‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

Katika jambo ambalo Mama yangu alikataa ni kujakuja kwangu na mke wangu.
Ila siku nilitiwa ndani na Mke nilipotoka polisi alinisindikiza niondoke kabisaaa kwangu niachane nae hata km tuna katoto kachanga,alifight nichukue mashati mawili tu na suruali nikaanze 1.
Wala haikua tabu.mpk leo nakaa na mabinti kwa akili kubwa sana,
Yaani bussy but available 100%.
Single faza
 
"Uzuri wa mtu mbinafsi hajifichi hata akijitahidi kuuficha uhalisia wake ni ndani ya muda mfupi sana"

Yaani hauwezi kuwa mnafiki 24/7 week au mwezi mzima utajua tu

Kuna wajinga wajinga wanawaokota huko wanawashika akili unakuta mshikaji kwa wazazi wake wanatumia mkaa mwanzo mwisho kwa manzi kamnunulia jiko la gas na dish la azam na bado anamlipia kodi

Wanaume wanaojielewa wakiwa kwenye mahusiano tunasema CHARITY BEGINS AT HOME kwa wazazi
Upo sahihi kabisa mkuu, wengine wazazi wakiomba elfu 20 wanalalamika wazazi wasumbufu ila Ke akiomba 50K anapewa na ziada kiroho safi alafu mambo yakianza kuwaendea vibaya waseme wamerogwa.

Mbaya zaidi mambo yakizidi kuwa magumu wa kwanza kukimbia na kuonesha dharau ni hawa hawa aliokuwa akiwapa full support na kuona wazazi kama wasumbufu. Mwisho wa siku hali ikiwa mbaya kabisa wa kuwafariji ni wazazi ambao hakuwa anawapa umuhimu.
 
Katika jambo ambalo Mama yangu alikataa ni kujakuja kwangu na mke wangu.
Ila siku nilitiwa ndani na Mke nilipotoka polisi alinisindikiza niondoke kabisaaa kwangu niachane nae hata km tuna katoto kachanga,alifight nichukue mashati mawili tu na suruali nikaanze 1.
Wala haikua tabu.mpk leo nakaa na mabinti kwa akili kubwa sana,
Yaani bussy but available 100%.
Single faza
Ilikuaje ukawekwa ndani? Mkeo alihusika
 
Uzuri wa mtu mbinafsi hajifichi hata akijitahidi kuuficha uhalisia wake ni ndani ya muda mfupi sana. Yani tumekutana ukubwani kama ndevu niache kuwajali wazazi kisa kuifurahisha mbususu ni ujinga wa kiwango cha lami. Labda nirogwe
Jana kuna mmoja nimezinguana naye usiku mpaka kaomba msamaha. Alitaka atumie mbususu yake kama silaha

Asubuhi kanitext na shida zake hata hajaanza na salamu nikachuna sijamjibu mpaka night

Usiku akanitext tena "vibaya hivyo D" nikasema sasa ngoja nimfundishe adabu nikamtext "mambo" akaitikia "poa"

Halafu nikamwambia kwa meseji nimeanza kwa salamu "mambo" ili ujifunze kitu kujuliana hali muhimu

Nikamchunia baadaye mwenyewe akanipigia akaongea halafu akaniambia "Je, ningekuambia nina nyege ungenijibu hivyo?" Akimaanisha kuwa mimi ni mdhaifu kwa papuchi yake kwamba ningepotezea hata kama hakuanza na salamu

Nilikasirika mamamae nilimchana yule mwanamke nikamwambia hiyo kwangu sio kitu kigeni na mimi sio mdhaifu wa hiyo K yako. Nilimsema mpaka akaanza kujiliza

Kakajiliza hapo akaomba msamaha "unajua wakati mwingine D kupitiwa tu I'm very sorry." Baada ya mazungumzo akanitumia viemoji vyake vya ❤️❤️❤️

Najua sina demu wa maana hapo acha nile mbususu nikimchoka 🚮
 
Jana kuna mmoja nimezinguana naye usiku mpaka kaomba msamaha. Alitaka atumie mbususu yake kama silaha

Asubuhi kanitext na shida zake hata hajaanza na salamu nikachuna sijamjibu mpaka night

Usiku akanitext tena "vibaya hivyo D" nikasema sasa ngoja nimfundishe adabu nikamtext "mambo" akaitikia "poa"

Halafu nikamwambia kwa meseji nimeanza kwa salamu "mambo" ili ujifunze kitu kujuliana hali muhimu

Akaniendea hewani akaongea halafu akaniambia "Je, ningekuambia nina nyege ungenijibu hivyo?" Akimaanisha kuwa mimi ni mdhaifu kwa papuchi yake kwamba ningepotezea hata kama hakuanza na salamu

Nilikasirika mamamae nilimchana yule mwanamke nikamwambia hiyo kwangu sio kitu kigeni na mimi sio mdhaifu wa hiyo K yako. Nilimsema mpaka akaanza kujiliza

Kakajiliza hapo akaomba msamaha "unajua wakati mwingine D kupitiwa tu I'm very sorry." Baada ya mazungumzo akanitumia viemoji vyake vya ❤️❤️❤️

Najua sina demu wa maana hapo acha nile mbususu nikimchoka 🚮
Mwanamke wa hivyo sio, mimi huwa nawangojea kwenye line of weakness najua atakuja tu. Ke anakutaftia shida, hata bila salamu yeyote bado ukimtolea nje anakupa maneno ya dharau na kejeli alafu huyo huyo anataka mjenge malengo ya kifamilia kuishi pamoja.
 
Ndoa ni tamu, tatizo za siku izi zinaharibiwa na hii generation ya usawa 50 kwa 50. wanawake wamekuwa wabinafsi, mwanamke ukimpenda sana nayo ni tatizo. ivi vichwa alivishindwa Samson kwa dellila
 
Tatizo la wamama wakienda kwa vijana wao waliooa wanataka kukaa mwaka mzima au kuhamia hapo lzima wakosane,nenda mara moja moja na usikae sanaa ,sehem ambayo mama anaweza kaa muda mrefu na kwa amani ni kwa mtoto wa kike tu lakin na penyewe usikae sana
Acha wao waje kukutembelea kwako
Hii inadhihirisha wanaume hatuna roho mbaya, tunakaa na mama zenu,tunaacha pesa za matumizi bila kinyongo na maisha yanaenda saaafi kabisa, lakini wanawake walio wengi wana roho mbaya, yaani anakuja mama yangu mzazi eti unatoka mishipa kabisa kuwa HAUMTAKI,who are you by the way?

Pesa ya matumizi natoa mimi,nyumba nimejenga mimi,nimekutoa kwenu na kukuleta nyumbani kwangu tujenge familia unakuja na kutaka kunitawala Mimi na wazazi wangu? Like serious????
 
Hapana KILA mmoja anamishe anafanya za kiuchumi,jamaa alimfungulia mke ki genge anauza!yeye ni mfanyakazi mwenzangu!!!

Sema mshikaji ni mpole na mwenye kujali Sana familia yake!si mkorofi mwenye hofu ya Mungu Sana haamini katika vurugu na ugomvi!!!

Nahisi MWANAMKE ka take advantage ya Tabia yake!!
Huwezi sema ana nguvu kiuchumi iwapo jambo jepesi kama hilo hana meno ya kulitafuna.

Mkewe kamzidi nguvu ndo maana anampangia hata kuhusu mama yake mzazi.

Wanaume tuna tabia ya kuvimba, mke akinunua gari tunasema "nimemnunulia wife gari".

Hakuna mwanaume mpole kwenye jambo la msingi, anafanyaje maamuzi muhimu?
 
Mwanamke wa hivyo sio, mimi huwa nawangojea kwenye line of weakness najua atakuja tu. Ke anakutaftia shida, hata bila salamu yeyote bado ukimtolea nje anakupa maneno ya dharau na kejeli alafu huyo huyo anataka mjenge malengo ya kifamilia kuishi pamoja.
Huwa wanakuja tu jana katuma vile viemoji vyake vya makopakopa sikumjibu leo asubuhi kaanza na salamu "morning D"

Kweli kabisa. Hawa manzi ni wa kuwa nao makini sana hasa wanaofikiria kuoa.

Sasa kama huyu manzi ni ile aina ya wake wanaowanyima waume zao mbususu kama njia ya kuwaadhibu

Huyu sio wa kufanya naye maisha ila kwa atakayeoa shape na mwonekano kapata mke mwenye mvuto but beauty with stupidity
 
Hawa viukbe ,ke Ni shida Kuna jamaa angu nae wameachana na demu wake kiss mama ake jamaa kuwa mgonjwa ,mwanake anawaza je nikiolewa na huyu jamaa c nitatakiwa kulea mama ake na kuangaika nae had mwisho

Demu alifikiria akaone siyo ishu huyo kasepa zake

Hawa wanawake Ni kuwa nao kwa makini ukiweza kumzalisha mwanamke Kam unaona magumashi ingia mitini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Itategemea na sababu za mzazi kuhamia kwako. Kama ana kwake, hana shida yoyote mfano kama ugonjwa akae tu kwake awe anakuja kusalimia kidogo alafu anaondoka asihamie. Wanawake sisi mara nyingi hatupikiki chungu kimoja. Yataanza maneno umuone mkeo mbaya hata kama mzazi ndio anakosea.
Vipi akiwa ni Mama yako wewe,
Utakaa nae pia au ndio Wanawake hawapikiki chungu kimoja?
 
Kama ametamka hivyo basi hata wewe bwana kuna siku atakuondoa katika uso wa dunia. Ladda wewe bwana umeolewa, namaanisha umehamia kwenye nyumba ya mwanamke. Kama sivyo huyo mtoto akikuwa "FUKUZA".
 
Back
Top Bottom