Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
-
- #121
Hahahaha mkuu ndio kazi hiyo unayapa moyo yenyewe yakapigweNaupenda uana harakati kazi yangu iwe kususila wajinga waandamane huku binafsi nawacheki kwenye darubine wakila kichapo, maana dunia imeumbwa kwa werevu na wapumbavu! Kila mmoja na kazi yake!
Wewe unayejitambua umefanya niniHatuhitaji takataka kama wewe usiyejitambua
Swali ni je tumepigwa risasi?! Kama unavyodai kwenye huu uzi wako?!Hamna mlikua mmekusanyana mnatembea barabarani tu huku mnapiga stori sababu hakuna jipya
Hamjapigwa risasi kwakua hamna mlilofanya mlikua mnatembea tuSwali ni je tumepigwa risasi?! Kama unavyodai kwenye huu uzi wako?!
Mkuu.Sasa si ndio nimekuambia sifanyi huo ujinga kumbe unaweza kuandamana Kwa amani na hamna jipya ni kupoteza mda tu
Tofautisha Protest na Riots au hujui maana yake?!Hamjapigwa risasi kwakua hamna mlilofanya mlikua mnatembea tu
SijuiMkuu.
Ujinga maana yake ni nini?
Hamjaandamana mlikua mnatembeaTofautisha Protest na Riots au hujui maana yake?!
ProtestTofautisha Protest na Riots au hujui maana yake?!
Kweni kuandamana ni kukimbia?! Una IQ hafifu sana.Hamjaandamana mlikua mnatembea
NdioKweni kuandamana ni kukimbia?!
Umesema kweli na unaungwa mkono na vijana wote.Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Huo ndio ukweliUmesema kweli na unaungwa mkono na vijana wote.
hili la kubebana kwenye macosta hayo haikubalikiKuandamana kwa AMANI ni HAKI yako USIOGOPE,lakini EPUKA GHASIA WIZI KUCHOMA MOTO MALI ZA WATU na MACHAFUKO!.
Huna hoja.Ndio
Hata Wewe huna hojaHuna hoja.
Kwa SHERIA gani?!hili la kubebana kwenye macosta hayo haikubaliki
Maandamano gani ya kukimbia hizo ni "Riadha", acha upunguwani?!Hata
Hata Wewe huna hoja
Huna hoja umepaniki punguwani wewe🤣🤣🤣🤣Maandamano gani ya kukimbia hizo ni "Riadha", acha upunguwani?!