Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kuna watu wanajua kujipa umuhimu wasio nao mmojawapo ni mtoa madaNani kakuambia uandamane mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanajua kujipa umuhimu wasio nao mmojawapo ni mtoa madaNani kakuambia uandamane mkuu?
Nimehamasisha wenzangu na mimi nikiwepo kushinikiza serikali ili bima ya afya ya mtoto irudishwe au kusaidia kiongozi anayetaka uongozi mwenye nia hiyo aweze kushinda
Mimi ni mtu wewe ni shogaPambana na umasikini wako hamna mtu ataeandamana njaa ni zako peke yako
Shoga ndio nini eti Binti niambieMimi ni mtu wewe ni shoga
kabisa akina sonko kagame museven traure wamepambana wenyewe halafu limtu linabeba vijana kwenye macosta wakafe foolish death, kuna kijana na wani yake ya form six wakamtanguliza mbele kafa kifo kibaya wao wakasepa, kila mtu apambane kivyakeKwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Hata wewe ni shobo tu kwenye huu Uzi sijakuitaKuna watu wanajua kujipa umuhimu wasio nao mmojawapo ni mtoa mada
Ungeuandikia kwenye toilet paper uuchambie ningeuona!!! ni shobo zako kuuleta hapaHata wewe ni shobo tu kwenye huu Uzi sijakuita
Kwahiyo wewe unadhani mapambano ni kuvaa khanga na kujificha chumbani uliwe kiboga? Wapumbavu nchi hii hawataishaSasa hayo ndio mapambano aisee kumbe mambumbumbu mpo wengi🤣🤣🤣
Sijui kama umeshasahau mara hii tuliandamana Maandamano ya AMANI siku sio nyingiMtu kama komredi Mbowe hivi ni lini aliwahi kuandamana?!!
Wewe Binti mmeo karudi kampikie halafu uende kinyume nyumeKwahiyo wewe unadhani mapambano ni kuvaa khanga na kujificha chumbani uliwe kiboga? Wapumbavu nchi hii hawataisha
Utumbo wa bata huu, ila uko tayari kumuita mwanamke mwingine "Mama" wakati mama yako mzazi hujawahi hata kumtumia Mia....hii sio laana kweli?Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Sawa wewe umefanya niniUtumbo wa bata huu, ila uko tayari kumuita mwanamke mwingine "Mama" wakati mama yako mzazi hujawahi hata kumtumia Mia....hii sio laana kweli?
we tulia sisi tuko mstari wa mbele kabisaKwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Sifanyi matangazo Ndugu yanguSawa wewe umefanya nini
Maandamano hayana amani maandamano ni kuforce jambo lenu lifanikiweSijui kama umeshasahau mara hii tuliandamana Maandamano ya AMANI siku sio nyingi
Huna ulichokifanyaSifanyi matangazo Ndugu yangu
Ficha UPUMBAVU wako,au umetumwa?!Maandamano hayana amani maandamano ni kuforce jambo lenu lifanikiwe
Wewe hata usemaje ni nyumbu muoga tu🤣🤣🤣Hawa ndiyo wale wanaume wa familia mke wake analombewa mbele yake na yeye anakenua tu 😂