Huyo jamaako alichobakiza hapa duniani ni kukazwa tu, unaruhusu vipi binadam amdisrespect mamako kiasi hicho, hata aje mwanamke hapa aseme akiona mwanae wa kiume katolewa kauli hiyo na mke alomwoa atajisikiaje? Me ningeachana nae siku hiyo hiyo alafu kimya kimya wala sitak kelele na mtu mamamae... Disrespect ya hali ya juu. Jaman Moms are off-limit you don't disrespect my mom like that, its like your best friend fwuking your mom, how would you react?.. YOUR FRIEND IS A BIACH, Tell him to MAN—UP... Achen kabisa upumbavu mama alokuzaa anaonekana kama kinyago cha mpapure na jitu ulilokutana nalo uzeeni, mtakuja kupelekewa moto nyie majamaa aisee, nimeumia sana...