Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania lissu au mbowe aingie ikulu itakua ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Even wenyewe hawataki wapiganiwe. Wanataka mjipiganie, wkt vijana wa kemya na bangladesh wanahangaika hawakuwa na mwanasiasa akiwaongoza, mpaka leo hakuna mwanasiasa
Walipigana wenyewe,, sasa wewe endelea kuamini mwanasiasa atakueletea mabadiliko
 
Even wenyewe hawataki wapiganiwe. Wanataka mjipiganie, wkt vijana wa kemya na bangladesh wanahangaika hawakuwa na mwanasiasa akiwaongoza, mpaka leo hakuna mwanasiasa
Walipigana wenyewe,, sasa wewe endelea kuamini mwanasiasa atakueletea mabadiliko
Wewe umefanya nini mpaka sasa
 
Huwa nacheka sana....[emoji1787]

Mtu kama komredi Mbowe hivi ni lini aliwahi kuandamana?!!

Lini watoto wao waliwahi kuandamana ?!!

Yaani akina Rodney waache kula bata huko Ulaya na Afrika kusini waje kuandamana na kina Saidi wa Manzese ?!! [emoji44][emoji44]

Maandamano ni ujinga mtupu[emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania lissu au mbowe aingie ikulu itakua ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Kama bado unafikiri, harakati za kuitoa CCM madarakani, zinazofanywa na chadema, ni kwa ajili ya maslahi Yao binafsi, basi ujinga wako ni karne ijayo.
Chadema sio maraika, lakini CCM ni mashetani, nchi inaendeshwa na kikundi cha majizi watupu, tunahitaji Uhuru kama wa Kenya, South Afrika,
Swali Dogo kwako, kule Kenya, richa ya kuwepo kwa katiba mpya,Uhuru wa Maha kama, vyombo vya habari, lakini serikali,inateka, inaua,haki inanunuliwa, salsa jiulize hapa kwetu ambapo hakuna hizo haki, rushwa IPO kiasi gani, mtoto wako atasoma kayumba, chuo, mkopo atakosa, akimaliza ajira hakuna, na passport ya kusafilia apati, unaminywa kila Kona, ki afya, kwa kipato, kwa elimu, ili usifurukute,
"Ukikaa kwa muda mrefu karibu na mavi,ile harufu unaizoea, inakuwa haikupi shida tena"
Wabongo wamenusa Sana mimavi ya CCM, mpaka sasa hawaoni harufu, inabidi MTU wa nje awashitue,
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania lissu au mbowe aingie ikulu itakua ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
 

Attachments

  • 5805880-46588fc51e252c4c481584ba51022af.mp4
    2.4 MB
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania lissu au mbowe aingie ikulu itakua ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu

View attachment 3078937
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania lissu au mbowe aingie ikulu itakua ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Uzalendoooo
 
Kama bado unafikiri, harakati za kuitoa CCM madarakani, zinazofanywa na chadema, ni kwa ajili ya maslahi Yao binafsi, basi ujinga wako ni karne ijayo.
Chadema sio maraika, lakini CCM ni mashetani, nchi inaendeshwa na kikundi cha majizi watupu, tunahitaji Uhuru kama wa Kenya, South Afrika,
Swali Dogo kwako, kule Kenya, richa ya kuwepo kwa katiba mpya,Uhuru wa Maha kama, vyombo vya habari, lakini serikali,inateka, inaua,haki inanunuliwa, salsa jiulize hapa kwetu ambapo hakuna hizo haki, rushwa IPO kiasi gani, mtoto wako atasoma kayumba, chuo, mkopo atakosa, akimaliza ajira hakuna, na passport ya kusafilia apati, unaminywa kila Kona, ki afya, kwa kipato, kwa elimu, ili usifurukute,
"Ukikaa kwa muda mrefu karibu na mavi,ile harufu unaizoea, inakuwa haikupi shida tena"
Wabongo wamenusa Sana mimavi ya CCM, mpaka sasa hawaoni harufu, inabidi MTU wa nje awashitue,
Sawa wewe umefanya nini mbona mpaka Sasa kwakua umeyaona hayo
 
Nyerere angesema hivyo nadhanj leo ungekuwa mke wa mzungu! Watu wapumbavu sana, leo babu yako angefufuka huenda angekuchapa viboko, uko tayari mjukuu wako ateseka kwa kukosa maisha bora, elimu bora, afya bora kwa sababu ya ubinafsi wako. Watu kama nyie ni hasara kwa taifa la leo na kesho.Siku mtoto wako atakapokufa kwa kukosa bima ya afya ndiyo utaelewa!
 
Back
Top Bottom