Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Mawazo ya wabongo haya. Unadhani kwenye siasa unampigania mtu? Mbona mnakuwa wajinga namna hii. Unajipigania mwenyewe na siyo mtu yoyote. Hata Samia wewe ndiye mwajiri wake. Inatakiwa akupiganie wewe na siyo wewe umpiganie yeye. Akili za maandazi hizi.
 
Mawazo ya wabongo haya. Unadhani kwenye siasa unampigania mtu? Mbona mnakuwa wajinga namna hii. Unajipigania mwenyewe na siyo mtu yoyote. Hata Samia wewe ndiye mwajiri wake. Inatakiwa akupiganie wewe na siyo wewe umpiganie yeye. Akili za maandazi hizi.
Wewe Umefanya nini
 
Umefanya nini au Kuna tanzania nyingine duniani tanzania ni hii hii na hapana kipya
Umesoma nilichokiandika
kabisa akina sonko kagame museven traure wamepambana wenyewe halafu limtu linabeba vijana kwenye macosta wakafe foolish death, kuna kijana na wani yake ya form six wakamtanguliza mbele kafa kifo kibaya wao wakasepa, kila mtu apambane kivyake
unajua ni namna gani rteaore kafika hapo, hakapambana mwenyewe. Akina museveni na kagame iko wazi
But hii ni tanzania, hatukupitia njia za jeshi la mtu mmoja
 
Umesoma nilichokiandika

unajua ni namna gani rteaore kafika hapo, hakapambana mwenyewe. Akina museveni na kagame iko wazi
But hii ni tanzania, hatukupitia njia za jeshi la mtu mmoja
Wewe Umefanya nini kelele nyingi za nini
 
Lini ndg.Mbowe alimtanguliza Rodney katika maandamano?!!

Kwani mwanaye Rodney si mtanzania ?!! [emoji44][emoji44]

Wao wale bata ,watoto wa wenzao wavunjwe viuno na FFU.... ujinga huu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka Kama mazuri / Kama watu wote ulimwenguni wangekua Kama wewe.

Mpaka muda huu kungesingekua na KATIBA wala HUMAN RIGHTS, KUSINGEKUA NA BUNGE , MAHAKAMA, GEREZA, HOSPITALI, MASHULE, MISIKITI, MAKANISA, VYUO VIKUU, VITUO VYA POLISI

tungekua tunaishi kwenye UJIMA
Hivyo vyote unavyovitaja hapo vilipatikana kwa maandamano?? Ukisikia kubwa jinga ndio wewe.
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Kwani umefatwa nyumbani ukaambiwa uandamane?
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Sawa
 
Back
Top Bottom