Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Siasa Tz amna n taass kama zinge za biashara
 
Kuandamana kwa AMANI ni HAKI yako USIOGOPE,lakini EPUKA GHASIA WIZI KUCHOMA MOTO MALI ZA WATU na MACHAFUKO!.
Waandamane watu 1000 halafu usione ghasia za wizi ,kuchoma moto mali za watu na machafuko si kweli....

Huku mitaani hawa masela wavuta ganja na wala mbandandu watakuwa wamesogezewa sababu miguuni mwao.....

Maandamano siyo huku Afrika.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sasa si ndio nimekuambia sifanyi huo ujinga kumbe unaweza kuandamana Kwa amani na hamna jipya ni kupoteza mda tu
Mbona Maasai wameandamana kwa AMANI na wamesikilizwa?!
Labda wewe ni UVCCM umetumwa kuja kuwahadaa Watu.
 
Naunga mkono hoja cdm wakishika madaraka watakua wakatili zaidi ya hawa waliopo,wadini,wakanda n.k,kule x utabishana na nape,makamba,sufiani matravota na wengineo wengi,ila awatokutukana na wala kukublock,sasa mguse yule mmm au maria sarungi utapigwa block ya hatari,binafsi cdm ninaemkubali ni boni yai tu ndio yupo social tena ana kura yangu akigombea ubunge jimbo la ubungo maana uchaguzi kura nitakayopiga ni ya mbunge tu
 
Kabisa mkuu
 
Hivyo vyote unavyovitaja hapo vilipatikana kwa maandamano?? Ukisikia kubwa jinga ndio wewe
HOLY SHIT!
IS JUST LIKE..YOUR BECOME UBER DRIVER & YOU DROP OFF A DUDE AT YOUR GIRLFRIEND'S HOUSE
Ndio maana tulipo kua na melo tulimwambia kuweka mchujo kujiunga JF

ona Sasa JF inakusanya mpaka PPT

Tulio soma chemistry tunajua maana ya PPT
 
Hatuhitaji takataka kama wewe usiyejitambua
 
Naupenda uana harakati kazi yangu iwe kususila wajinga waandamane huku binafsi nawacheki kwenye darubine wakila kichapo, maana dunia imeumbwa kwa werevu na wapumbavu! Kila mmoja na kazi yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…