‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

‘Siwezi kulea mama mwingine, wakati wa kwangu nilishazika’. Kauli ya mke wa Jamaa!

Wakuu,

Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!

Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!

Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!

Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya

Wadau mnasemaje?
hapa ukichunguza sana utaona jamaa hana mpunga.
 
Upo sahihi kabisa mkuu, wengine wazazi wakiomba elfu 20 wanalalamika wazazi wasumbufu ila Ke akiomba 50K anapewa na ziada kiroho safi alafu mambo yakianza kuwaendea vibaya waseme wamerogwa.

Mbaya zaidi mambo yakizidi kuwa magumu wa kwanza kukimbia na kuonesha dharau ni hawa hawa aliokuwa akiwapa full support na kuona wazazi kama wasumbufu. Mwisho wa siku hali ikiwa mbaya kabisa wa kuwafariji ni wazazi ambao hakuwa anawapa umuhimu.
"Mwisho wa siku hali ikiwa mbaya kabisa wa kuwafariji ni wazazi ambao hakuwa anawapa umuhimu."

Mke hawezi kukujali kama wazazi wako hata siku moja.

Mke anaweza kukimbia ukipoteza kazi, ukafilisika, ukapata ugonjwa au ulemavu wa kudumu.

Ila wazazi hasa mama atakupenda, kukutunza na kukufariji hata kama kipato chake ni kidogo

Hawa wanawake ni marafiki wa ukubwani tu wapo wengi akizingua utapiga chini ila wazazi hawana mbadala
 
Huwa wanakuja tu jana katuma vile viemoji vyake vya makopakopa sikumjibu leo asubuhi kaanza na salamu "morning D"

Kweli kabisa. Hawa manzi ni wa kuwa nao makini sana hasa wanaofikiria kuoa.

Sasa kama huyu manzi ni ile aina ya wake wanaowanyima waume zao mbususu kama njia ya kuwaadhibu

Huyu sio wa kufanya naye maisha ila kwa atakayeoa shape na mwonekano kapata mke mwenye mvuto but beauty with stupidity
Ni kuishi nao kwa akili kama tulivyoambiwa kwenye maandiko. Uzuri na mvuto vina muda ila utu na akili ni muhimu hata kwa faida ya wanao.
Ke akishaanza kuonesha dalili za kukunyanyasia utelezi na ndio kwanza ni mahusiano tu ukiingia nae ndoani ni mateso matupu.
 
Wakuu,

Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!

Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!

Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!

Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya

Wadau mnasemaje?
Mwambie apambane na mkewe tu hana namna, sijui walikutana wapi
 
"Mwisho wa siku hali ikiwa mbaya kabisa wa kuwafariji ni wazazi ambao hakuwa anawapa umuhimu."

Mke hawezi kukujali kama wazazi wako hata siku moja.

Mke anaweza kukimbia ukipoteza kazi, ukafilisika, ukapata ugonjwa au ulemavu wa kudumu.

Ila wazazi hasa mama atakupenda, kukutunza na kukufariji hata kama kipato chake ni kidogo

Hawa wanawake ni marafiki wa ukubwani tu wapo wengi akizingua utapiga chini ila wazazi hawana mbadala
Upo sahihi mkuu tuishi nao kwa akili sana vinginevyo ni maumivu
 
Ni kuishi nao kwa akili kama tulivyoambiwa kwenye maandiko. Uzuri na mvuto vina muda ila utu na akili ni muhimu hata kwa faida ya wanao.
Ke akishaanza kuonesha dalili za kukunyanyasia utelezi na ndio kwanza ni mahusiano tu ukiingia nae ndoani ni mateso matupu.
Exactly wa aina hii ni wale wa kuwachezea na kuwadump sio wa malengo

Hata kwa sisi wa KATAA NDOA wa aina hii sio wa kumzalisha alee watoto wako
 
Really!
Yaani huwezi kuishi na Mama yako Mzazi!
I'm sorry but that's weird
Soma uelewe hakuna sehemu nimesema siwez ishi na mama mzazi. Nimesema hawezi hamia kwangu mwenyewe hapendi hiyo tabia, ana kwake anaishi zake huko. Wazazi waje kusalimia warudi makwao labda kama kuna sababu tofauti sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inadhihirisha wanaume hatuna roho mbaya, tunakaa na mama zenu,tunaacha pesa za matumizi bila kinyongo na maisha yanaenda saaafi kabisa, lakini wanawake walio wengi wana roho mbaya, yaani anakuja mama yangu mzazi eti unatoka mishipa kabisa kuwa HAUMTAKI,who are you by the way?

Pesa ya matumizi natoa mimi,nyumba nimejenga mimi,nimekutoa kwenu na kukuleta nyumbani kwangu tujenge familia unakuja na kutaka kunitawala Mimi na wazazi wangu? Like serious????
Nimeongelea kiujumla mkuu hata kuna wanaume pia hawapendi ndugu wa mke na huo wote ni uchoyo tu
 
Ni kumsamehe tu,nadhani ni muathirika wa malezi aliyopitia baada ya mama yake kuaga dunia.Wengi wamepitia katika mikono ya kina mama ambao walishindwa kuwatendea mema na huvyo kuona kuwa mama ambaye si wako si mama.
 
Nimeongelea kiujumla mkuu hata kuna wanaume pia hawapendi ndugu wa mke na huo wote ni uchoyo tu
Wanaume wachache sana wanaweza kuwafhukia wazazi wa mke, lakini ni wanawake wachache sana wanaweza kuishi na wazazi wa mume bila vitimbi...
 
Kweli kabisa watu tu hapa wanajifanya wakali wakati kiuhalisia huwa tunaona wake wanawanyanyasa mama zao na hawana say yoyote wanakuwaga mama wamerogwa
Na kweli mnaturoga sanaaaa, yote hiyo ni kutafuta kutu-control sisi na hela zetu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom