Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Na chadema waangalie ile pesa ya ruzuku inatumikaje maana hata makao makuu utadhani ofisi ya kata tofauti na Hela inayotolewa lazma tufocus na hili pia
 
Hivi ni nani anayesema Umoja wa vijana kuna ufisadi? nataka kumjua kwa sababu tunataka pia mtu huyo hiyo aseme na matatizo mengine ya akina Lugumi au Escrow. Maana huyo atakuwa ni mtu ambaye system inamsikiliza na kumwamini sana. Kama anaweza kusema leo na kesho TAKUKURU wakaingia kazini, basi ni mtu anayeaminika sana. Wengine wakisema wataitwa wachochezi, waongo na watu wanaokosoa kila kitu.
 
atatumbua sana ila kuna sehemu hatazigusa kabisa wala kuzizungumzia,moja wapo hilo na uuzwaji nyumba za serikali hutakuja hata kumsikia akizungumzia kokote
Ushawahi kumuona nesi anajichoma sindano ya tako
 
Siku zote tunasema

CCM ndio wezi wa nchi hii

wameifilisi na wanaendelea kuifilisi

CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals

Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
Well said mkuu, ccm ni virus hatari Sana.
 
Naomba kujuzwa ikiwa mh sixtus mapunda atabainika amefisadi je vipi kuhusu hatma ya ubunge wake?
 
lowassa hamna wa kumkamata maana akipelekwa mahakaman na kikwete naye lazma aende maana wote ni kitu kimoja
 
Hivi ni nani anayesema Umoja wa vijana kuna ufisadi? nataka kumjua kwa sababu tunataka pia mtu huyo hiyo aseme na matatizo mengine ya akina Lugumi au Escrow. Maana huyo atakuwa ni mtu ambaye system inamsikiliza na kumwamini sana. Kama anaweza kusema leo na kesho TAKUKURU wakaingia kazini, basi ni mtu anayeaminika sana. Wengine wakisema wataitwa wachochezi, waongo na watu wanaokosoa kila kitu.
Wizi wa UVCCM haujaanza na Six Mapunda. Kwa taarifa yako, kama TAKUKURU wataamua kuchunguza yale mafaili ya UVCCM kwa undani sana basi hata akina Nchimbi, Nape, Makonda, Ridhiwani na Bashe wataguswa, kwa sababu wametokea huko huko. Hivi umewasahau wale waliotoa tamko kwamba raisi hawezi kutoka kaskazini? Kuna mtu alikua nyuma yao, nae ataguswa.
 
...mi bado naona wale wasiowapenda huko ccm ndio wanaoandamwa na kashfa....mfano mbona sijaona IPTL inachukuliwa na serikali??..pamoja na kukutwa na figisu za escrow!!....maigizo tu haya...wanashikwa watu wadogo wakati mijizi mikuu inatamba mtaani...
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
..."nahofu...nywele nyeupe, watu watakula"...
 
Lugumi Yupo kama ambavyo Lowasa yupo.Kwani kati yao kuna aliyehukumiwa na mahakama kuwa ana kosa ambavyo kila siku nyie ma CHADEMA hutuaminisha kuwa Lowasa hana kosa kwa kuwa hajawahi hukumiwa na mahakama.Naona mmekomalia Lugumi, LUGUMI kwa nini hamumusemi Lowasa na RICHMOND YAKE?
kamata peleka mahakamani mbn hadithi kila siku hapa kazi tu
 
Sipingi Lugumi na kibaya ulishatolewa ufafanuzi na bunge lilishaunda kamati na kujiridhisha, ila mtu kama wewe huoni ufisadi wa mbowe na lowasa walivyouziana chama unakomaa na vitu vingine. Mwambieni mbowe arudishe chenji la lowasa ili awe huru kuamua mstakabali wa chama na siyo kila siku anaambiwa aache uanaharakati
peleka mahakamani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom