Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Bora ufe kwa ukimwi
 
Usikubali kuandamana. Usikubali kufanywa "jamvi" na wanasiasa. Usikubali kutumika kama condom.
 
Utamu wa pilau kuku na kisamvu ,ndizi, parachichi na sharubati ya muwa +utamu wa wadada hakika kuandamana HAPANA.Wacha nile pesa zangu sowezi kukatisha maisha kizembe
 
Huu ni ujinga AFRICA hakuna nchi inatawaliwa mpaka sasa ,hao mababu zetu wangekaa kwa kutulia uhuru ungekuja tu
 
Hiki ulichosndika ni nini? Kuna nchi gani inatawaliwa mpaka sasa?muda wa kuwa huru ungefika tu iwe ni 90s or 2000s tena bure bila nguvu yoyote
 
UMESEMA KWELI NDUGU. Putin yuko anakula nchi vizuri alafu mimi niende kupigana. Haiwezekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…