DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
- Thread starter
-
- #41
Dah! Una maanisha mzee ndio alikuwa na makosa! Kama ndivyo, natambua kwenye maisha ya binadamu lolote laweza kutokea bila kutegemea na wakati mwingine ukiwa na watu unaidhani ni rafiki au ndugu wa kweli kumbe ndio wanakupoteza,maisha yana siri nzito sana.
Hapana aisee sikula deal meku kumbuka hizo ni tarehe za mwisho wa mwakaKwa hivyo ulikuwa na 1.2m cash bar..
Basi ulikula deal mkuu sema hapa unatuzuga tu..
Pia tusiwe tunatembea na cash nyingi unaweza kuwa targeted
Afadhali yake.Pole mkuu,afadhali umepata pengine pa kujiegesha
Unaendeleaje dia, umetupa jongoo na mtu wakePole mkuu,afadhali umepata pengine pa kujiegesha
Siyo lzm uwe na familia lzm uweweseke hata Kama umejipanga kimaisha lzm utakuwa na mawazoDaaah huu upele ungenikuta mimi ungekuta tunapambana kisheria mpaka sasahivi.
Ila ile taarifa ingenitetemesha sana.. Kufukuzwa kazi sio mchezo jamani.. isikiege kwa wengine hapo ukute una familia inakutegemea
😂😂😂😂Unaendeleaje dia, umetupa jongoo na mtu wake
😃😃🤣🤣🤣Hiyo ulikua unawashtaki na unapiga hela ndefu sana. Hukupata ushauri mzuri toka kwa huyo baamedi akaishia tu kukukula
Umgetupa mrejesho baada ya kufukuzwa kazi ulisota kwa muda Gani?Hello wazee na mashangazi,
Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.
Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.
Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"
Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.
Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.
Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.
Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.
Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.
Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Chai
Hapana ila hy hali ndio niko nayo sa hChai
Mengine naweza kuyaamini lakini kwenye konyagi ndogo 3, k vant kubwa moja na Castle 11 huo ni uongo wa hovyo sanaHello wazee na mashangazi,
Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.
Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.
Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"
Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.
Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.
Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.
Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.
Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.
Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Mbona kawaida kabisa hiyo, wewe hicho kitengo siyo chako.Mengine naweza kuyaamini lakini kwenye konyagi ndogo 3, k vant kubwa moja na Castle 11 huo ni uongo wa hovyo sana
Raisi aliye madarakani unaenda kumshtakia wapi😀😀😀Pole sana mkuu, babu yangu aliwahi kufutwa kazi ya u RC mkoa wa Kilimanjaro na JK Nyerere kwa style inafanana na hiyo.
Kipindi hicho alinisimulia kulikua na Bar za viongozi, sasa usiku alienda kupiga mitungi kwenye hiyo bar/club ya serikari Moshi.
Saa 2 usiku hua walikua wanazima mziki inawekwa taarifa ya habari kutoka RTD ndipo akasikia kua Rais amemtema kazi , kabla ya kupata barua wala kupigiwa simu.
Wewe jamaa daah..hamkukumbuka condom,mtoto wenu ameanza shule?Hello wazee na mashangazi,
Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.
Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.
Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"
Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.
Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.
Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.
Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.
Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.
Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.
Ulikosea sana,vipi ungefanywa vibaya?Hello wazee na mashangazi,
Kuna tukio lilinitokea Mwaka 2021 mwishon tarehe kama ya Leo sitokaa niisahau.
Nilikuwa nimekaa zangu Bar nakunywa castle zangu lite na embassy nimekaa na mhudumu tunapiga story za hapa na kule.
Mara ghafla nikasikia SMS imeingia Kwa Simu nikasema siisomi Kwanza itakuwa ni ya wife ama mchepuko.
Ila Roho ikaniambia ni SMS muhimu kaisome nikaamka nikaenda washroom nikafungua nikakupa sms inasema "Kuanzia kesho usiingie kazini nenda HQ Utapata maelekezo mengine"
Nikarudi nikachukue Konyagi ndogo nikaibwia kama maji madogo ya Kilimanjaro au Juice Kisha nikampigia Boss nikamwambia sijaelewa sms Yako, akanijibu Kwa kifupi umefukizwa kazi kachukue barua Yako HQ kesho na kama unadai ama unadaiwa utalipwa stahiki zako zote.
Nikavuta pumzi nikamuuliza kwanini? Akajibu Kwa kifupi una tuhuma nzito sana za kuchukua Hela kwa supplier zaidi ya million 14 Ili umpe tender tumeona tusiende mahakamani ila utupishe tu.
Tuhuma haikuwa ya kweli kabisa ila supplier aliwahi kuniambia nimfanyie namna nimpe hiyo tender atanipa dau Nene nikamwambia mimi sisi hatufanyi kazi za namna hiyo maana tender zote zinafanyiwa evaluation na wakubwa namimi ni mtu tu wa IT hivyo sihusiki.
Basi nilibwiya pombe siku hiyo nilikuwa na 1.2M nikanywa Kila aina ya pombe lakin silewi. Sijui Nini kilifuata asubuh nilijikuta nipo lodge na mhudumu wa Ile Bar.
Kesho yake nikafuata barua yangu Kisha nikaandika barua ya utetezi na ushahid wa Whatsapp chat na Hadi Leo sijajibiwa. Nikaamua kujichanganya Hadi Leo Nipo kwenye company nyingine nakula Bata tu.
Ila mhudumu wa pale bar aliniambia Ile siku nilikunywa konyag ndogo tatu kvant kubwa Moja na castle kumi na Moja.