mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Teh tehSisi watu wa IT sio waongeaji sana na tunaziogopa kweli mahakama
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh tehSisi watu wa IT sio waongeaji sana na tunaziogopa kweli mahakama
Waswahili wanasema "woga wako ndio umasikini wako" mkuu,hapo ulikuwa una vuna pesa ya maana sana kama hawakukupa nafasi ya kujieleza ndugu yangu ila ndio imeshatoka hivyo.Sisi watu wa IT sio waongeaji sana na tunaziogopa kweli mahakama
Sisi watu wa IT sio waongeaji sana na tunaziogopa kweli mahakama
Kabisa kiongozi, hapa JF ungepata ushauri mzuri na matunda yake ungeyaona, ndio ukubwa wa jamii forum katk kutatua changamoto za wadau na kupeana taarifa.Huenda wakati huo ninheliweka jukwan ningepata msaada
Pole yake sana ila nafasi za uteuzi hazina guarantee muda wowote unaondolewa tofauti na ajira zingine, ila nimekuelewa mantiki yako mkuu.Pole sana mkuu, babu yangu aliwahi kufutwa kazi ya u RC mkoa wa Kilimanjaro na JK Nyerere kwa style inafanana na hiyo.
Kipindi hicho alinisimulia kulikua na Bar za viongozi, sasa usiku alienda kupiga mitungi kwenye hiyo bar/club ya serikari Moshi.
Saa 2 usiku hua walikua wanazima mziki inawekwa taarifa ya habari kutoka RTD ndipo akasikia kua Rais amemtema kazi , kabla ya kupata barua wala kupigiwa simu.
Ni kweli mkuu. Ila mzee alizingua hata ningekua mimi ningemtimua kazi tu.Pole yake sana ila nafasi za uteuzi hazina guarantee muda wowote unaondolewa tofauti na ajira zingine, ila nimekuelewa mantiki yako mkuu.
Dah! Una maanisha mzee ndio alikuwa na makosa! Kama ndivyo, natambua kwenye maisha ya binadamu lolote laweza kutokea bila kutegemea na wakati mwingine ukiwa na watu unaidhani ni rafiki au ndugu wa kweli kumbe ndio wanakupoteza,maisha yana siri nzito sana.Ni kweli mkuu. Ila mzee alizingua hata ningekua mimi ningemtimua kazi tu.
Hahaha
Sawa Mkuu
Alipita na mmoja ya mtoto wa boss wake. (Inavosemekana) Boss akapata habari you can imagine alivofura.Dah! Una maanisha mzee ndio alikuwa na makosa! Kama ndivyo, natambua kwenye maisha ya binadamu lolote laweza kutokea bila kutegemea na wakati mwingine ukiwa na watu unaidhani ni rafiki au ndugu wa kweli kumbe ndio wanakupoteza,maisha yana siri nzito sana.
Yan mkDah! Una maanisha mzee ndio alikuwa na makosa! Kama ndivyo, natambua kwenye maisha ya binadamu lolote laweza kutokea bila kutegemea na wakati mwingine ukiwa na watu unaidhani ni rafiki au ndugu wa kweli kumbe ndio wanakupoteza,maisha yana siri nzito sana.
Yan Mkuu inaumiza sana stress zinakuwa had miguun. Sema kisheria utapoteza muda na Hela nying mno. Taasisi binafsi wakiamua kukukomoa watatumia njia zote upoteeDaaah huu upele ungenikuta mimi ungekuta tunapambana kisheria mpaka sasahivi.
Ila ile taarifa ingenitetemesha sana.. Kufukuzwa kazi sio mchezo jamani.. isikiege kwa wengine hapo ukute una familia inakutegemea
Kweli kabisa mkuu.Daaah huu upele ungenikuta mimi ungekuta tunapambana kisheria mpaka sasahivi.
Ila ile taarifa ingenitetemesha sana.. Kufukuzwa kazi sio mchezo jamani.. isikiege kwa wengine hapo ukute una familia inakutegemea
Duh! Ahahahahahahahah! Hapo lazima aliwe kichwa aiseee! Ila pia kuna jinsia hizo zinatega mpaka balaah! Bila uzalendo uliotukuka utateleza tu.Alipita na mmoja ya mtoto wa boss wake. (Inavosemekana) Boss akapata habari you can imagine alivofura.
Ila hapo ungepeleka shauri kwa kamishna for arbitration... halafu ina maana wamekuwa wame ku terminate bila notice.Yan mk
Yan Mkuu inaumiza sana stress zinakuwa had miguun. Sema kisheria utapoteza muda na Hela nying mno. Taasisi binafsi wakiamua kukukomoa watatumia njia zote upotee
Ni kweli ila mm huwa naamini katika kupambana hadi tone la mwisho na matunda yake yataonekana tu.Yan mk
Yan Mkuu inaumiza sana stress zinakuwa had miguun. Sema kisheria utapoteza muda na Hela nying mno. Taasisi binafsi wakiamua kukukomoa watatumia njia zote upotee
Umempa ushauri mzuri sanaIla hapo ungepeleka shauri kwa kamishna for arbitration... halafu ina maana wamekuwa wame ku terminate bila notice.
Ingakuwa issue rahisi sana maana si ulikuwa na mkataba wako wa kazi.
Hapo labda ungetafuta mwanasheria wa kawaida kukusimamia, ila mara nyingi kwenye kesi za ajira mwajiriwa unakuwa na nguvu sana.
IKijirudia tena issue kama hiyo.. uende mahakamani mkuu... usimuachie MUNGU kabisa, hatukuja duniani kuwa wanyonge
Ungeliwekaje jukwaani wakati ulikuwa na mastress kibao!Huenda wakati huo ninheliweka jukwan ningepata msaada
Baamed hakujua chochote maana alikuwa ananipenda sababu ya hiyo kazi