Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Naupenda uana harakati kazi yangu iwe kususila wajinga waandamane huku binafsi nawacheki kwenye darubine wakila kichapo, maana dunia imeumbwa kwa werevu na wapumbavu! Kila mmoja na kazi yake!
Hahahaha mkuu ndio kazi hiyo unayapa moyo yenyewe yakapigwe
 
Hamna mlikua mmekusanyana mnatembea barabarani tu huku mnapiga stori sababu hakuna jipya
Swali ni je tumepigwa risasi?! Kama unavyodai kwenye huu uzi wako?!

Kama wewe ni "Mwanaume Suruwali" basi kaa huko huko UVCCM wachq sisi "Simba Dume" tuandamane.
 
Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu

Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano

Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.

Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani

Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Umesema kweli na unaungwa mkono na vijana wote.
 
Back
Top Bottom