Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Kuandamana Bongo wote tuingie front kuanzia waTz waliokufa na kuzikwa mwaka 1961 up to date, vikongwe, wazee, wanaume wanawake viwete hadi vipofu
Kiufupi home wabaki watoto chini ya miaka 10 tu

Hakuna cha Gen Z au A wote ni nchi yetu na uzembe wa wazee kama Tate Mkuu RRONDO ndio umetufikisha hapa
Tusameheni watoto na wajukuu zetu. Tumewaangusha sana. Wenzenu huko USA,UK,UAE,China etc wamekuta nchi imejengwa na wazee wao. Lakini sisi tumewaachia uozo mtupu, yaani tulikuwa tunashindana kuiba mali na rasilimali za taifa. Lakini mwisho wa siku msipochukua hatua nyinyi ndio mtateseka sana sisi tumebakisha muda mfupi sana hapa duniani halafu tushajilimbikizia mali za wizi za kutosha. Tusameheni vijana wetu. KOMBOENI NCHI YENU THE FUTURE LOOKS BLEAK.
 
Utaandamana wewe Sina huo ujinga mimi
Wanaoandamana siyo wajinga tumia lugha nzuri! Watakaposikilizwa au shinikizo lao litakapokuwa na nguvu serikali ikatekeleza kutenda mema utasimama Kifua na mstari wa mbele kufurahia. Swala ni katiba inasemaje? Waandamanaji wanafikisha ujumbe bila vurugu? Waliopelekewa ujumbe wanachukia hatua gani? Watawala wengi Wana dharau sana Kwa sababu ya kulindwa na dola zao. Hatimaye watu wanakasirika.
 
Tusameheni watoto na wajukuu zetu. Tumewaangusha sana. Wenzenu huko USA,UK,UAE,China etc wamekuta nchi imejengwa na wazee wao. Lakini sisi tumewaachia uozo mtupu, yaani tulikuwa tunashindana kuiba mali na rasilimali za taifa. Lakini mwisho wa siku msipochukua hatua nyinyi ndio mtateseka sana sisi tumebakisha muda mfupi sana hapa duniani halafu tushajilimbikizia mali za wizi za kutosha. Tusameheni vijana wetu. KOMBOENI NCHI YENU THE FUTURE LOOKS BLEAK.
Umeongea kitu cha dhahabu!
Watz tunaonekana ni wazembe hatupendi kufanya kazi ndio maana tunalia njaa lakini sio kweli!
Kwa mfumo tulionao hata mtu anayepambana kwa nguvu zake zote hawezi kupata return sawasawa na nguvu zake
Ndio maana matajiri wetu wengi ukichunguza wana kitu fishy wanafanya chini ya kapeti.
 
Tusameheni watoto na wajukuu zetu. Tumewaangusha sana. Wenzenu huko USA,UK,UAE,China etc wamekuta nchi imejengwa na wazee wao. Lakini sisi tumewaachia uozo mtupu, yaani tulikuwa tunashindana kuiba mali na rasilimali za taifa. Lakini mwisho wa siku msipochukua hatua nyinyi ndio mtateseka sana sisi tumebakisha muda mfupi sana hapa duniani halafu tushajilimbikizia mali za wizi za kutosha. Tusameheni vijana wetu. KOMBOENI NCHI YENU THE FUTURE LOOKS BLEAK.
Siwezi kufanya huo ujinga acha tuteseke Kila mtu na kaburi lake
 
Wanaoandamana siyo wajinga tumia lugha nzuri! Watakaposikilizwa au shinikizo lao litakapokuwa na nguvu serikali ikatekeleza kutenda mema utasimama Kifua na mstari wa mbele kufurahia. Swala ni katiba inasemaje? Waandamanaji wanafikisha ujumbe bila vurugu? Waliopelekewa ujumbe wanachukia hatua gani? Watawala wengi Wana dharau sana Kwa sababu ya kulindwa na dola zao. Hatimaye watu wanakasirika.
Ni wajinga tu yaani unaandamana unakufa unazikwa unaoza halafu wenzio wanakula keki ya taifa mda huo wewe umeshakua mchanga kama unabisha sio ujinga mfano waliokufa kwenye maandamano Kenya wafufuliwe halafu waulizwe ni ujinga au ujanja amini nakuambia watasema walikua wajinga sana
 
Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
SIKU WAKIKUBAKA UKAKOSA HAKI YAKO UTUJULISHE
 
Unaandamana ili mbowe na lisu wakakae kwenye kiyoyozi na apewe maximum security kama Rais watoto wao waishi vizuri alafu we uendelee kula dagaa na ugali kama ngumi
 
Kila mtu huwa ana play part yake, wewe huenda ukatumia njia nyingine tofauti na kuandamana, lakini mwingine akaandamana na wote mkatangeneza kitu kikubwa katika nchi au jamii kwa ujumla
 
Back
Top Bottom