Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #41
Wewe mjanja umefanya niniNi kwa sababu wewe ni Mjinga ndio maana huwezi kuandamana kwa kuwa hujui kwanini watu wanaandamana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mjanja umefanya niniNi kwa sababu wewe ni Mjinga ndio maana huwezi kuandamana kwa kuwa hujui kwanini watu wanaandamana.
Kumbe una akili!! Na ina maana mpaka sasa hujaandamana kwa vile huna sababu. Basi sawaMm kuandamana nitaandamana tu km nikipata sababu
Ndio ni hoja ya msingi sana wazee ambao maisha yanawachapa wanashauri vijana ujingaKwa mbaaali kama una hoja ya msingi mtoa mada.NAUNGA MKONO HOJA YAKO
Tusameheni watoto na wajukuu zetu. Tumewaangusha sana. Wenzenu huko USA,UK,UAE,China etc wamekuta nchi imejengwa na wazee wao. Lakini sisi tumewaachia uozo mtupu, yaani tulikuwa tunashindana kuiba mali na rasilimali za taifa. Lakini mwisho wa siku msipochukua hatua nyinyi ndio mtateseka sana sisi tumebakisha muda mfupi sana hapa duniani halafu tushajilimbikizia mali za wizi za kutosha. Tusameheni vijana wetu. KOMBOENI NCHI YENU THE FUTURE LOOKS BLEAK.
Wanaoandamana siyo wajinga tumia lugha nzuri! Watakaposikilizwa au shinikizo lao litakapokuwa na nguvu serikali ikatekeleza kutenda mema utasimama Kifua na mstari wa mbele kufurahia. Swala ni katiba inasemaje? Waandamanaji wanafikisha ujumbe bila vurugu? Waliopelekewa ujumbe wanachukia hatua gani? Watawala wengi Wana dharau sana Kwa sababu ya kulindwa na dola zao. Hatimaye watu wanakasirika.Utaandamana wewe Sina huo ujinga mimi
Umeongea kitu cha dhahabu!Tusameheni watoto na wajukuu zetu. Tumewaangusha sana. Wenzenu huko USA,UK,UAE,China etc wamekuta nchi imejengwa na wazee wao. Lakini sisi tumewaachia uozo mtupu, yaani tulikuwa tunashindana kuiba mali na rasilimali za taifa. Lakini mwisho wa siku msipochukua hatua nyinyi ndio mtateseka sana sisi tumebakisha muda mfupi sana hapa duniani halafu tushajilimbikizia mali za wizi za kutosha. Tusameheni vijana wetu. KOMBOENI NCHI YENU THE FUTURE LOOKS BLEAK.
Siwezi kufanya huo ujinga acha tuteseke Kila mtu na kaburi lakeTusameheni watoto na wajukuu zetu. Tumewaangusha sana. Wenzenu huko USA,UK,UAE,China etc wamekuta nchi imejengwa na wazee wao. Lakini sisi tumewaachia uozo mtupu, yaani tulikuwa tunashindana kuiba mali na rasilimali za taifa. Lakini mwisho wa siku msipochukua hatua nyinyi ndio mtateseka sana sisi tumebakisha muda mfupi sana hapa duniani halafu tushajilimbikizia mali za wizi za kutosha. Tusameheni vijana wetu. KOMBOENI NCHI YENU THE FUTURE LOOKS BLEAK.
Ni wajinga tu yaani unaandamana unakufa unazikwa unaoza halafu wenzio wanakula keki ya taifa mda huo wewe umeshakua mchanga kama unabisha sio ujinga mfano waliokufa kwenye maandamano Kenya wafufuliwe halafu waulizwe ni ujinga au ujanja amini nakuambia watasema walikua wajinga sanaWanaoandamana siyo wajinga tumia lugha nzuri! Watakaposikilizwa au shinikizo lao litakapokuwa na nguvu serikali ikatekeleza kutenda mema utasimama Kifua na mstari wa mbele kufurahia. Swala ni katiba inasemaje? Waandamanaji wanafikisha ujumbe bila vurugu? Waliopelekewa ujumbe wanachukia hatua gani? Watawala wengi Wana dharau sana Kwa sababu ya kulindwa na dola zao. Hatimaye watu wanakasirika.
Upo sahihi dogoYaah waache kutuambia vijana andamaneni wakati wao enzi zao walikua wamezubaa
SIKU WAKIKUBAKA UKAKOSA HAKI YAKO UTUJULISHEYaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Ulibakwa ukakosa haki Yako niniSIKU WAKIKUBAKA UKAKOSA HAKI YAKO UTUJULISHE
Yaah ni sahihiUpo sahihi dogo
Ni ujinga wa Hali ya juu ambao siwezi kuufanya maisha yangu yote duniani nife Ili jitu lingine lile keki ya taifaUnaandamana ili mbowe na lisu wakakae kwenye kiyoyozi na apewe maximum security kama Rais alafu we uendelee kula dagaa na ugali kama ngumi
YaahSawa