Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Si mengi, probably kidogo and sitoweka hapa when and where and whichWewe umefanya nini mpaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mengi, probably kidogo and sitoweka hapa when and where and whichWewe umefanya nini mpaka sasa
Hahaha yaani ni vitukooHuwa nacheka sana....[emoji1787]
Mtu kama komredi Mbowe hivi ni lini aliwahi kuandamana?!!
Lini watoto wao waliwahi kuandamana ?!!
Yaani akina Rodney waache kula bata huko Ulaya na Afrika kusini waje kuandamana na kina Saidi wa Manzese ?!! [emoji44][emoji44]
Maandamano ni ujinga mtupu[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Si mengi, probably kidogo and sitoweka hapa when and where and which
Wewe Umefanya nini ambaye sio mbinafsiNyerere angesema hivyo nadhanj leo ungekuwa mke wa mzungu! Watu wapumbavu sana, leo babu yako angefufuka huenda angekuchapa viboko, uko tayari mjukuu wako ateseka kwa kukosa maisha bora, elimu bora, afya bora kwa sababu ya ubinafsi wako. Watu kama nyie ni hasara kwa taifa la leo na kesho.Siku mtoto wako atakapokufa kwa kukosa bima ya afya ndiyo utaelewa!
Umefanya nini taja sio kelele hapa wewe ni nyumbu muoga pia
Umefanya nini kelele za nini mzee🤣🤣🤣🤣Kwani unakusanya tuliyofanya ili umpelekee chura mrejesho?
SijuiUnaweza kuandamana kwa ajili ya jambo gani??
Yeah nice try unae judge mtu ambae humfaham wala hujawahi kutana nae.Hujafanya lolote nchi ipo vile vile wewe ni muoga tu
Game Gani simba na yangaIla ukikaaa mwenyewe Au km una familia unaona gemu ilivyokua tight
Uko sawa kichwani??Sijui
Umefanya nini au Kuna tanzania nyingine duniani tanzania ni hii hii na hamna kipyaYeah nice try unae judge mtu ambae humfaham wala hujawahi kutana nae.
Why una judge wkt hujui lolote?
Ukikua utaelewa namaanisha nnGame Gani simba na yanga
Sio muoga ni shogaWewe muoga
Wewe umekuaUkikua utaelewa namaanisha nn
Umefanya nini kelele za nini mzee🤣🤣🤣🤣
Nimehamasisha wenzangu na mimi nikiwepo kushinikiza serikali ili bima ya afya ya mtoto irudishwe au kusaidia kiongozi anayetaka uongozi mwenye nia hiyo aweze kushindaWewe Umefanya nini ambaye sio mbinafsi
Pambana na umasikini wako hamna mtu ataeandamana njaa ni zako peke yakoSio muoga ni shoga