‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

Asisubili mtoto akue apo apo mchuzi wa moto inabidi afanye maamuzi akisubilia atashindwa na sababu atakua hana..uyo ni mbinafsi
 
Huyo angetakiwa amchape makofi makali Kabla hajamaliza hiyo kauli.
Moja ya majukumu ya Baba ndani ya nyumba ni kuhakikisha nidhamu na adabu vinashika hatamu.

Kijana hata hajui kupigana alafu anataka kuoa😂😂😂
Huyo ni Mume au Baba kweli?
Tena kofi la sikio mpaka asikie kengele nziiii akitoka hapo akili imemkaa sawa
 
Tatizo la wamama wakienda kwa vijana wao waliooa wanataka kukaa mwaka mzima au kuhamia hapo lzima wakosane,nenda mara moja moja na usikae sanaa ,sehem ambayo mama anaweza kaa muda mrefu na kwa amani ni kwa mtoto wa kike tu lakin na penyewe usikae sana
Acha wao waje kukutembelea kwako
Yaani wanawake bhana nyumba nijenge Mimi afu unipangie mama yangu akae mda gani dah yaani kwa Mimi ukionesha sign ata kidg unaendaa kwenuu
 
Wewe acha upumbavu mama ako umpagie mda wa kuka kwako, mbona huna hadabu, sijui vijana wa siku hizi mna kasoro gani kwenye akili zenu, wewe umpe mkeo priority kuliko mama ako mzazi jinga kabisa.
Itategemea na sababu za mzazi kuhamia kwako. Kama ana kwake, hana shida yoyote mfano kama ugonjwa akae tu kwake awe anakuja kusalimia kidogo alafu anaondoka asihamie. Wanawake sisi mara nyingi hatupikiki chungu kimoja. Yataanza maneno umuone mkeo mbaya hata kama mzazi ndio anakosea.
 
Pole sana kwake, alipatikana badala ya kupata. Mke anaongea hivyo kabisa hana adabu wala nidhamu. Huyo anastahili adhabu kali, yoyote unayoona inamfaa kwa wakati huo.
 
Itategemea na sababu za mzazi kuhamia kwako. Kama ana kwake, hana shida yoyote mfano kama ugonjwa akae tu kwake awe anakuja kusalimia kidogo alafu anaondoka asihamie. Wanawake sisi mara nyingi hatupikiki chungu kimoja. Yataanza maneno umuone mkeo mbaya hata kama mzazi ndio anakosea.

Kina mama wengine wakifika kwa watoto wanaanza kupanga kila kitu upya hapo sasa na kuchokonoa mambo badala tu awe mgeni tu na kula kulala na kutembea
 
Kaoa mke mwenye roho mbaya sana,awe makini asijewahishwa futi sita mapema
 
Ukiniambia hiyo kauli, muda huo huo ndoa inakufa bila kujali chochote wala kuruhusu usuluhishi wa aina yeyote!


Yani mke wangu aniambie hiyo kauli? Hata akishuka Yesu kutusuluhisha, nitakataa mazee, potelea mbali.

Hivi huwa mnatoa wapi hao vichaa?
 
Kumbukeni nyumbani pindi mnapopata mafanikio Jenga nyumbani boresha mazingira ya nyumbani saidia ndugu na jamaa katika familia muwezeshe mzazi uone kama mkeo atamchukia mama yako

Wake zetu wanawachukia mama zetu kwa sababu wanamini bila siye mama Hana cha kufanya so wanaingiwa wivu wakiamini mama anabana nafasi yake anachukua kipato chako so tutunze wazazi uko mashambani tuwape huduma uko mashambani tuwatembelee uko mashambani

Mke wa kumnyenyekea mama mke kwa Sasa ni kumi kwa mmoja na wazazi wanakuja makwetu kwa sababu uko najumbani hapaeleweki nyumbani pakieleweka mama atapata support ya majirani au waumini wa dini wenzake au ndugu zake hata akiumwa utapigiwa sm tu siyo kukimbilia kupanda bus aje kwako
 
Itategemea na sababu za mzazi kuhamia kwako. Kama ana kwake, hana shida yoyote mfano kama ugonjwa akae tu kwake awe anakuja kusalimia kidogo alafu anaondoka asihamie. Wanawake sisi mara nyingi hatupikiki chungu kimoja. Yataanza maneno umuone mkeo mbaya hata kama mzazi ndio anakosea.
Mama yangu mzazi haitaji sababu yoyote kukaa kwangu wala hapangiwi muda eti "akae kidogo". Kama hali yangu ya uchumi inaruhusu, atakaa mpaka achoke yeye.

Hoja kama hii yako ndio zinafanya watu wa "kataa ndoa" waonekane wako sahihi!
 
Back
Top Bottom