Siwezi kusahau haya manyanyaso ya mama wa kambo

Chai
 
Huyo ni kama huyu mama akikutamkia maneno hayo utaumia kila ukimuona na yeye hana hata habari anajifanya kasahau
 
The same way!! Tumepitia kweny moto
Mungu atutie nguvu
Ni vile siwezi kusema yote lakini Asante kwa ushauri
 
Uzi ufungwe
 
Huyo ni kama huyu mama akikutamkia maneno hayo utaumia kila ukimuona na yeye hana hata habari anajifanya kasahau
Unayacrush yamrudie mwenyewe Hapo Hapo.
Hawa wengi wanakuwaga ni wachawi nishafanya utafiti.
Mwanamke yeyeto mshari,mgomvi, mtukanaji, mkali jeuri mjuaji mwenye dharau huyu ni lazima anakuwa ni members wa vyama vyetu vile vya kupaa usiku.
 
Noma sana!
 
Aliwahi kunipiga mbwa yule........yani kama mti mbichi aliutendea vile sijui kwa mti mkavu ingekuwaje
Baba mwenyew akajifia kwaio tumekosa wote nayeye ana mayatima zake wawili
 
Pole sana Bint Sayuni! Katika yote Mungu anabaki kuwa Mwaminifu alikuachia upitie hayo kwa kusudi lake ingawa siyo mapenzi yake!
Kila mtu humu ameeleza kama ambavyo angefanya!
Kwa upande wangu huyo Mama alipitiliza mno!
Mimi kwangu huyo Mama tungekuwa tuliachana muda!
Mimi huwa katika maisha yangu WATOTO KWANZA! Wengine baadaye.
 
Aliwahi kunipiga mbwa yule........yani kama mti mbichi aliutendea vile sijui kwa mti mkavu ingekuwaje
Baba mwenyew akajifia kwaio tumekosa wote nayeye ana mayatima zake wawili
Pole sana mkuu Mungu akutie nguvu
 
Asante sana mkuu, Mungu ni mwema nimeshamsamehe sasa hivi anaona haya kwa yale aliyokuwa akinifanyia
 
Unayacrush yamrudie mwenyewe Hapo Hapo.
Hawa wengi wanakuwaga ni wachawi nishafanya utafiti.
Mwanamke yeyeto mshari,mgomvi, mtukanaji, mkali jeuri mjuaji mwenye dharau huyu ni lazima anakuwa ni members wa vyama vyetu vile vya kupaa usiku.
Sasa hivi tukikutana anaona haya kwa yale aliyokuwa ananifanyia, hakuna faida yoyote aliyopata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…