Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Hakuna njia mtakayo weza kufanya kuzuia tsunami inayo kuja kuwazoa.
 
Je Tumbo lako unaweza?
 
Kwenye mapambano wanaopambana ni wachache lakini wanaonufaika na matokeo ya kitu kilichopambaniwa ni wengi,wenye kupambana subiri wapambane wewe subiri kula matunda yatakayotokana na wapambanaji.
 
Una tekwa afu wahuni wana kutaftia twitter kwa kupost afu baadae wana kusahau dadeki 😅😅
 
Sijui🤣🤣
Unatueleza ujinga wako sisi unataka tukusaidie vipi?

Hivi hata hamuoni kuwa vitisho vyote mnavyoweza kuwatishia waTanzania havina nguvu tena ya kuwatisha wasidai haki zao kwa njia yoyote wanayoweza kuitumia?

Utakuja vipi hapa kusambaza vitisho kwa watu kama akili yako haiko sawa!
 
Hata usipoingia barabarani utakufa, utazikwa na utaoza, shwani mkubwa wewe
 
Uliwahi ombwa uandamane kwa ajili ya mmoja wapo uliowataja?
 
Wewe Umefanya nini
Mengi kabisa. Nimetoa donation mara nyingi kusaidia harakati za kutetea utawala bora. Nimeshiriki kwenye demonstration za kumpinga nduli Magufuli wakati anaua raia wasio na hatia. Na sasa naangalia namna ya kuunganisha nguvu ili kinara wa utekaji na mauaji Mafwele na wenzake wapate stahiki yao.
 
Sijui🤣🤣🤣🤣
 
Mbona hatuoni mabadiliko yeyote wewe ni muoga tu hakuna ulilofanya🤣🤣🤣
 
Nimekuelewa vizuri sana
Kama kuingia road sisi gen z tutaingia na sababu zetu, na sio kwa sababu hao wapumbavu wawili wanaotaka tuingie road
 
Maandamano ni lini tuingie barabarani?
 
here is where your IQ Ended
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…