NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
AfukuzeWakuu
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!
Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mwingine BADO ananyonya!!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje!!?
Waolewaji ndio hawana akili toka pale eden mpaka karne ya 21Duh
Kuna watu wana choyo za asili..
Oyah vijana msioe. Tulieni mpaka mkuwe kiakili
Mwanaume asio kua na msimamo ni sawa sawa na mwanamke tofauti ni productive organs...... na oa mke ambaye niko tayari kumuacha hata ikiwa na kichanga cha wiki moja, hayo masuala subilia watoto wakue ni uoga wa maisha na ujinga.Wakuu
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!
Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mwingine BADO ananyonya!!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje!!?
Sasa jamaa angeamua mama haendi popote si mama wa WATU angedhurika!!?Mwanaume asio kua na msimamo ni sawa sawa na mwanamke tofauti ni productive organs...... na oa mke ambaye niko tayari kumuacha hata ikiwa na kichanga cha wiki moja, hayo masuala subilia watoto wakue ni uoga wa maisha na ujinga.
Huyu jamaa anakosa msimamo huo ucku tuna achana nauli na mpa alfajiri mengine badaye......unajua uchungu wa mama mzazi lohSasa jamaa angeamua mama haendi popote si mama wa WATU angedhurika!!?
Kumbuka wao Ndio wapishi ujue!
Halafu jamaa kasema hakujua kabisa kama mkewe angefanua vile!!
Mama mtu alikomaa apewe nauli na jamaa akawa hana la kufanya!!
Hiyo kauli aliisema WAKATI jamaa hayupo kaenda stendi tena alisema hadharani mbele ya wapangaji!Huyo angetakiwa amchape makofi makali Kabla hajamaliza hiyo kauli.
Moja ya majukumu ya Baba ndani ya nyumba ni kuhakikisha nidhamu na adabu vinashika hatamu.
Kijana hata hajui kupigana alafu anataka kuoa😂😂😂
Huyo ni Mume au Baba kweli?
Angemwachia kichanga angenyonyesha nani!!?Huyu jamaa anakosa msimamo huyu ucku tuna achana nauli na mpa alifajiri mengine badaye.
Hiyo kauli aliisema WAKATI jamaa hayupo kaenda stendi tena alisema hadharani mbele ya wapangaji!
Baadae alipoona sarakasi za Hapa na PALE Ndio mama akaamua kumwambia mwanae kia Hapa sipawezi naomba niende!
Mama alipewa mchongo baada ya kuona full sarakasi!
Ndio jamaa akasanuka!
Hahahaa anawatoto watu pamojaa na mwingine ananyonya😀😀Wasambaaa bwana story zenu.Dah! Pagumu......tutafute pesa.Wakuu
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!
Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mwingine BADO ananyonya!!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje!!?
Msaidie ku edit Mkuu!Hahahaa anawatoto watu pamojaa na mwingine ananyonya😀😀Wasambaaa bwana story zenu.Dah! Pagumu......tutafute pesa.
Wewe unaishi Dar au mkoani? ......hivi mama wa mtoto akifariki incase hicho kichanga kinawawa au kinafanywaje?Angemwachia kichanga angenyonyesha nani!!?
Akae kimya Sio!!?Acha kelele
Duh
Kuna watu wana choyo za asili..
Oyah vijana msioe. Tulieni mpaka mkuwe kiakili