Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana tunasema tuboreshe mazingira ya nyumbani si kusatumia pesa tu, wafungue hata genge mboga mboga,. Wauze hata icr cream kupunguza ukali wa maisha Yani wasiwe wamekaa tu wanasubilia uwatumie pesa kila mdaWatoto wakiume wengi wakishaoa hawasaidii familia zao na unakuta akitoa hela ni 10000 inasaidia nin?
Wengi wanakuwa busy na familia zao wanajali wake zao tu ,wachache sana wanaojali mama zao au baba zao ,watoto wa kike wengi husaidia kwao
Waolewaji ndio hawana akili toka pale eden mpaka karne ya 21
Sasa wameshtuka huon #kataa ndoaHata waoaji hawana akili toka eden, sababu kama mlijua waolewajecwajinga why mliwafatisha mawazo yao, wote ovyo
🤣🤣🤣🤣Unafikiri natania!?
Mimi na mke na toto nne!
Hiyo ni nature mkuu huwezi kupingana nayo. Kiasilia kabisa mwanaume ndio provider wa familia kwa kila kitu, uchumi, ulinzi, peace na kila kitu. Sisi ndio tunawajibika kutoa matunzo ya familia zaidi inafika kipindi huwezi kugawa resources kidogo unazopata kwa familia yako na wazazi wako/ndugu.Watoto wakiume wengi wakishaoa hawasaidii familia zao na unakuta akitoa hela ni 10000 inasaidia nin?
Wengi wanakuwa busy na familia zao wanajali wake zao tu ,wachache sana wanaojali mama zao au baba zao ,watoto wa kike wengi husaidia kwao
Mimi nikiwa kwenye mahusiano licha ya kula mbususu zao huwa napenda kusoma saikolojia ya hawa viumbe. Na kuna vitu vingi nimevijua kutoka kwaoRoho mbaya ni sumu, huyo mwanamke sio kabisa. Ila kwenye ishu ya wazazi, KE huwa ni wabinafsi na wenye chuki sana
Hapana KILA mmoja anamishe anafanya za kiuchumi,jamaa alimfungulia mke ki genge anauza!yeye ni mfanyakazi mwenzangu!!!Mwanamke hii sauti anakuwa nayo sababu unaweza kuta hata chakula ni yeye analeta.
Wana ubinafsi sana ila ongelea kuhusu wazazi wake uone anavyo wapambania. Nilishamuacha Ke kwa sababu hiyo, aliniomba hela nikamwambia subiri maana nimetoka kumtumia mama alikua na uhitaji, ghafla likanuna na kuuliza ina maana mama yako ni wa muhimu sana kuliko mim? nilichukia na ikawa mwisho wetu.Mimi nikiwa kwenye mahusiano licha ya kula mbususu zao huwa napenda kusoma saikolojia ya hawa viumbe. Na kuna vitu vingi nimevijua kutoka kwao
Mara nyingi nikiongea nao kuhusu habari za wazazi huwa ushirikiano wao mdogo sana
Ulifanya uamuzi sahihi sanaWana ubinafsi sana ila ongelea kuhusu wazazi wake uone anavyo wapambania. Nilishamuacha Ke kwa sababu hiyo, aliniomba hela nikamwambia subiri maana nimetoka kumtumia mama alikua na uhitaji, ghafla likanuna na kuuliza ina maana mama yako ni wa muhimu sana kuliko mim? nilichukia na ikawa mwisho wetu.
Uzuri wa mtu mbinafsi hajifichi hata akijitahidi kuuficha uhalisia wake ni ndani ya muda mfupi sana. Yani tumekutana ukubwani kama ndevu niache kuwajali wazazi kisa kuifurahisha mbususu ni ujinga wa kiwango cha lami. Labda nirogweUlifanya uamuzi sahihi sana
Mwanamke mbinafsi kama huyo haujiulizi hata mara mbili ni kufanya maamuzi ya kumpiga chini
Wao wanadhani wanaume wote wadhaifu wa hizo mbususu zao au tako eti tuanze kuwanyenyekea tushindwe kuwajali wazazi wetu
Shenzi sana huyo akafie mbele huko
"Uzuri wa mtu mbinafsi hajifichi hata akijitahidi kuuficha uhalisia wake ni ndani ya muda mfupi sana"Uzuri wa mtu mbinafsi hajifichi hata akijitahidi kuuficha uhalisia wake ni ndani ya muda mfupi sana. Yani tumekutana ukubwani kama ndevu niache kuwajali wazazi kisa kuifurahisha mbususu ni ujinga wa kiwango cha lami. Labda nirogwe