DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
Hello wazee na mashangazi,
Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.
Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.
Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"
Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.
Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.
Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.
Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.
Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.
Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.
Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.
Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"
Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.
Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.
Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.
Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.
Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.
Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.