‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

Sio ukabila ila wapemba, wasambaa ,warangi, wabena ,wasukuma na wambulu hawa wanaweza kuishi nyumba moja na wakwe zao ila hao wengine sijaona kwa kweli .

Kingine wanawake wakishazaa roho mbaya na kujiamini vinaongezeka kwa Kasi watu wawe makini sana na nasaba ya mtu.
 
Wakuu

Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!

Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!

Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!

Wana Watoto watatu pamoja na mmoja BADO ananyonya!!

Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya

Wadau mnasemaje!!?
Hajui afanye nini? Serious? 😀😀😀😀

Ila mapenzi hayashauriki
 
Hajui afanye nini? Serious? 😀😀😀😀

Ila mapenzi hayashauriki
Hajui afanye nini? Serious? 😀😀😀😀

Ila mapenzi hayashauriki
Jamaa anawaza

Watoto wake bado wadogo

Miaka nane,miaka tatu na mwaka mmoja!

Hawa akiachiwa NDANI patakalika!!?

Atafanyaje anaomba USHAURI!
 
Wakuu

Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!

Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!

Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!

Wana Watoto watatu pamoja na mmoja BADO ananyonya!!

Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya

Wadau mnasemaje!!?
Kama ana watoto wa kiume... Hakuna shida aombe maisha marefu watoto wakue nao waoe afu aende kuwa tembelea afu akutane na hayo... Maana malipo hapapa..... Umemfanyia visa mama wa mumeo na yeye atafanyiwa visa na wanawe..
 
Wakuu

Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!

Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!

Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!

Wana Watoto watatu pamoja na mmoja BADO ananyonya!!

Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya

Wadau mnasemaje!!?
Stupid!🚮 hili swala halina mjadala na halihitaji ushauri aisee afukuze iyo kenge irudi kwao.

Atapata mke mwingine lakini Mama ni mmoja pekee.
 
Tatizo la wamama wakienda kwa vijana wao waliooa wanataka kukaa mwaka mzima au kuhamia hapo lzima wakosane,nenda mara moja moja na usikae sanaa ,sehem ambayo mama anaweza kaa muda mrefu na kwa amani ni kwa mtoto wa kike tu lakin na penyewe usikae sana
Acha wao waje kukutembelea kwako
 
Wakuu,

Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!

Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!

Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!

Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya

Wadau mnasemaje?


Usitufanye wajinga humu!!, wewe ni timu "kataa ndoa".

Unataka kuonyesha ubaya wa ndoa.
 
Wakuu,

Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!

Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!

Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!

Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya

Wadau mnasemaje?
Makubwa! Mtakuwa mkitofautiana tu ni kuachana
 
Tatizo la wamama wakienda kwa vijana wao waliooa wanataka kukaa mwaka mzima au kuhamia hapo lzima wakosane,nenda mara moja moja na usikae sanaa ,sehem ambayo mama anaweza kaa muda mrefu na kwa amani ni kwa mtoto wa kike tu lakin na penyewe usikae sana
Acha wao waje kukutembelea kwako
Wewe acha upumbavu mama ako umpagie mda wa kuka kwako, mbona huna hadabu, sijui vijana wa siku hizi mna kasoro gani kwenye akili zenu, wewe umpe mkeo priority kuliko mama ako mzazi jinga kabisa.
 
Kuna ness jirani hapa alikuwa anafunga milango yote anamwacha kibarazani mama makwe then kuonana jioni ...so yule bibi alikuwa na Milo miwili nayo hatujui kama ilikuwa Inatimia chai na msosi usiku
 
Wewe acha upumbavu mama ako umpagie mda wa kuka kwako, mbona huna hadabu, sijui vijana wa siku hizi mna kasoro gani kwenye akili zenu, wewe umpe mkeo priority kuliko mama ako mzazi jinga kabisa.

Huwezi lazimisha mtu apende mama yako mkuu
 
Back
Top Bottom