Raila wapo front.
Huku wanahamasisha muandamane wengine wanalipana posho na kusubiri waitwe ikulu kwa maongezi ya muafaka.
Nitaandama siku maandamano ya kweli ya wananchi yakifanyika bila juhusisha wanasiasa Ila maandamano yatakayoitishwa na wanasiasa hamtaniona.
 
Siku ukiingia kwenye kumi na nane za wazee wa unanijua mm ni naniii wakuonyeshe jeuri ya wao kuchwa waendeshe nchi watakavyo ndo utajua umuhimu wa kudai haki yako.Mababu zetu nao wangesema nyie wazee si mriruhusu wazungu waje oambaneni nao leo hii usigekua huru ungekua mtwana tu.Inshort hata vijana wa hovyo wapo.
Si utokeze wewe ngosha wa mwanza ukaandamane, kwani lazima uende na sisi?
 
unafikir yakitokea maandamano huta andamana.Maandamano ni mtego wa panya hata kama hutak utanaswa tu.
 
Unajidanya tu ,siku ya kufa na aina ya kifo ilishapangwa kama ni risasi, ugonjwa , ajali n.k so kama ni risasi hajalishi upo kwenye maandamano au la utalamwa ,hivyo hivyo kama ni ugonjwa, ajali n.k
Bora nife kifo Cha risasi kingine ila sio Cha kufanya ujinga wa kuandamana ufe Kwa ajili ya watu wengine ujinga huo sito
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka na hiyo tone ya mwandiko.
Ndio hivyo sifanyi huo ujinga
 
Na unaweza shangaa , kama ni kifo cha risasi ulichopangi siku hauko kwenye maandamano unatoka kwenye misheard zako na kupita karibu na waandamanaji , kitu kinatunguliwa huko ,kinavyaa, na alie kwenye maandamano anarudi nyumbani salama, Mipango ya Mungu ni ajabu sana
Sina huo mda hata wa kukanyaga karibu na maandamano mzee ingia wewe ukaandammane Mimi sifanyi huo ujinga hata kusogea karibu na huo ujinga milele nife kisa kitu lingine liishi vizuri
 
Siku ukiingia kwenye kumi na nane za wazee wa unanijua mm ni naniii wakuonyeshe jeuri ya wao kuchwa waendeshe nchi watakavyo ndo utajua umuhimu wa kudai haki yako.Mababu zetu nao wangesema nyie wazee si mriruhusu wazungu waje oambaneni nao leo hii usigekua huru ungekua mtwana tu.Inshort hata vijana wa hovyo wapo.
Nenda kaandamane wewe mzee Mimi sifanyi huo ujinga yaani nife kisa jitu lingine liishi vizuri Bora maisha yawe magumu milele ila sio kufanya huo ujinga hamna haki hapo ni ujinga
 
Kenya ukiondoa maandamano haya mengine yote wakongwe kina Raila wapo front.
Huku wanahamasisha muandamane wengine wanalipana posho na kusubiri waitwe ikulu kwa maongezi ya muafaka.
Nitaandama siku maandamano ya kweli ya wananchi yakifanyika bila juhusisha wanasiasa Ila maandamano yatakayoitishwa na wanasiasa hamtaniona.
By the way, who are you to make any difference?
 
Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa sababnashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Ni kwa sababu wewe ni Mjinga ndio maana huwezi kuandamana kwa kuwa hujui kwanini watu wanaandamana.
 
Kenya ukiondoa maandamano haya mengine yote wakongwe kina Raila wapo front.
Huku wanahamasisha muandamane wengine wanalipana posho na kusubiri waitwe ikulu kwa maongezi ya muafaka.
Nitaandama siku maandamano ya kweli ya wananchi yakifanyika bila juhusisha wanasiasa Ila maandamano yatakayoitishwa na wanasiasa hamtaniona.
Yaani ni ujinga wa Hali ya juu unakufa mijitu inaponda raha
 
Back
Top Bottom