Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #141
SijuiSawa mkuu.
Lakini unafanya kosa dhidi ya akili na dhamiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijuiSawa mkuu.
Lakini unafanya kosa dhidi ya akili na dhamiri
Hakuna njia mtakayo weza kufanya kuzuia tsunami inayo kuja kuwazoa.Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Je Tumbo lako unaweza?Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
SijuiJe Tumbo lako unaweza?
SijuiHakuna njia mtakayo weza kufanya kuzuia tsunami inayo kuja kuwazoa.
Najuwa "hujui", ndiyo sababu upo hapo kama kiazi kinachooza bila kujitambua!.Sijui
Nasema hatuhitaji takataka kama wewe.Wewe unayejitambua umefanya nini
Wewe ambaye sio takataka umefanya niniNasema hatuhitaji takataka kama wewe.
Sijui🤣🤣Najuwa "hujui", ndiyo sababu upo hapo kama kiazi kinachooza bila kujitambua!.
Unatueleza ujinga wako sisi unataka tukusaidie vipi?Sijui🤣🤣
Uliwahi ombwa uandamane kwa ajili ya mmoja wapo uliowataja?Kwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
Mengi kabisa. Nimetoa donation mara nyingi kusaidia harakati za kutetea utawala bora. Nimeshiriki kwenye demonstration za kumpinga nduli Magufuli wakati anaua raia wasio na hatia. Na sasa naangalia namna ya kuunganisha nguvu ili kinara wa utekaji na mauaji Mafwele na wenzake wapate stahiki yao.Wewe Umefanya nini
Sijui🤣🤣🤣🤣Unatueleza ujinga wako sisi unataka tukusaidie vipi?
Hivi hata hamuoni kuwa vitisho vyote mnavyoweza kuwatishia waTanzania havina nguvu tena ya kuwatisha wasidai haki zao kwa njia yoyote wanayoweza kuitumia?
Utakuja vipi hapa kusambaza vitisho kwa watu kama akili yako haiko sawa!
Mbona hatuoni mabadiliko yeyote wewe ni muoga tu hakuna ulilofanya🤣🤣🤣Mengi kabisa. Nimetoa donation mara nyingi kusaidia harakati za kutetea utawala bora. Nimeshiriki kwenye demonstration za kumpinga nduli Magufuli wakati anaua raia wasio na hatia. Na sasa naangalia namna ya kuunganisha nguvu ili kinara wa utekaji na mauaji Mafwele na wenzake wapate stahiki yao.
Nimekuelewa vizuri sanaKwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu
here is where your IQ EndedKwanini nimeamua kwamba siwezi kuandamana. Wala kupigania chama Chochote Cha upinzani sababu mojawapo siwezi Mimi niingie barabarani nipigwe Shaba nife nizikwe nioze Kwa ajili ya kumpambania Lissu au mMbowe aingie ikulu itakuwa ni ujinga wa Hali ya juu
Watoto wangu wakisikia baba yao nimekufa Kwa ajili ya maandamano
Sababu Hawa unaowaona Leo wapinzani wakisha shika cheo Cha uraisi watabadilika na watakua wanyama sana kama waliokishika Sasa.
Halafu kingine jiulize kwanini hii mizee ya Sasa hivi inatuambia vijana tuipambanie nchi swali mbona yenyewe hayakuipambania Sasa sahivi maisha kwao ni magumu yanabaki yanalialia vijana ingieni barabarani
Sasa nawaambia nyie wazee hamna kijana ataengia barabarani pambaneni na hali zenu