Siwezi kusahau siku niliyofukuzwa kazi nikiwa baa

Siwezi kusahau siku niliyofukuzwa kazi nikiwa baa

Dah! Una maanisha mzee ndio alikuwa na makosa! Kama ndivyo, natambua kwenye maisha ya binadamu lolote laweza kutokea bila kutegemea na wakati mwingine ukiwa na watu unaidhani ni rafiki au ndugu wa kweli kumbe ndio wanakupoteza,maisha yana siri nzito sana.

Kwa hivyo ulikuwa na 1.2m cash bar..
Basi ulikula deal mkuu sema hapa unatuzuga tu..
Pia tusiwe tunatembea na cash nyingi unaweza kuwa targeted
Hapana aisee sikula deal meku kumbuka hizo ni tarehe za mwisho wa mwaka
 
Pole mkuu,afadhali umepata pengine pa kujiegesha
Afadhali yake.

Mimi pia nilipata mtego. Niliitwa chemba. Jamaa akaongea na Mtu wa tatu. Akaniambia nimsaidie Kupiga kazi flan tutaongea kikubwa. Nikasoma mchezo ni kama mtego.

Wkt huo Nina biif na boss halmashauri..haka kaboss kamchongo ofsi ya mtendaji kata kakanishawishi nifanye Ile deal. Nikawaza Sana. Nikaamu nipotezee..

Sasa sijui kama utatokea msala aseme ni Mimi
 
Daaah huu upele ungenikuta mimi ungekuta tunapambana kisheria mpaka sasahivi.

Ila ile taarifa ingenitetemesha sana.. Kufukuzwa kazi sio mchezo jamani.. isikiege kwa wengine hapo ukute una familia inakutegemea
Siyo lzm uwe na familia lzm uweweseke hata Kama umejipanga kimaisha lzm utakuwa na mawazo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hello wazee na mashangazi,

Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.

Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.

Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"

Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.

Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.

Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.

Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.

Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.

Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Umgetupa mrejesho baada ya kufukuzwa kazi ulisota kwa muda Gani?

Mkeo na watoto walibaki kuwa nawewe?


Walokufukuza kazi Bado wapo na mnaonana nao?


Wanasemaje?

Kampuni Bado lipo??

Linaendeleaje? Limekua kiuchuki au limeshuka?


Endeleza. hii story🤣
 
Hello wazee na mashangazi,

Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.

Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.

Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"

Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.

Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.

Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.

Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.

Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.

Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Mengine naweza kuyaamini lakini kwenye konyagi ndogo 3, k vant kubwa moja na Castle 11 huo ni uongo wa hovyo sana
 
all i know is that life must go on, regardless of the situation!
 
Pole sana mkuu, babu yangu aliwahi kufutwa kazi ya u RC mkoa wa Kilimanjaro na JK Nyerere kwa style inafanana na hiyo.

Kipindi hicho alinisimulia kulikua na Bar za viongozi, sasa usiku alienda kupiga mitungi kwenye hiyo bar/club ya serikari Moshi.

Saa 2 usiku hua walikua wanazima mziki inawekwa taarifa ya habari kutoka RTD ndipo akasikia kua Rais amemtema kazi , kabla ya kupata barua wala kupigiwa simu.
Raisi aliye madarakani unaenda kumshtakia wapi😀😀😀
 
Hello wazee na mashangazi,

Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.

Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.

Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"

Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.

Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.

Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.

Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.

Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.

Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Wewe jamaa daah..hamkukumbuka condom,mtoto wenu ameanza shule?
 
Hello wazee na mashangazi,

Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.

Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.

Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"

Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.

Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.

Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.

Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.

Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.

Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Ulikosea sana,vipi ungefanywa vibaya?
 
Pole sana....... Nakumbuka last year 2024....... Baada ya Mimi na boss kushindwana

Akanikuta siku moja nipo nearest to her offer...... akawa kama anasimamisha gari.... Then akaondoka....

Anafika getini kamuuliza mlinzi huyu G katoka hapa, mlinzi akasema hapana... Na ukweli nilikuwa humo

Sasa Cha kushangaza asubuhii hiyo before kukutana accidentally alishanipigia nambake sikuifuta mpk leo ninayo


Lakini nashangaa anavyouliza how nimekuja pale, hazijapita siku ana ni text WhatsApp...... Kuna mtu naomba umwelekeze kufanya bank reconciliation nikamwambia ok

Juzi juzi naona dogo ananichek nimsaidie ishu zake madam boss ana kwaroz na JAMAA WA KODI......


Maboss sijui wanajionaga vipi Ila i was wishing her all the best to her company! sina chuki
 
Back
Top Bottom