reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Il Kuna wanaume hawana misimamo au Hana pesa?!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Kuna Wanawake Wana roho mbaya mnoo mama mkwe ni mama kabisaDuh
Kuna watu wana choyo za asili..
Oyah vijana msioe. Tulieni mpaka mkuwe kiakili
Ni mwanamke ila huyo jamaa ni mpuuziSasa jamaa angeamua mama haendi popote si mama wa WATU angedhurika!!?
Kumbuka wao Ndio wapishi ujue!
Halafu jamaa kasema hakujua kabisa kama mkewe angefanua vile!!
Mama mtu alikomaa apewe nauli na jamaa akawa hana la kufanya!!
Huyo jamaaa ni wewe kwani kichanga mama ake akifa analelewaje?aseehhHiyo kauli aliisema WAKATI jamaa hayupo kaenda stendi tena alisema hadharani mbele ya wapangaji!
Baadae alipoona sarakasi za Hapa na PALE Ndio mama akaamua kumwambia mwanae kia Hapa sipawezi naomba niende!
Mama alipewa mchongo baada ya kuona full sarakasi!
Ndio jamaa akasanuka!
Kwani mimi nimekupangia? Nimetoa maoni yangu kama hutaki ni wewe.Mama yangu mzazi haitaji sababu yoyote kukaa kwangu wala hapangiwi muda eti "akae kidogo". Kama hali yangu ya uchumi inaruhusu, atakaa mpaka achoke yeye.
Hoja kama hii yako ndio zinafanya watu wa "kataa ndoa" waonekane wako sahihi!
Mama yangu mzazi haitaji sababu yoyote kukaa kwangu wala hapangiwi muda eti "akae kidogo". Kama hali yangu ya uchumi inaruhusu, atakaa mpaka achoke yeye.
Hoja kama hii yako ndio zinafanya watu wa "kataa ndoa" waonekane wako sahihi!
Mnooo...tuna roho mbayaaWanawake Wana Roho mbaya Sana
Kumbukeni nyumbani pindi mnapopata mafanikio Jenga nyumbani boresha mazingira ya nyumbani saidia ndugu na jamaa katika familia muwezeshe mzazi uone kama mkeo atamchukia mama yako
Wake zetu wanawachukia mama zetu kwa sababu wanamini bila siye mama Hana cha kufanya so wanaingiwa wivu wakiamini mama anabana nafasi yake anachukua kipato chako so tutunze wazazi uko mashambani tuwape huduma uko mashambani tuwatembelee uko mashambani
Mke wa kumnyenyekea mama mke kwa Sasa ni kumi kwa mmoja na wazazi wanakuja makwetu kwa sababu uko najumbani hapaeleweki nyumbani pakieleweka mama atapata support ya majirani au waumini wa dini wenzake au ndugu zake hata akiumwa utapigiwa sm tu siyo kukimbilia kupanda bus aje kwako
Wanawakemkae mkijua roho mbayaa zenu Kwa mama wakwe unamnyima Pepo mmeo,mama mkwe ni mpita njia ushaolewa tulia hataweza kukaa miaka miwili au 10 hapo KwenuMama yangu mzazi haitaji sababu yoyote kukaa kwangu wala hapangiwi muda eti "akae kidogo". Kama hali yangu ya uchumi inaruhusu, atakaa mpaka achoke yeye.
Hoja kama hii yako ndio zinafanya watu wa "kataa ndoa" waonekane wako sahihi!
Hawajali hata kidogoNyie wanaume mkishaoa mnajali sasa mnaandika tu hapa
yeye mshikaji wako ndo chenga kwani huyo mwanamke ndo kamuoa mshikaji au?Wakuu,
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje?
Manbo ya watoto atajua badae,afanye kama vile kafa tu ,option atapataJamaa anawaza
Watoto wake bado wadogo
Miaka nane,miaka tatu na mwaka mmoja!
Hawa akiachiwa NDANI patakalika!!?
Atafanyaje anaomba USHAURI!
Huyo mama atalea watoto wake ye atoe matunzo,Jamaa anawaza
Watoto wake bado wadogo
Miaka nane,miaka tatu na mwaka mmoja!
Hawa akiachiwa NDANI patakalika!!?
Atafanyaje anaomba USHAURI!
Wala sijasema umenipangia. Mimi pia nimetoa maoni yangu!Kwani mimi nimekupangia? Nimetoa maoni yangu kama hutaki ni wewe.
Inawezekana wapo wanaume wa hivyo wasiojali. I'm not one of them!Nyie wanaume mkishaoa mnajali sasa mnaandika tu hapa