NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
- Thread starter
- #21
Jamaa kalia sana!
Hadi ilibidi nimtoe out Wana miaka kumi TANGU waoane!
Hadi ilibidi nimtoe out Wana miaka kumi TANGU waoane!
huyo mke ana roho mbaya kuwahi kushuhudiwa, alafu wanae wakikua wakioa/kuolewa atakuwa king'ang'anizi kwenda kuishi nao. Kufariki kwa mzazi wake sio sababu ya kuwachukia wazazi wa mwenzie, aah ashanikera.